Hili la wanawake kwenda salon za kunyolewa nywele za sehemu za siri (Waxing) limekaaje?

Lololoh!
 
Mama D..unajua vyuma vimekaza Sana..Sasa mkianza kutuminya na huku hii nchi itakua Haina ladha yaan ni kama Korea kaskazin Sasa acheni watu was injoiii umaskin jamani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mama D..unajua vyuma vimekaza Sana..Sasa mkianza kutuminya na huku hii nchi itakua Haina ladha yaan ni kama Korea kaskazin Sasa...achen watu was injoiii umaskin jaman.

Sent using Jamii Forums mobile app

Yatokanayo yanatisha mkuu. Kuna kundi la wale wadada wa kusaga limeingia kwenye hii mambo.

Sitaki kuandika zaidi mimi, Mungu nusuru kizazi chetu
 
Sasa bomu gani linatengenezwa hapo mkuu? Mbona mnapenda kuyafanya maisha yawe magumu sana aise?
Ukifikiri sana utaona mleta hoja hana hoja.

Sishabikii hili lakini kuna nini kipya hapa?

Unaogopa hitimisho kuwa mtu ataliwa?

Bila hizo waxing hawakulani?

Je wanaofanya na kufanyiwa ni watoto?

Usitishwe na usodoma waliojichagulia watu wazima hata waxing isipofanyika hilo unaloona ni janga hufanywa kila uchao.
 

Kwahiyo sababu yanafanyika tuendelee kushabikia vichocheo🤔
Weeee nawe 🙄🙄🙄🙄
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…