atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,497
- 9,728
Natamani ndevu zangu nizitengeneze mazingira haya aiseeeMimi nilikuwa nikifanya nafanya tena baada ya 6 weeks ambayo ni mwezi na nusu. Ila sasa hivi naenda hadi miezi miwili na zaidi. Hapa inategemea na speed yako ya kukuwa kwa nywele. My friend yeye sasa hivi anafanya mara tatu tu kwa mwaka.
Unajua kwanini? Ukifanya waxing unang'oa nywele kabisa na kadri unavyorudia rudia unakuwa unadhoofisha root ya zile nywele hivo zitaanza kuota pole pole na wakati mwingine zinaacha kuota kabisa. (Hususani zile zinazoota maeneo yasiotakiwa).
Je inafaa kwa ndevu?Unaipika kwa kutumia sukari na limao na maji kidogo.
Yenyewe unaipaka halafu unaweka kitambaa juu au kitu chenye material kama plastic kisha unabandua.
Natamani ndevu zangu nizitengeneze mazingira haya aiseee
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kumbe wewe ni eksipati wa waxing.
Ahsante kwa muongozo, ila mnaipeleka sayari puta puta sana!
Hata kama ndio wanafanya hivyo, wataendelea kubuni vitu vipya ambapo athari zake sio njema kabisa
Ndio. Style ya kung'oa hizo nywele inahusisha kupaka na kusugua
Je, vipi kuhusu side effetcs??Ndio ukirudia kufanya mara kwa mara inafika wakati mizizi yote inakuwa imekufa.
Mpe bhanaa akajionee mwenyewe ulimwengu wa kidijitali 😆😆😆😆😅😂Majina ninayo namba za simu zipo ila sikupi nisije nikakuingiza kwenye janga bureee
Hallelujah!!Naogopa hukumu ya kukuingiza kwenye hayo matendo😃😃😃😃
Marko 9:42
“Yeyote atakayemkosesha mmoja wa hawa wadogo wanaoniamini, ingekuwa afadhali kwa mtu huyo kufungiwa shingoni mwake jiwe kubwa la kusagia na kutupwa baharini."
Ndugu yangu wee watu na pesa zao bhana!Nafikiri pia inaendana na ukwasi, kwa nini utumie 70k ilhali wembe wa sh 100 unatosha kabisa kufanya kazi yote ,
Binafsi mwaka wa tano huu nafanya wax na hakuna athari zozote
Hii sayari haijawahi kuwa na usawa kabisa.Nafikiri pia inaendana na ukwasi, kwa nini utumie 70k ilhali wembe wa sh 100 unatosha kabisa kufanya kazi yote ,
Kwanini asijue Mkuu? anajua na anapenda nifanye na huwa anatoa pesa nikafanye hiyo hudumaMumeo anajua hili? analichukuliaje
Mimi na business partner wanguWewe na nani!?
Tunaiga wazungu. Kila anachofanya mzungu Kwetu sawa tu. Wengi wetu hatujui kama asillimia kubwa ya hawa wazungu ni mashetani watu.Sijui ni ushamba wangu au ni nini ila mimi binafsi nawaza mtu mzima mwenye miaka ya kutosha ati kila nywele zikikuota unaenda kuchanua makwapa na kipochimanyoya saloon; ati unyolewe na mtu mzima mwenzio, mwanamke au mwanaume kwa malipo!
Tena unayolewa kwa kusuguliwa haswaaaa. Hili jambo linachukuliwa kikawaida ila linanistaajabisha na lina ukakasi sana maana huku ndiko tunakoenda kuzalisha mambo mengine ya kishetwani ambayo tutakuja kuyajutia
Najua haya ni mapenzi ya watu na pia ni kazi za watu lakini athari zake ni zipi kijamii? Tulianza na kusuguliwa miguu, tukaenda kwenye massages za kawaida, tukaingia kwenye full body massage sasa tunanyoana kwa kusuguana haswaaa wenyewe tumeipa jina la kizungu waxing.
Sijui kama wana vibali hawa watoa huduma, sijui kama wanatakiwa kuwa na vigezo gani ili waweze kufanya hizi kazi, sijui kama serikali imepima faida na hasara ya hizi biashara na inanufaika vipi nazo.
Kusema ukweli tunatengeneza bomu.
Ahaa sawa, hongera kwake kuwajibika na kujipunguzia mzigo wa kazi ya kinyonyoa kipochi mayoyaKwanini asijue Mkuu? anajua na anapenda nifanye na huwa anatoa pesa nikafanye hiyo huduma
Asante kwa niaba, Binadamu tumetofautiana kitu unachokipenda wewe mwingine hakipendi na hataki hata kukisikia ndiyo dunia ilivyo.Ahaa sawa, hongera kwake kuwajibika na kujipunguzia mzigo wa kazi ya kinyonyoa kipochi mayoya
Side effect ni kwamba unaweza kupata pimples au skin irritation maaneo uliyofanyiwa. Ndio maana inabidi ufanyiwe na mtaalam kwanza uone inavyotakiwa kufanywa kisha baadae ndio unaweza kuanza kufanya mwenyewe.Je, vipi kuhusu side effetcs??