Hili la TANESCO kufumua mfumo mzima wa Gridi ya Taifa, halina dalili za upigaji?

Hili la TANESCO kufumua mfumo mzima wa Gridi ya Taifa, halina dalili za upigaji?

Freed Freed

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2017
Posts
6,547
Reaction score
7,167
Nimemsikia Waziri wa Nishati Mh January Makamba alisema, wizara yake imepanga kufumua mfumo mzima wa Gridi ya Taifa. Anadai wataweka vifaa vipya. Hii hujumuisha pia Sub stations ya vituo vidogo vya uzalishaji umeme.

Hii gharama ya kuufumua mfumo itakuwa kubwa mno. Atakayeumia ni mlipa kodi, sio Waziri wala Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO.

January anautaka urais 2030 na hata 2025 ikibidi na hilo lipo wazi. Je ana nia njema ya kutupatia umeme wa uhakika au ana agenda yake nyuma?

Mimi pia Sina nia mbaya na mpango huu, ila nahisi Jambo
 
Nyerere Hydroelectric inalamba Trillion 6.5

Ukarabati Gridi ya Taifa inalamba Trillion 1.

Juzijuzi hapa wamesema wanafanya ukarabati kinyerezi 2 bilions of money wamekula!

Yule mhindi aliempa mkataba nae sijui yuko wapi! Kwani alipewa kazi gani? Au bado anafanya mobilization?
 
Back
Top Bottom