raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Mambo ya disposable income hayo πππ
Yaan unatoa 70k kwa ajili ya kunyolewa kwapa ππππ
Yaan unatoa 70k kwa ajili ya kunyolewa kwapa ππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nina imani hii kazi hawezi kuifanya mwanamke, badala yake kinyozi ndio mwanaume.
Naona matokeo ya kuchorwa tatoo misambwanda ndio yamefikisha athari zake huku
itafika wakati hata kunawa uso na kupiga mswaki hawataweza watataka waende saloo wakapigwe mswaki,polepole mtaacha kupika nyumbani mtaenda american chips!!!!Sasa bomu gani linatengenezwa hapo mkuu? Mbona mnapenda kuyafanya maisha yawe magumu sana aise?
Ya nta unafanyajeMimi nafanya local ya nta ya sukari. Hiyo nyingine inakuwa kama ni gundi hivi unaipaka unaweka kitambaa juu unabandua. Inang'oa nywele from the root inaanza kuota upya tofauti na uki shave na wembe au shaving creams hizi nywele haioti upya inaendelea pale ulipoikatia na inakuwa kali inatoboa toboa.
Ila ukifanya wax nywele haichomozi kabisa hadi wiki nne hadi 6 na inakuwa laini.
Mimi nafanya local ya nta ya sukari. Hiyo nyingine inakuwa kama ni gundi hivi unaipaka unaweka kitambaa juu unabandua. Inang'oa nywele from the root inaanza kuota upya tofauti na uki shave na wembe au shaving creams hizi nywele haioti upya inaendelea pale ulipoikatia na inakuwa kali inatoboa toboa.
Ila ukifanya wax nywele haichomozi kabisa hadi wiki nne hadi 6 na inakuwa laini.
Ila wax ya kwenye papuchi na kwapa inauma jamani. Bora ya bikini line au vinyweleo.
Kumbe Bongo kama Ulaya tuπππSijui ni ushamba wangu au ni nini ila mimi binafsi nawaza mtu mzima mwenye miaka ya kutosha ati kila nywele zikikuota unaenda kuchanua makwapa na kipochimanyoya saloon; ati unyolewe na mtu mzima mwenzio, mwanamke au mwanaume kwa malipo!
Tena unayolewa kwa kusuguliwa haswaaaa. Hili jambo linachukuliwa kikawaida ila linanistaajabisha na lina ukakasi sana maana huku ndiko tunakoenda kuzalisha mambo mengine ya kishetwani ambayo tutakuja kuyajutia
Najua haya ni mapenzi ya watu na pia ni kazi za watu lakini athari zake ni zipi kijamii? Tulianza na kusuguliwa miguu, tukaenda kwenye massages za kawaida, tukaingia kwenye full body massage sasa tunanyoana kwa kusuguana haswaaa wenyewe tumeipa jina la kizungu waxing.
Sijui kama wana vibali hawa watoa huduma, sijui kama wanatakiwa kuwa na vigezo gani ili waweze kufanya hizi kazi, sijui kama serikali imepima faida na hasara ya hizi biashara na inanufaika vipi nazo.
Kusema ukweli tunatengeneza bomu.
Aise nikifika hapo pa kutoota kabisa mbona nitashukuruMimi nilikuwa nikifanya nafanya tena baada ya 6 weeks ambayo ni mwezi na nusu. Ila sasa hivi naenda hadi miezi miwili na zaidi. Hapa inategemea na speed yako ya kukuwa kwa nywele. My friend yeye sasa hivi anafanya mara tatu tu kwa mwaka.
Unajua kwanini? Ukifanya waxing unang'oa nywele kabisa na kadri unavyorudia rudia unakuwa unadhoofisha root ya zile nywele hivo zitaanza kuota pole pole na wakati mwingine zinaacha kuota kabisa. (Hususani zile zinazoota maeneo yasiotakiwa).
My dear, kweli uende saluni ukachanue miguu unyolewe?basi hapa kila Mdada atajifanya hafanyi na anaponda daah[emoji2][emoji2][emoji2][emoji23][emoji23]
My dear, kweli uende saluni ukachanue miguu unyolewe?
Hatari sanaMy dear, kweli uende saluni ukachanue miguu unyolewe?
Daaah aisee mimi siwezi na ninaona ajabu sanaMy Dear kiukweli mimi naweza nisiwe muongo, ni huduma kama huduma zingine.
Kikubwa uwe na mtu mmoja anaekufanyia na awe msafi kwa maana kuvaa gloves N.k nowdays naona imeingiliwa kila mtu anatoa hiyo huduma.
Halafu wanawake wengi wanafanya ndiyo maana sehemu zinazotoa hii huduma zinazidi kuwa nyingi.
Na ukianza hautoacha!!
Unaipika kwa kutumia sukari na limao na maji kidogo.Ya nta unafanyaje
Hiyo wax special sijawahi fanya ila nitafanya siku moja.una moyo mimi hiyo ya nta ambayo ubandui na kitambaa siwezi hata kwa hela inauma mnooo.
hiyo ya kupaka halafu unaibandua na zile karatasi zake ile naona haiumi dakika 20 tu kamaliza
Maviwembe na hizi shaving creams nishaachaga huko siku nyingi sana. Sitamani hata.Wewe muoga mbona haiumi [emoji3] sema ukizoea wax hautorudi kwenye maviwembe tenaaa
Ndio ukirudia kufanya mara kwa mara inafika wakati mizizi yote inakuwa imekufa.Aise nikifika hapo pa kutoota kabisa mbona nitashukuru