Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,547
- 7,167
- Thread starter
- #41
OkElectronics Science na Electrical Engineering ni fani mbili tofauti kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
OkElectronics Science na Electrical Engineering ni fani mbili tofauti kabisa.
Huyu anatafuta hela ya kugombea urais atatuletea hasara kabisa. Mpango wake ni upigaji tu. Eti anatuambia grid ni ya kufumua. Hatuwezi kuja na mipango na mahitaji ya kila waziri.Nimemsikia Waziri wa Nishati Mh January Makamba alisema, wizara yake imepanga kufumua mfumo mzima wa Gridi ya Taifa. Anadai wataweka vifaa vipya. Hii hujumuisha pia Sub stations ya vituo vidogo vya uzalishaji umeme.
Hii gharama ya kuufumua mfumo itakuwa kubwa mno. Atakayeumia ni mlipa kodi, sio Waziri wala Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO.
January anautaka urais 2030 na hata 2025 ikibidi na hilo lipo wazi. Je ana nia njema ya kutupatia umeme wa uhakika au ana agenda yake nyuma?
Mimi pia Sina nia mbaya na mpango huu, ila nahisi Jambo
Makamba ni shetani anapiga pesa za 2030Nimemsikia Waziri wa Nishati Mh January Makamba alisema, wizara yake imepanga kufumua mfumo mzima wa Gridi ya Taifa. Anadai wataweka vifaa vipya. Hii hujumuisha pia Sub stations ya vituo vidogo vya uzalishaji umeme.
Hii gharama ya kuufumua mfumo itakuwa kubwa mno. Atakayeumia ni mlipa kodi, sio Waziri wala Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO.
January anautaka urais 2030 na hata 2025 ikibidi na hilo lipo wazi. Je ana nia njema ya kutupatia umeme wa uhakika au ana agenda yake nyuma?
Mimi pia Sina nia mbaya na mpango huu, ila nahisi Jambo
Turudi mara ngapi?Sema wakati mwingine Rais wetu kipenzi cha wote awe makini na watendaji wake, asiwaachie uhuru kupitiliza tusirudi kwa akina epa na Richmond
january Makamba njoo huku ujibu maswaliHuyu anatafuta hela ya kugombea urais atatuletea hasara kabisa. Mpango wake ni upigaji tu. Eti anatuambia grid ni ya kufumua. Hatuwezi kuja na mipango na mahitaji ya kila waziri.
Niulize swahi, je huu mpango uko kwenye ilani ya ccm au amezusha januari na maharage wake?
Grid ifanyiwe ukaguzi na kufanyiwa matengenezo 'maintanance' au ukarabati kwa sehemu mbovu. Huu wazimu wa kufumua grid yote ni ubadhilifu tu kufaidisha mahitaji binafsi ya wapigaji.
Tumemshutukia, ajabu ataidhinishiwa pesaMakamba ni shetani anapiga pesa za 2030
MmmmhhhYaaani Kuna maeneo hata Umeme hawaujui halafu Kuna mtu anakuja kutoka hukoooo anaongeza hii?? Mdomo koma!
Lakini huenda mama ndo amebariki maana yeye ndo raisHuyu anatafuta hela ya kugombea urais atatuletea hasara kabisa. Mpango wake ni upigaji tu. Eti anatuambia grid ni ya kufumua. Hatuwezi kuja na mipango na mahitaji ya kila waziri.
Niulize swahi, je huu mpango uko kwenye ilani ya ccm au amezusha januari na maharage wake?
Grid ifanyiwe ukaguzi na kufanyiwa matengenezo 'maintanance' au ukarabati kwa sehemu mbovu. Huu wazimu wa kufumua grid yote ni ubadhilifu tu kufaidisha mahitaji binafsi ya wapigaji.
Na hivyo ndivyo ilivyo michongo sio kwenye PhD tu kazi km hizi michongo ipo wanapigiana pande na kampuni bubuHayo ni maandalizi ya kuandaa tenda za upigaji, wataandaa makampuni yao wenyewe na kujipa tenda wenyewe.
JibuNiulize swahi, je huu mpango uko kwenye ilani ya ccm au amezusha januari na maharage wake?
Huyo mtu wako 'credibility' yake ni sufuri kabisa.Baadhi ya watanzania mnapenda sana kulalamika. Kwa kifupi hamna jema wala hamsomeki. Hauhitaji PhD kubaini kwamba hatua za kufumua na kusuka upya gridi ya Taifa haliepukiki na limekuja wakati muafaka. Watanzania kuweni optimistic, so far JM is doing great job with outstanding performance. Tatizo letu tunakaririshana chuki.
Nimemsikia Waziri wa Nishati Mh January Makamba alisema, wizara yake imepanga kufumua mfumo mzima wa Gridi ya Taifa. Anadai wataweka vifaa vipya. Hii hujumuisha pia Sub stations ya vituo vidogo vya uzalishaji umeme.
Hii gharama ya kuufumua mfumo itakuwa kubwa mno. Atakayeumia ni mlipa kodi, sio Waziri wala Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO.
January anautaka urais 2030 na hata 2025 ikibidi na hilo lipo wazi. Je ana nia njema ya kutupatia umeme wa uhakika au ana agenda yake nyuma?
Mimi pia Sina nia mbaya na mpango huu, ila nahisi Jambo
10% mzee 10% inapiganiwa kivyovyote punda afe mzigo ufikeHuyo waziri hajui anachoongea na kashajua watanzania hawaelewi kinachoendelea,
Kufumua grid nzima it's insane kwakweli kwanza kila plant,substation, na distribution lines zinafanyiw maintenance na ndo kazi ya artisan na technician
10% ya nn mkuu sijakusoma hapo?!10% mzee 10% inapiganiwa kivyovyote punda afe mzigo uufi