Uchaguzi 2020 Hili la Sheikh Ponda liacheni. Hatua ya Ponda ni kwa maslahi ya Waislam na Watanzania

Hayo masuala ya kufurahia yanaingiaje hapa? mimi nazungumzia suala la kuwaambia waislamu wampigie kura Lissu et kisa kasema atawatoa masheikh wa uamsho wakati huko jela kuna waislamu wengine kibao tu au wewe unaona sawa tu kwa hao waislamu wengine kuwepo huko jela ila roho inakuuma kuona masheikh wa uamsho tu kuwa jela?

Mababu zetu huko walishirikiana na Nyerere ila sasa hivi zimebaki lawama tu,sasa Ponda anataka tumchague Lissu.
 
Mimi Sina uhakika kama kuna waislamu wengine jela bila hatia
Ila mimi ninauhakika kuna viongozi wetu sio tu wamuamsho Bali kuna mashekh wengi tu wapo jela kwa makosa ya ugaidi kuanzia arusha mpaka mtwara
Sasa wewe kama unaona wema ni kumpigia kura magufuli fanya hivyo ila waislamu wengi tunasikia uchungu kwa nini tunyanyasike katika nchi yetu?
 
Huyu shehe ni mtata tu
 
Kuna sehemu nimezungumzia kuendesha serikali? mie nimemzungumzia Lissu kama mgombea urais,sasa hayo mengine sijui umeyatoa wapi.
Umeuliza Mh Lissu kafanya nini ? Sasa afanye kama nani? Kumbuka alikuwa mbunge tu je kipi hajafanya ? Naamini uko timamu na unajua kazi ya mbunge na pia unapata taarifa za jiwe kuwa hapeleki maendele kwenye jimbo walikochagua upinzani wakati huko huo anasema maendeleo hayana chama
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Nakuheshimugi sana Mkuu. Mungu akubariki kwa maandiko yako yaliyojaa busara na hofu ya Mungu.
 
Hahahaha

Kipozeo kazi yake kuzungumzia m*#$&%o.

Ulie ni mkusanyiko wa waganga wa kienyeji na waganga njaa wa kindengereko, kisambaa na manyema

Huu mwaka CCM kupitia kile kijamaa kinaitwa Polepole sijui , mmeamua kuongea ukweli toka mioyoni kwa kukubali kuwa nyie hampo kwa ajili ya wananchi maskini. Kamwe hamjawahi kuwa. Zaidi ni kwamba mnastahili kuondoka madarani. Mmekula mmevimbiwa, hamna UTU. Hadharani mnawatweza walalahoi walipakodi mnazofuja!
 
Ndio umeongea nini hapo? bado unawazungumzia masheikh tu yani kana kwamba hao masheikh ndio tatizo pekee la waislamu Tz.

Yani wewe hao masheikh tu ndio roho inakuuma kuwa huko jela wakati kuna waislamu wengine kibao tu huko ila huna habari nao.
😂😂😂 jamii forum bhan hadi raha, nakutana na vichwa vina majibu hadi vinafurahisha 💪
 
😂😂😂 unajua nashindwa kuelewa kwanini baadhi ya watu mna hasira as if Magufuli kakwamisha maisha yenu sana, inabidi mkajengwe kisaikolojia nyie mkae sawa
Tumechoka kuona damu za watu
Hatupendi mauaji yanayofanywa na watu wasiojulikana
Hatupendi kuona watu wanafilisiwa
Hatupendi kuona masheikh wanateswa na kufia jela
Haya mambo watanzania hatujawahi kuona tangu uhuru
 
Hujui wanaomtaka ni wala Tako mtu mwenye akili timamu hawezi kuchagua mtu anaetetea ulaji wa tako.
 
Kwamba teuzi ni za upendeleo ?ni kweli Samia Suluhu (Makamu) ,Majaliwa Kasim(waziri Mkuu) ,Suleman Jafo(tamisemi) ,Mwinyi (ulinzi) hao wote ni Wakristo inauma sana yani tena ngazi za juu kabisa hata Jaji Mkuu wa Tanzania ni Mkristo hapa Lazima tutupe Lawama kwa Raisi John Magufuli maana walifungwa kwenye Utawala wake walitolewa Bara wakapelekwa Visiwani nakufungwa tunataka mapadre wetu waachiwe maana hata Raisi Mstaafu alikuwa Mkristo,mwaka huu tunatembea na Haki hatutaki Amani.
Mwnye akili anaelewa Libya haina Amani haki gani waliyonayo zaidi ya machafuko.

Mimi nitatembea na JPM
 

..Raisi Magufuli anaweza kuwaachia huru Mashekhe.

..ni kweli walifungwa wakati wa Raisi Jakaya Kikwete.

..lakini hiyo haimaanishi kwamba Raisi Magufuli hawezi kuwatoa kifungoni.

..kwa mfano, Raisi Magufuli aliwasamehe Babu Seya na Papii ambao walilawiti watoto na kufungwa na watangulizi wake.

..sasa kama Walawiti wanaweza kuachiwa, kuna ugumu gani kuwaachia Mashekhe?

..mwisho, Libya haina amani leo hii kwasababu wakati wa Gaddafi haikuwa na haki.

Kwa msingi huo, ni vizuri tukachagua utawala unaotenda haki, ili tuweze kujihakikishia amani huko mbeleni.
 
Chadema ina haki gani ?na haki ipi Walibya waliikosa nipe mifano hata miwili.
 
..Kwanini CCM hamzungumzii HAKI?

..Je, mnaamini amani inaweza kudumu bila uwepo wa haki?

..Kwanini hamjifunzi toka kwa marehemu Gaddafi na Libya?
Haki isingekuwepo Amani ungekuwa nayo hata kuwa JF sasa hivi.
 
Haki isingekuwepo Amani ungekuwa nayo hata kuwa JF sasa hivi.

..Haki ingekuwepo Mashehe wasingeendelea kukaa mahabusu bila kufikishwa mahakamani.

..Haki ingekuwepo kungekuwa na uwanja sawa ktk shughuli za vyama vya siasa nchini.

..Haki ingekuwepo wagombea wa vyama mbadala wasingekuwa wanaenguliwa kihuni na wasimamizi makada wa ccm.

..Haki ingekuwepo wananchi wa kusini wasingenyang'anywa korosho zao kwa amri ya kidikteta ya Magufuli.

..Haki ingekuwepo wananchi tungekuwa na mamlaka zaidi ya kuamua kuhusu vipaumbele vyetu vya maendeleo.
 
Don't panic, no any value in your post even if you tried to express your self in English. Am pretty sure Sheikh Ponda will run you crazy, prior to the coming election.
Ndio shida zao hizi wakishindwa points wanatandika watu risasi 39.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…