Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Kumbe unaitaka[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nitakuomba online training tuwe tunaitumia na baba chanja[emoji2][emoji2][emoji2]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe unaitaka[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nitakuomba online training tuwe tunaitumia na baba chanja[emoji2][emoji2][emoji2]
Usishabikie pia isikusumbue kichwa, fanya kama huoni....hii dunia ina giza nene sanaKwahiyo sababu yanafanyika tuendelee kushabikia vichocheo[emoji848]
Weeee nawe [emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
OkEeeh naitaka niwe najinyoa mwenyewe na baba chanja wangu
Hapo sasa.basi hapa kila Mdada atajifanya hafanyi na anaponda daah[emoji2][emoji2][emoji2][emoji23][emoji23]
He he he hizo tabu zote za nn si bora uje nikunyoe mimiIla wax ya kwenye papuchi na kwapa inauma jamani. Bora ya bikini line au vinyweleo.
Huu uzungu kweli kweliMimi nafanya local ya nta ya sukari. Hiyo nyingine inakuwa kama ni gundi hivi unaipaka unaweka kitambaa juu unabandua. Inang'oa nywele from the root inaanza kuota upya tofauti na uki shave na wembe au shaving creams hizi nywele haioti upya inaendelea pale ulipoikatia na inakuwa kali inatoboa toboa.
Ila ukifanya wax nywele haichomozi kabisa hadi wiki nne hadi 6 na inakuwa laini.
Acha uoga mama D..usiogope utramYatokanayo yanatisha mkuu. Kuna kundi la wale wadada wa kusaga limeingia kwenye hii mambo. Sitaki kuandika zaidi mimi
Mungu nusuru kizazi chetu
Zipo tayari sema ni za kificho zinaitwa full body massage na kitengo cha ufuska kinaitwa “With happy ending”Tunakoelekea tutakuwa na salon za kumegwa
Bongo hamna ambacho hukipati uwe na account yenye hela nyingi tu za kuchezeaKumbe Bongo kama Ulaya tu😂😂😂
Ushahudumiwa huko mama!?
Wewe umefikia hatua hiyo?Ndio ukirudia kufanya mara kwa mara inafika wakati mizizi yote inakuwa imekufa.
@mama D umepromoti hii kitu, hii dhambi itakuhusu[emoji28]Aise nikifika hapo pa kutoota kabisa mbona nitashukuru
Mimi nitajitoa mwenyewe mkuu siwezi kwenda huko@mama D umepromoti hii kitu, hii dhambi itakuhusu[emoji28]
Yanafanyika hapa bongoMkuu yani unaongelea mambo ya kwenye video.
Au unachokisema kinafanyika hapa kwetu?