Hili la TANESCO kufumua mfumo mzima wa Gridi ya Taifa, halina dalili za upigaji?

Hili la TANESCO kufumua mfumo mzima wa Gridi ya Taifa, halina dalili za upigaji?

Kipara hajui anachokiongea, TANESCO wana enjoy waziri pamoja na MD hawana wanalokijua kuhusu umeme, wanalishwa matango pori kama yote, na bahati mbaya mengine wanayoropoka hadharani 🤣🤣.

Labda ni mambo ya "scratch my back", si unajua 2025 iko karibu!
 
Kuna wapendwa na wateule, wapendwa ni Nape, Riz1,Mwezi wa Kwanza hawa msitegeemee kama wataguswa ila wateule ndio wataendelea kubadilishwa kila siku.

Cha msingi wale biashara zao zinazo tumia majenereta nunueni Majenereta, ila huko mbali hali itakuwa ya hovyo.
 
Nimemsikia Waziri wa Nishati Mh January Makamba alisema, wizara yake imepanga kufumua mfumo mzima wa Gridi ya Taifa. Anadai wataweka vifaa vipya. Hii hujumuisha pia Sub stations ya vituo vidogo vya uzalishaji umeme.

Hii gharama ya kuufumua mfumo itakuwa kubwa mno. Atakayeumia ni mlipa kodi, sio Waziri wala Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO.

January anautaka urais 2030 na hata 2025 ikibidi na hilo lipo wazi. Je ana nia njema ya kutupatia umeme wa uhakika au ana agenda yake nyuma?

Mimi pia Sina nia mbaya na mpango huu, ila nahisi Jambo
jamaa utadhani hawatakufa, mikakati yaupigaji tu hamna lolote kila siku nyimbo hizo hizo za kukatika umeme itakua historia kumbe wanajipigia tu dah!
 
Nimemsikia Waziri wa Nishati Mh January Makamba alisema, wizara yake imepanga kufumua mfumo mzima wa Gridi ya Taifa. Anadai wataweka vifaa vipya. Hii hujumuisha pia Sub stations ya vituo vidogo vya uzalishaji umeme.

Hii gharama ya kuufumua mfumo itakuwa kubwa mno. Atakayeumia ni mlipa kodi, sio Waziri wala Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO.

January anautaka urais 2030 na hata 2025 ikibidi na hilo lipo wazi. Je ana nia njema ya kutupatia umeme wa uhakika au ana agenda yake nyuma?

Mimi pia Sina nia mbaya na mpango huu, ila nahisi Jambo
January ni mzee wa 20%
 
Sema wakati mwingine Rais wetu kipenzi cha wote awe makini na watendaji wake, asiwaachie uhuru kupitiliza tusirudi kwa akina epa na Richmond
Yaani kila Waziri saivi anaruhusiwa kubuni mradi. Huko ndiko upigaji huanzia.
 
Nimemsikia Waziri wa Nishati Mh January Makamba alisema, wizara yake imepanga kufumua mfumo mzima wa Gridi ya Taifa. Anadai wataweka vifaa vipya. Hii hujumuisha pia Sub stations ya vituo vidogo vya uzalishaji umeme.

Hii gharama ya kuufumua mfumo itakuwa kubwa mno. Atakayeumia ni mlipa kodi, sio Waziri wala Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO.

January anautaka urais 2030 na hata 2025 ikibidi na hilo lipo wazi. Je ana nia njema ya kutupatia umeme wa uhakika au ana agenda yake nyuma?

Mimi pia Sina nia mbaya na mpango huu, ila nahisi Jambo
Mods unganisha huu uzi
 
Hui nchi ni bhana..kuna sehemu mwaka jana mwanzoni walikuwa wanabadilisha nguzo za umeme za zamani kuweka mpya walitumia mwezi mzima hiyo operation...miezi mitano mbele wanachkmoa zile wanaweka nguzo za zege
Alafu supplier ni huyohuyo na kalipwa kwa awamu zote.
 
Kipara hajui anachokiongea, TANESCO wana enjoy waziri pamoja na MD hawana wanalokijua kuhusu umeme, wanalishwa matango pori kama yote, na bahati mbaya mengine wanayoropoka hadharani 🤣🤣.

Labda ni mambo ya "scratch my back", si unajua 2025 iko karibu!
Hivi Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO si Engineer wa umeme?
 
Maandalizi ya uchaguzi 2025. Kuna watu wanajipanga kubaki madarakani hata iwe kwa kununua kura moja kwa 1bn
 
Back
Top Bottom