Hili la walimu kuchangishwa michango ya Mbio za Mwenge kwa lazima likomeshwe

Mkuu umeongea point sana
 
CWT ilipaswa kuingilia kati kakini "cwt" nilichama la kukarushwa nashangaa tamisemi na takukuru wakowapi!!
Hawa wajinga wanaendesha mambo yao kianolojia ili kuiba kirahisi. Wanapeana pesa mkononi eti ili kufanya malipo yakiasi kirudishwacho kwa walimi. Kama tuna takukuru kwanini wasiwalazimishe waende kidigitali
Kama chama cha walimu kilipaswa kuwa cha mfano wengine kuiga lakini kinyume chake kimekuwa ni chama chakipumbafu mmmno kitoacho mfano wahovyo na wa aibu kwa taifa kuliko chama kingine chochote hapa nchini yaani kinafuatia baada ya chama cha freemason kwa upuuzi...
 
Kila mtu ana uhuru wa kusema atakavo ila wakati mwingine walimu hawapendi kabisa kulipa iyo michango ila ili kuepusha shari na wakubwa inambidi alipe tu maisha ya endelee maana elfu tano sio kitu kiivo unaweza usinipe alafu unaitwa halmashauri unatumia nauli elfu kumi kwenda na kurudi sasa apo kipi bora kulipa 5000 au uende kwa kwa wakubwa utumie 10000 nauli?
 
Bora nitoe elfu kumi kwenye nauli ila sio kufaidisha matapeli ya mbio za mwenge
 
Watu wenyewe hawajielewi mnahangaika nao wa nn, sisi kuna boya mtendaji alikuja kwenye frem et anakusanya pesa ya Mwenge tukamwambia ishia huko huko kabla hatujakupasua vipande, yule mtendaji hakurudi tena.
Hizo Hela watumishi wote wa idara zote wanachanga,Cha ajabu nini hapo
 
Mbona imeandikwa ki michapo michapo?

Amandla...
 
Jifunze kuandika mkuu wa halamshauri ya Chattle, naona unapuyanga errors kibao [emoji23][emoji23]
 
Huwezi kupinga uonevu wa namna kama unaogopa viongozi wa Halmshauri.
Ktk vitu ambavyo huwa ninasumbuana na msimamizi wangu ni michango ya aina hii.

Baada ya kuona post hii nimeongea na kaka yangu yuko Mkoani Ruvuma,jamani sikufahamu km kuna watumishi wa mma wanateswa namna nilivyoelezwa.

1 Halmashauri ya Wilaya Mbinga sii tu watumishi wanalazimishwa kuchangia mbio za mwenge,bali pia wanachangishwa ujenzi wa ofisi za CCM,uchaguzi wa CCM.

2 Tunduru wao mtumishi km hajafikisha miaka mi tatu kazini halipwi fedha za nauli za likizo na haruhusiwi kuomba likizo pia.

3 Mbinga ni haki ya mwanafunzi wa kike kuwa na mahusiano ya kimapenzi na Mwl na wazazi hutoa baraka hasa Mwl akiwa tayari kumhudumia huyo mwanafunzi mahitaji yake lkn pia hata mama akiwa anapata japo sukari,kitenge nk.

Kimbembe ni kwa Mwl ambaye siyo mwenyeji wa huko,hapo kunakuwa na vita kali ya chini kwa chini kati ya wenyeji na huyu mgeni na ikatokea binti akawa na kibendi,hapo wana wanakuchezesha mpaka unawatafuta Maboto,Plantinum na wengineo ili umalize soo. Wajomba wanachochea unavuta 6m,kumbe mzazi ana ambulia 600K inayo baki mchocheaji ananeemeka,ikumbukwe hiyo michakato unakuwa unafanya bila uhuru.

3 Huko Ruvuma kuvujisha mitihani ni lazima,ni maagizo,upende usipende Maafisa elimu wanataka ufaulu wa 100% . Sasa ndugu yangu kaenda huko na misimamo na taratibu za Mara,weee anasema afisa anaweza kuondoa chapu ndani ya chumba cha mtihani.

Sasa nije kwenye suala hili uliloleta hapa.

Binafsi niliamini kuwa HAMZA YULE WA PALE UBALOZINI ALITOA SOMO LKN NAONA KUMBE BADO TUNADHARAHULIANA SANA TU.

MIMI NIMEMWAMBIA KAKA ASITOE HALAFU SIKU AKIJIROGA HUYO SIJUI MKURUGEGENZI KUMUITA KWA AJILI YA KUMUULIZA KUHUSIANA NA HUO WIZI WAKE ASISAHAU KWENDA NA PODA NYEUSI LKN PIA NA KISU CHENYE MAKALI KUZIDI CHA BUCHANI.

WANASHINDWA WAPI KUCHUKUA HIZO FEDHA JUU KWA JUU KABLA HAZIJAWAFIKIA WATUMISHI HAWA?

JE NI NANI HUWA ANAKAGUA MATUMIZI YA HIZI FEDHA?

JE,NI KWELI KWAMBA BUDGET YA MWENGE INAYO WASILISHWA BUNGENI HAITISHI?


ONA MATUMIZI YA HIZI FEDHA SASA;
1 KUWAPA RUSHWA WENYE MWENGE WAO ILI WAFUMBIE MACHO UHOVU NA UBADHILIFU.

2 KUNUNUA POMBE NA ANASA ZINGINE ZA NAMNA HIYO KWENYE MIKESHA YA MWENGE.

AJABU ZAIDI JAMAA ANASEMA ILI KUWAFUMBA MACHO MKURUGENZI KAWAAMBIA KUNA ACCOUNT IMEFUNGULIWA KWA AJILI YA HIZO FEDHA.

MIMI NAIOMBA SERIKALI IANGALIE UHALALI WA HILI JAMBO,KINYUME NA HAPO KUNA MTU ATAJITOA MUHANGA ILI AWAKOMBOE WENGI NA NIMEMWAMBIA MSIMAMIZI WANGU HUKU NILIKO KUWA NITACHOMA MTU KISU NA SITA KICHOMOA HATA AKIWA AMESHAKUFA,NITANG'ANG'ANIA MPAKA NAFIA HAPOHAPO NIMESHIKILIA HICHO KISU HUKU KIKIWA KIMEZAMA NYAMANI MWAKE.
 
Vp kwa mtumishi ambaye hana mipango na ulivyo viainisha,inakuwaje kwa upande wake?
 
Tulia uandike vizuri mkuu.
Kwani hizo sherehe huwa hazina budget?

Ni kwa nini kifanywe kitu ambacho uwezeshwaji wake ni mgumu?

Masuala ya mabango na fedha ya mtumishi vinahusianaje?

Kwani haiwezekani kukata hiyo fedha ya mbio za mwenge juu kwa juu mpaka waende kumharibia mtumishi budget zake binafsi?
 
Ccm acheni kunyanyasa walimu wetu, toeni hela kwenye ruzuku yenu mchangie huo mwenge.
 
Yaani nchi hii kuna mambo ya ajabu sana. Walimu nao wapo kimya kwasababu wanatumiwa kama toilet paper.

Kwa sababu sio mtumishi wa umma ndio maana una Shangaa !!
 
Mgongano mkubwa sana wa maslahi
 
Kama mwenge unamulika mipaka ya nchi na kuondoa chuki pale penye udhia kama wasemavyo wakulungwa lakini nimaoni yangu kwamba MWENGE UNAPOPITA HUFANYIKA NGONO SANA HIVYO KUONGEZA UWEZEKANO WA MAAMBUKIZI YA VVU.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…