Hili la Wabunge 50 kutoka Zanzibar yenye wapiga kura wasiozidi laki tano, wakati Temeke wapiga kura 1.5M Wabunge 6 limewaliza Watanzania

Hapo ni kulilia ujinga.
Hapo wako sahihi. Kwa udogo wa nchi yao hilo jimbo lenye watu 7000 ni sawa tu na temeke yenye mil. Ukilinganisha ratio ya population ya zanzibara na bara na ukubwa wa eneo.
Wewe ni mjinga!
 
Zanzibar inatakiwa iongozwe na mwenyekiti wa mtaa tu hamna haja ya kuwa na Rais, mawaziri wala mbunge ukipiga filimbi nchi nzima wanakuskia
Wewe ni mbumbumbu katika masuala ya muungano bora ungekaa kimya kuficha umbumbumbu wako pole sana
 
Mkuu CCM WOTE ni majizi
 
Ila tukiweka siasa pembeni ndugu zanguni Nyerere alituingiza chaka vibaya mno kuliko MO alivyoiingiza Simba chaka😕😕😕

Nyerere aliwahi kutamka kuwa yeye na wenzake walifanya makosa mengi. Akauliza kuwa wasifanye makosa kwani wao ni malaika? Muundo huu wa Muungano, kwa vyovyote ni baadhi ya hayo makosa.
 
Shida kubwa zaidi nionavyo mimi ni kutokuwa na muendelezo wa madai ya watanzania.

Hivi sasa malalamiko yahusuyo muungano yanatolewa zaidi na watanganyika. Nadhani ni kwa sababu raisi ni mzanzibari. Akimaliza uraisi wake akaja mtanganyika malalamiko yatapunguwa.

Haipaswi kuwa hivyo. Kama tunataka mabadiliko ya mfumo wa uendeshaji wa nchi tudai bila kujali nani mtawala kwa wakati huo.
 
Suala ya Muungano ni mtambuka hivyo KATIBA inahitaji mabadiliko makubwa sana ili kuondokana na mapungufu yaliyopo na iweze kuzuia tamaa mbaya ya baadhi ya wanasiasa.
 
Wewe ni mbumbumbu katika masuala ya muungano bora ungekaa kimya kuficha umbumbumbu wako pole sana
Hapo zenji ikipigwa hata kengele si wote mnaisikia na mnakusanyika
 
Watu 400000 mbunge 1 watu 7000 mbunge 1, huku ni kubembeleza au, eti kisa nchi. Hapa ndupo umuhimu wa katiba bora.
Na si hivyo Tu, anaye lipa ni Nani , na Kama ni bara na visiwani, je visiwandi wana changia shs ngapi katika hizo gharama
 
Hata kwenye ubia wa biashara kila mtu anapata faida kutokana na alichowekeza
 
Inauma sana mtu kutoka visiwani anauza ardhi na kuwaondoa wamiliki asilia kisa pesa na mamlaka!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…