Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba nikuongezee misumari ikaze kabisa.Nakazia📌🔨
Kitu kikishaingia ukipinga lazima uonekane mshamba,ila siungi mkono hoja ya kunyolewa huko na mtu mwingine zaidi ya mke/mume wako.
Hata iwe hivyo, akizidiwa wakati anasuguliwa kitakachofuata sijui mimi huko ..inafanywa na Mwanamke mkuu.
Kwa sababu wanapandishwa hadi vileleni mwa milima mbalimbali iliyopo nchiniWenyewe wanakuambia ukianza inauma ila ukizoea huwezi acha!
Hata iwe hivyo, akizidiwa wakati anasuguliwa kitakachofuata sijui mimi huko ..
Hapo sasa.
Maviwembe na hizi shaving creams nishaachaga huko siku nyingi sana. Sitamani hata.
Mimi naona inauma tofauti na nikifanya ya vinyweleo. Nikiwa naanza nilifanya ya kwapa. Hehehe kwapa lilikuwa linatiririsha jasho kama bomba kwa kuogopa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]anasuguliwaje sasa! tatizo mnaongelea kitu ambacho hamkijui.
anakupaka na kistick anachukua kitambaa anabandika anatoa nywele
anakusugua wapi hapo?
"Bikini line" ndio ninIla wax ya kwenye papuchi na kwapa inauma jamani. Bora ya bikini line au vinyweleo.
"Mimi nafanya local ya nta ya sukari. Hiyo nyingine inakuwa kama ni gundi hivi unaipaka unaweka kitambaa juu unabandua. Inang'oa nywele from the root inaanza kuota upya tofauti na uki shave"Mimi nafanya local ya nta ya sukari. Hiyo nyingine inakuwa kama ni gundi hivi unaipaka unaweka kitambaa juu unabandua. Inang'oa nywele from the root inaanza kuota upya tofauti na uki shave na wembe au shaving creams hizi nywele haioti upya inaendelea pale ulipoikatia na inakuwa kali inatoboa toboa.
Ila ukifanya wax nywele haichomozi kabisa hadi wiki nne hadi 6 na inakuwa laini.
😂😂Mnara ukiinuka nitaongea nao uache fujo.
🤣🤣🤣🤣🤣Kumbe nchi imepiga hatua kiasi hicho na hamsemi??
Hahahaaaa 😅😅😅😅 hatari sana.Ndio ni palaini. Si unajua sukari inavyolainisha? +vile vinywele vinakuwa vimeondoka vyote kama ya mtoto[emoji23][emoji23][emoji23]
Haswaa!!Halafu picha zao za utupu zikibandikwa mitandaoni wanalia lia; kumbe wameyataka wenyewe kwa ufuska wao!!
Tayari zipo mkuu, ni zile wanazotoa huduma ya masaji huko ndani ni balaa!!Tunakoelekea tutakuwa na salon za kumegwa
Kwa hiyo tunaweza wekeza kwenye hiyo biasharaTena kwa kasi ya ajabu
Kumbe....basi itabidi hawa warembo wangu niwalipie wakafanyiwe hii waxing. Na kwenye tigo nayo wanafanya?Mimi nafanya local ya nta ya sukari. Hiyo nyingine inakuwa kama ni gundi hivi unaipaka unaweka kitambaa juu unabandua. Inang'oa nywele from the root inaanza kuota upya tofauti na uki shave na wembe au shaving creams hizi nywele haioti upya inaendelea pale ulipoikatia na inakuwa kali inatoboa toboa.
Ila ukifanya wax nywele haichomozi kabisa hadi wiki nne hadi 6 na inakuwa laini.