Hili la wanawake kwenda salon za kunyolewa nywele za sehemu za siri (Waxing) limekaaje?

Hili la wanawake kwenda salon za kunyolewa nywele za sehemu za siri (Waxing) limekaaje?

Mimi nafanya local ya nta ya sukari. Hiyo nyingine inakuwa kama ni gundi hivi unaipaka unaweka kitambaa juu unabandua. Inang'oa nywele from the root inaanza kuota upya tofauti na uki shave na wembe au shaving creams hizi nywele haioti upya inaendelea pale ulipoikatia na inakuwa kali inatoboa toboa.

Ila ukifanya wax nywele haichomozi kabisa hadi wiki nne hadi 6 na inakuwa laini.
Ya nta unafanyaje
 
Mimi nafanya local ya nta ya sukari. Hiyo nyingine inakuwa kama ni gundi hivi unaipaka unaweka kitambaa juu unabandua. Inang'oa nywele from the root inaanza kuota upya tofauti na uki shave na wembe au shaving creams hizi nywele haioti upya inaendelea pale ulipoikatia na inakuwa kali inatoboa toboa.

Ila ukifanya wax nywele haichomozi kabisa hadi wiki nne hadi 6 na inakuwa laini.

Una moyo mimi hiyo ya nta ambayo ubandui na kitambaa siwezi hata kwa hela inauma mnooo.

Hiyo ya kupaka halafu unaibandua na zile karatasi zake ile naona haiumi dakika 20 tu kamaliza
 
Sijui ni ushamba wangu au ni nini ila mimi binafsi nawaza mtu mzima mwenye miaka ya kutosha ati kila nywele zikikuota unaenda kuchanua makwapa na kipochimanyoya saloon; ati unyolewe na mtu mzima mwenzio, mwanamke au mwanaume kwa malipo!

Tena unayolewa kwa kusuguliwa haswaaaa. Hili jambo linachukuliwa kikawaida ila linanistaajabisha na lina ukakasi sana maana huku ndiko tunakoenda kuzalisha mambo mengine ya kishetwani ambayo tutakuja kuyajutia

Najua haya ni mapenzi ya watu na pia ni kazi za watu lakini athari zake ni zipi kijamii? Tulianza na kusuguliwa miguu, tukaenda kwenye massages za kawaida, tukaingia kwenye full body massage sasa tunanyoana kwa kusuguana haswaaa wenyewe tumeipa jina la kizungu waxing.

Sijui kama wana vibali hawa watoa huduma, sijui kama wanatakiwa kuwa na vigezo gani ili waweze kufanya hizi kazi, sijui kama serikali imepima faida na hasara ya hizi biashara na inanufaika vipi nazo.

Kusema ukweli tunatengeneza bomu.
Kumbe Bongo kama Ulaya tuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mimi nilikuwa nikifanya nafanya tena baada ya 6 weeks ambayo ni mwezi na nusu. Ila sasa hivi naenda hadi miezi miwili na zaidi. Hapa inategemea na speed yako ya kukuwa kwa nywele. My friend yeye sasa hivi anafanya mara tatu tu kwa mwaka.

Unajua kwanini? Ukifanya waxing unang'oa nywele kabisa na kadri unavyorudia rudia unakuwa unadhoofisha root ya zile nywele hivo zitaanza kuota pole pole na wakati mwingine zinaacha kuota kabisa. (Hususani zile zinazoota maeneo yasiotakiwa).
Aise nikifika hapo pa kutoota kabisa mbona nitashukuru
 
My dear, kweli uende saluni ukachanue miguu unyolewe?

My Dear kiukweli mimi naweza nisiwe muongo, ni huduma kama huduma zingine.

Kikubwa uwe na mtu mmoja anaekufanyia na awe msafi kwa maana kuvaa gloves N.k nowdays naona imeingiliwa kila mtu anatoa hiyo huduma.

Halafu wanawake wengi wanafanya ndiyo maana sehemu zinazotoa hii huduma zinazidi kuwa nyingi.

Na ukianza hautoacha!!
 
My Dear kiukweli mimi naweza nisiwe muongo, ni huduma kama huduma zingine.

Kikubwa uwe na mtu mmoja anaekufanyia na awe msafi kwa maana kuvaa gloves N.k nowdays naona imeingiliwa kila mtu anatoa hiyo huduma.

Halafu wanawake wengi wanafanya ndiyo maana sehemu zinazotoa hii huduma zinazidi kuwa nyingi.

Na ukianza hautoacha!!
Daaah aisee mimi siwezi na ninaona ajabu sana
 
una moyo mimi hiyo ya nta ambayo ubandui na kitambaa siwezi hata kwa hela inauma mnooo.

hiyo ya kupaka halafu unaibandua na zile karatasi zake ile naona haiumi dakika 20 tu kamaliza
Hiyo wax special sijawahi fanya ila nitafanya siku moja.
 
Wewe muoga mbona haiumi [emoji3] sema ukizoea wax hautorudi kwenye maviwembe tenaaa
Maviwembe na hizi shaving creams nishaachaga huko siku nyingi sana. Sitamani hata.

Mimi naona inauma tofauti na nikifanya ya vinyweleo. Nikiwa naanza nilifanya ya kwapa.

Hehehe kwapa lilikuwa linatiririsha jasho kama bomba kwa kuogopa.
 
Back
Top Bottom