Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani unataka kuamini utumishi walikuwa hawashortlist wachaga? Mbona kuna wachaga kibao waliajiriwa na utumishi na sio vyema kuweka list humu.Mtoa mada, ni vizuri ukaweka ushahidi wa wachaga walioajiriwa ili tuamini ni kweli Mbowe anadanganya umma.
Mbowe ameathirika sana na taarifa za Kigogo.Jamani, niweweka ushahidi ambapo mbowe amemutuhumu Magufuri kupendelea Wasukuma katika ajira nakuwafanya wasukuma wote kula keki ya nchi wakati wachaga waote walifukuzwa serikalini na kupoteza biashara.
Clip kama hii haiwezi kuchochea vita vya wasukuma na wachanga, mfano kama kwa sasa kuna msukuma ana ishi moshi vijiji au Dra Es Salaam katikati ya wachaga si wanaweza kuanza kumhujumu kwa kuwa ni Musukuma?
Sio majina yao, nafasi zao tu inatosha mkuu.Yaani unataka kuamini utumishi walikuwa hawashortlist wachaga? Mbona kuna wachaga kibao waliajiriwa na utumishi na sio vyema kuweka list humu.
WACHAGGA hawataki ajira, wao wapo kibiashara na ndio maana huwa hawana muda na mambo ya autumishi .
Point kabisaMtoa mada, ni vizuri ukaweka ushahidi wa wachaga walioajiriwa ili tuamini ni kweli Mbowe anadanganya umma.
Wachaga ni kama wahindi wanapenda biasharaWACHAGGA hawataki ajira, wao wapo kibiashara na ndio maana huwa hawana muda na mambo ya autumishi .
Toa takwimu wewe BashiteWe pimbi hii ni point