Wewe ni mjinga!Hapo ni kulilia ujinga.
Hapo wako sahihi. Kwa udogo wa nchi yao hilo jimbo lenye watu 7000 ni sawa tu na temeke yenye mil. Ukilinganisha ratio ya population ya zanzibara na bara na ukubwa wa eneo.
Wewe ni mbumbumbu katika masuala ya muungano bora ungekaa kimya kuficha umbumbumbu wako pole sanaZanzibar inatakiwa iongozwe na mwenyekiti wa mtaa tu hamna haja ya kuwa na Rais, mawaziri wala mbunge ukipiga filimbi nchi nzima wanakuskia
Mkuu CCM WOTE ni majiziWakati Watanzania wanaendelea kula Dozi ya Ubongo( Brain Vitamins) kutoka kwa Wakili Nguli na Mpigania haki Mh Makamu Mwenyenyekiti wa Chadema kwenye ziara zake.
Mh Lissu ambaye yuko ziarani ktk harakati zake za Kuendesha Maandamano mikoa yote Tanzania na mikutano ya kisiaaa ametoa Takwimu zilizoacha midomo wazi watanzania.
Hizi ni Takwimu ambazo zilikuwa hazifahamiki kwa wengi.
Kwamba Zanzibar inachangia idadi ya Wabunge wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania takribani 80 wakati ina idadi ndogo ya wapiga kura na ukubwa wa majimbo mdogo sana.
Amesema kuna baadhi ya majimbo yanawapiga kura elfu 7 tu huku Temeke jimbo moja lina wapiga kura zaidi ya Laki nne.
Taarifa hizi zimewaliza watanzania wengi waliokuwa mkutanoni na wengi waliofikiwa na taarifa hizi kupitia mitandao ya kijamii na vyomvo vya habari.
Mh Lissu hoja yake ilikuwa kufafanua namna serikali inayotumia pesa nyingi za walipa kodi kunemeesha baadhi ya watu bila sababu za msingi badala ya kuwaletea maendeleo Watanzania.
Haichukui nafasi ya Mhasibu Mkuu wa Benki kutambua kuwa kimahesabu Kama Nchi tunakula Hasara.
Kwamba Nchi yenye malengo inawezaje kutumia pesa nyingi kiasi hiki ku secure vyeo na anasa wakati ni Nchi maskini inayotegemea mikopo kwa asilimia kubwa?
Ila tukiweka siasa pembeni ndugu zanguni Nyerere alituingiza chaka vibaya mno kuliko MO alivyoiingiza Simba chaka😕😕😕
Hapo zenji ikipigwa hata kengele si wote mnaisikia na mnakusanyikaWewe ni mbumbumbu katika masuala ya muungano bora ungekaa kimya kuficha umbumbumbu wako pole sana
Na si hivyo Tu, anaye lipa ni Nani , na Kama ni bara na visiwani, je visiwandi wana changia shs ngapi katika hizo gharamaWatu 400000 mbunge 1 watu 7000 mbunge 1, huku ni kubembeleza au, eti kisa nchi. Hapa ndupo umuhimu wa katiba bora.
Sawa madamWewe ni mjinga!
Ndio kusema hakuna anayeona hii hasara?Mkuu CCM WOTE ni majizi
Ukifikiria unapatwa na uchungu wa machoziWatu 400000 mbunge 1 watu 7000 mbunge 1, huku ni kubembeleza au, eti kisa nchi. Hapa ndupo umuhimu wa katiba bora.
Na wewe pia bado unaendelea kububujika machozi?Mpaka dakika hii nalia!
Hata kwenye ubia wa biashara kila mtu anapata faida kutokana na alichowekezaFikiri sawa sawa. Wewe huoni kuna umuhimu wa marekrbisho? Mfano, koo mbili zimeungana, moja ina ng'ombe 1000 nyingine 10 sasa wakiuzwa ng'ombe 100 wagawane sawasawa? Ni lazima muundo wa muungano urekebishwe kuwe na serikali 3 kuondoa huu upuuzi, period!
Na siku hizi Wana chukua kweli mikopo Bodi ya Elimu ya juu na kwao wanachukuaSerikali 1 au 3
Lucas kichaa huyoMkuu hizi Takwimu zinabubujisha Machozi
@ LucasMwashamba
Noma sanaNi huzuni kwakweli