Hili la Wachaga kutoajiriwa Serikalini na Taasisi za Umma awamu ya tano, Mbowe anadanganya umma?

Hili la Wachaga kutoajiriwa Serikalini na Taasisi za Umma awamu ya tano, Mbowe anadanganya umma?

Status
Not open for further replies.
Namnukuu Mbowe

''Miaka mitano ya Hayati Magufuli ilikuwa ni miaka ya mateso kwa watu wa Kaskazini hususan Wachaga, ilifika wakati Magufuli akatoa maagizo ya Wachaga kutoajiriwa Serikalini na kwenye Taasisi za Umma''


Memo za ndani zote wanapata maana wana watu wao wasiopenda siasa usalama wa taifa hivyo hakuna siri wasiojua tuliona wakati Hayati anaumwa
 
Kwaiyo Magufuli alibomoa nyumba zilizo katika hifadhi ya Morogoro Road sababu wakiishi wachaga?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa upeo wake wa kufikiri, inaonekana ni hivyo. Au wewe unadhani sababu gani hasa iliyomfanya akasababisha vifo vya watu wengi kwa ile bomoabomoa, hata pale mahakama ilipotoa zuio, ole wako uweke STOP ORDER ya mahakama kwenye nyumba yako. Waliofanya hivyo, pamoja na viongozi wa waliokwenda mahakamani, walibomolewa usiku, maana yake hutoi hata kijiko.

Wewe unadhani sababu gani hasa alikuwa katili hivyo kwa watu wa Kimara, Mwanza akawa mpole namna ile, kwamba msiwabomolee hawa walinipa kura? Kumbuka hiyo kuzuia bomoabomoa Mwanza imetokea mara mbili
 
Unateseka bure. Wachagga watakjja kukununua kabisa na ww mwenyewe
Tayari nimeshamwambia siuzi tena eneo langu na nimemwambia Faru John amesababisha mimi kugaili kuuza eneo languameumia sana eti anasema aongeze dau nimekataa katakata. Pia tumekaa kikao wanakanda ya ziwa na tumekubaliana hatutatoa ushirikiano wowote kwa wachaga waliopo huku Mwanza na Kanda ya Ziwa nzima.
 
Kwa upeo wake wa kufikiri, inaonekana ni hivyo. Au wewe unadhani sababu gani hasa iliyomfanya akasababisha vifo vya watu wengi kwa ile bomoabomoa, hata pale mahakama ilipotoa zuio, ole wako uweke STOP ORDER ya mahakama kwenye nyumba yako. Waliofanya hivyo, pamoja na viongozi wa waliokwenda mahakamani, walibomolewa usiku, maana yake hutoi hata kijiko.

Wewe unadhani sababu gani hasa alikuwa katili hivyo kwa watu wa Kimara, Mwanza akawa mpole namna ile, kwamba msiwabomolee hawa walinipa kura? Kumbuka hiyo kuzuia bomoabomoa Mwanza imetokea mara mbili
Mtakoma hamieni Kenya na sasa kwa kuwa tumejua mnaajenda ya ubaguzi itabidi mhame Mwanza la sivyo tunaanzisha kampeni kabambe ya kutoshirikiana na wachaga walioko Mwanza.
 
Namnukuu Mbowe

''Miaka mitano ya Hayati Magufuli ilikuwa ni miaka ya mateso kwa watu wa Kaskazini hususan Wachaga, ilifika wakati Magufuli akatoa maagizo ya Wachaga kutoajiriwa Serikalini na kwenye Taasisi za Umma''

Waliajiliwa wa makabila gani? Kwani wachagga wako wangapi kwenye utumishi? Siku zote huwa nasema kwenye ajira ni vizuri kuangalia idadi ya makabila na dini, maana ajira ni ufunguo wa maisha yako na vizazi vyako. Watoto wangu mimi wamesoma kwasababu nina ajira, lakini wale wa ndugu zangu ambao hawana ajira hawakusoma kabisa.
 
Nasema kwa dhati kabisa naomba iwe ni uongo kuwa ulisema wachaga wasipate ajira kwenye taasisi yoyote ya umma.

Kama uliwahi kusema hivyo nakuhakikishia hutopumzika kamwe. Dhambi hii itaitafuna jamii yako iliyobakia. Nasema jamii yako itatafunika sana aslani.

Kama hukuwahi kusema hivyo basi nikutakie heri kwa kutangulia kwenye safari yako ya milele.

Enyi tuliobakia. Tuwekeze kwenye mienendo mizuri hasa tunapokuwa wenye mamlaka dhidi ya wenzetu. Karma is real!
 
Hivi Athumani Diwani wa TISS yeye anatokea Mtwara sehemu gani?

Mtu una akili timamu kweli unaweza kumsikiliza zero brain Mbowe?

Chadema ni birthday present ya mzee mtei kwa mkwe wake, halafu unakuta kuna watu wanaimani na chama ambacho Mbowe alipewa kama zawadi ya birthday na baba mkwe wake. Mbowe pia atakuja kumpa zawadi mkwe wake hicho chama.

Chadema-chaga development manifesto.
 
Hilo kabila ni watu wa dili dili sanaa hainiatui kuwa expelled katika ajira hilo kabila hawaaminiki wanaweza kuuza nchi[emoji23][emoji23][emoji23]
Hata huyo magufuli uliyemuweka kwenye avatari yako alikuwa mtu wa dilidili sana
 
Hahahahaha wachaga bhana ndo mmeamua kumtuma mwenyekiti wa chama chenu kuwasemea?

Hakuna mtu asiyewajua nyinyi mna sifa zipi hata mtoto ukisema mchaga tu atakwambia ni mtu wa aina gani JPM ameweka utaratibu wa ajira zote kupitia utumishi ambapo kila mwenye sifa ataomba si nyinyi mmeingizana sana makazini nani ambae hajui mlivyoingizana kisanii makazini haya mfano mdogo tu wale waliosimamishwa kazi kwa inshu ya luku Tanesco yani mtu na msaidizi wake wote wachaga na hii mfano tu ina maana nyinyi pekee ndo mmesoma??

Mwambieni Mbowe kuwa watu wa kanda ya ziwa hawaogopi hata kidogo juu ya wachaga alete chuki tu zitawacost wachagaa wenzie
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom