kweleakwelea
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 3,072
- 1,545
Sasa diwani Athumani kaajiriwa wakati wa magufuli?Diwan Athuman ni msukuma?
HawapoMbowe naye anaanza kuharibu ndio mwanasiasa pekee wa upinzan ambaye watu walibaki na imani naye. Anachokisema hakina ukweli sababu wa kaskazin walioajiriw na Magufuli ni wengi mno atawafanya wajisikie vibaya huki makazin.
Huyo bwege wenu Mbowe munamuita shujaa kwa nini hakuongea JPM akiwepo? Enzi zake Mtikila hakuwa na longo longo za kipuuzi kama hizi. Tatizo wachaga walitaka waendelee na upendeleo wa kikabila waliojianzishia. TRA, CRDB. Bahati mbaya ubaguzi kwa wachaga wanaamini ni haki yao. Wao wanasema wamesoma sana.Ni kweli na Jerry Muro amewahi kukiri hivyo baada ya Magufuli kufariki, alisema kwenye Utawala wa Magu ilikua ngumu sana kupenya hasa kama mtu anatokea kaskazini". Je Jery Muro nae anatudanganya? Nikipata ile clip nitaipandisha hapa.
Nyie mbuzi wa kijani ushahidi huo hapo sasa. Pumbavu nyie
Stupid!Tuache nongwa kisa maneno yametoka CDM, mfano teuzi za jana nenda kafanye analysis kila kanda alafu useme wachaga wako wangapi! Haya mambo yapo ni vile ukiyaendekeza hata akili inakua ya kuhisi unaonewa kila wakati!
Km ambavyo mbwa wa ccm lazima wajitanabaishe wao ni su-**** gang ndo wanapata vyeoUkiingia Chadema lazima upambanie maslahi ya kina Mangi.
Ila Urais balaa, yaani unatakiwa KU-BALANCE,Tuache nongwa kisa maneno yametoka CDM, mfano teuzi za jana nenda kafanye analysis kila kanda alafu useme wachaga wako wangapi! Haya mambo yapo ni vile ukiyaendekeza hata akili inakua ya kuhisi unaonewa kila wakati!
Ukiwa na akili, hata ile ya kawaida kabisa, utajua kuwa hakuna mahali ambapo Mbowe alitamka au alitenda, kama yeye au chama, kwaajili ya kabila fulani.Kwa pointi kama hiyo mbowe anatuaminisha chadema ni kwa ajiri ya wachaga sio watanzania kama ameshaanza ukaskazini na Bado urais hajapewa akiwa rais si ndo atakuwa hatari zaid kuliko Magufuli
Kwani ccm imetoka madarakani?Kina uhusiano na ushamba uliowajaa MATAGA!
Kwani hamna mpango tena wa kumuongeza Jiwe muhula atawale hadi atakapochoka!??
Magufuli alikuwa takataka.Ukiwa na akili, hata ile ya kawaida kabisa, utajua kuwa hakuna mahali ambapo Mbowe alitamka au alitenda, kama yeye au chama, kwaajili ya kabila fulani.
Kwa uoande mwingine, kwa matendo na kauli zake, utajua wazi Magufuli alikuwa mbinafsi na mbaguzi.
Hapa TZ hakuna wabaguzi wakubwa kama wachaga pia ni wapiga madili sana ndiyo maana Hayati Magufuli aliwanyoosha na amefanya wana kanda ya ziwa kuwatambua wachaga walivyowabaguzi na kesho nilikiwa nimepanga kumuuzia eneo langu mchaga pale maeneo ya Kisesa nimegaili kabisaaa na kuanzia leo sitakuwa na ukaribu na mchaga yeyote!Nakumbuka hata Hitler alipiga marufuku Wayahudi kuajiriwa serikalini. Matokeo yake baada ya muda Wafanyabiashara wakubwa wa Ujerumani wakawa ni Wayahudi ambao walikopesha hadi serikali za Ulaya mfano ni familia ya kiyahudi ya Rotschid.
Kuzuia Wachagga wasiajiriwe Serikalini ni vizuri sana maana itabidi wafanye biashara sehemu ambayo tayari wanaimudu sana.
Magufuli alikuwa muovu sana. Kifo kimetusaidia sana kumnyamazisha
Kwani ni uongo ndugu zangu,maendeleo yaliyokuwepo kaskazini yanafanana na yaliyokuwepo kigoma,iringa na mtwara na kwingine? Hata hivyo kwa Nini umeiacha mistari mitatu baadae ya hiyo uliyoizungushia? Ili unacho maanisha kipate maana kamili acheni uhuni.Kwani uongo? Alianzia hapa hadharani kule Iringa.👇👇
View attachment 1802779
Swali lilikuwa Mnyika kabila gani? Hayo mengine yametoka wapi?Mbowe mjinga sana ametuudhi sana wasukuma mpumbavu huyu tutamuonyesha kuwa sisi hatujawahi kushindwa mbona Kaskazini imekuwa na mawaziri wakuu wengi kuliko kanda yoyote Tanzania mawaziri wa fedha wawili magavana, Mkurugenzi wa Idara ya usalama wa Taifa, mkuregenzi CRDB kimei vyuo vikuu vimerundikana Kaskazini
Mnyika ni mpare wa ugweno lakini ana bibi yake Misungwi.Swali lilikuwa Mnyika kabila gani? Hayo mengine yametoka wapi?
Amandla...