Mzalendo Uchwara
JF-Expert Member
- Jan 26, 2020
- 4,437
- 13,836
Mwanzoni aliomba vituo vidogo vyote vijengwe upya kakubaliwa, leo anautaka mfumo mzima nchini ufanyiwe mageuzi.
jamaa utadhani hawatakufa, mikakati yaupigaji tu hamna lolote kila siku nyimbo hizo hizo za kukatika umeme itakua historia kumbe wanajipigia tu dah!Nimemsikia Waziri wa Nishati Mh January Makamba alisema, wizara yake imepanga kufumua mfumo mzima wa Gridi ya Taifa. Anadai wataweka vifaa vipya. Hii hujumuisha pia Sub stations ya vituo vidogo vya uzalishaji umeme.
Hii gharama ya kuufumua mfumo itakuwa kubwa mno. Atakayeumia ni mlipa kodi, sio Waziri wala Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO.
January anautaka urais 2030 na hata 2025 ikibidi na hilo lipo wazi. Je ana nia njema ya kutupatia umeme wa uhakika au ana agenda yake nyuma?
Mimi pia Sina nia mbaya na mpango huu, ila nahisi Jambo
January ni mzee wa 20%Nimemsikia Waziri wa Nishati Mh January Makamba alisema, wizara yake imepanga kufumua mfumo mzima wa Gridi ya Taifa. Anadai wataweka vifaa vipya. Hii hujumuisha pia Sub stations ya vituo vidogo vya uzalishaji umeme.
Hii gharama ya kuufumua mfumo itakuwa kubwa mno. Atakayeumia ni mlipa kodi, sio Waziri wala Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO.
January anautaka urais 2030 na hata 2025 ikibidi na hilo lipo wazi. Je ana nia njema ya kutupatia umeme wa uhakika au ana agenda yake nyuma?
Mimi pia Sina nia mbaya na mpango huu, ila nahisi Jambo
Yaani kila Waziri saivi anaruhusiwa kubuni mradi. Huko ndiko upigaji huanzia.Sema wakati mwingine Rais wetu kipenzi cha wote awe makini na watendaji wake, asiwaachie uhuru kupitiliza tusirudi kwa akina epa na Richmond
Rais Samia hawezi kugusaHapo kuna mtu anajiandaa kustaafu au kutemwa kwenye uongozi na hyo ndio pensheni yake.....
serikali hii kwa mipigo!!!
Mods unganisha huu uziNimemsikia Waziri wa Nishati Mh January Makamba alisema, wizara yake imepanga kufumua mfumo mzima wa Gridi ya Taifa. Anadai wataweka vifaa vipya. Hii hujumuisha pia Sub stations ya vituo vidogo vya uzalishaji umeme.
Hii gharama ya kuufumua mfumo itakuwa kubwa mno. Atakayeumia ni mlipa kodi, sio Waziri wala Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO.
January anautaka urais 2030 na hata 2025 ikibidi na hilo lipo wazi. Je ana nia njema ya kutupatia umeme wa uhakika au ana agenda yake nyuma?
Mimi pia Sina nia mbaya na mpango huu, ila nahisi Jambo
Cha ajabu mwenye kiti chake atazalisha fomu mmoja tu.Kazi ipo pesa zinatafutwa kwa nguvu zote…2025 patachimbika
Alafu supplier ni huyohuyo na kalipwa kwa awamu zote.Hui nchi ni bhana..kuna sehemu mwaka jana mwanzoni walikuwa wanabadilisha nguzo za umeme za zamani kuweka mpya walitumia mwezi mzima hiyo operation...miezi mitano mbele wanachkmoa zile wanaweka nguzo za zege
Hivi Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO si Engineer wa umeme?Kipara hajui anachokiongea, TANESCO wana enjoy waziri pamoja na MD hawana wanalokijua kuhusu umeme, wanalishwa matango pori kama yote, na bahati mbaya mengine wanayoropoka hadharani 🤣🤣.
Labda ni mambo ya "scratch my back", si unajua 2025 iko karibu!
Nope, ni mtu wa Electronics Science.Hivi Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO si Engineer wa umeme?
Kumbe mtalaam wa kazi yakeNope, ni mtu wa Electronics Science.
Electronics Science na Electrical Engineering ni fani mbili tofauti kabisa.Kumbe mtalaam wa kazi yake