Hili la watu kula supu ya ngozi ya ng'ombe/mbuzi lina usalama kiasi gani?

Hili la watu kula supu ya ngozi ya ng'ombe/mbuzi lina usalama kiasi gani?

Bushmamy

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2019
Posts
9,140
Reaction score
15,963
Tulizoea bidhaa kama ngozi ya ng'ombe ikitumika katika utengenezaji wa bidhaa mbalimbali kama vile mikanda, Mabegi nk. Nina mwezi mzima na zaidi naweka oda ya ngozi ya ng'ombe kwa ajili ya kumchemshia mbwa nakosa nashindwa kujua kwanini. Basi ikabidi nimuulize huyo muuza bucha kwanini zimekuwa adimu hivyo au soko la nje ya nchi limekuwa kubwa?!

Jibu alilonipa sikuamini kwani aliniambia kuwa, oda nyingi zinachukuliwa kwa ajili ya kwenda kutengenezea supu ya kuuza na wachache hubeba majumbani kwa matumizi ya nyama ya kula Wao. Wateja wengi wa supu hiyo ni wale wa hali ya chini, walevi wa pombe za bei rahisi na mataptap kutokana na kutoweza kumudu gharama za kununua nyama au supu ya nyingine tuzijuazo.

Wanachofanya ni kuchoma/kuunguza yale manyoa yote na baada ya hapo hubandika jikoni tayari kwa kuchemsha supu hiyo. Bado sijajua kama ulaji wa aina hiyo ya supu ya ngozi una madhara kiafya kwa walaji hao au ni sawa tu na mtu anaekula nyama?!

Supu hiyo imekuwa ikiuzwa kibakuli kwa Shilingi 500 na wengi wamedai maisha magumu ndo yanafanya wale ngozi kutokana na kutokuwa na uwezo wa kununua nyama. Nimejionea mwenyewe hapa Kilimanjaro.
 
Tulizoea bidhaa kama ngozi ya ng'ombe ikitumika katika utengenezaji wa bidhaa mbalimbali kama vile mikanda, Mabegi nk.

Nna mwezi mzima na zaidi naweka oda ya ngozi ya ng'ombe kwa ajili ya kuchemshia mbwa nakosa nashindwa kujua kwanini.

Basi Ikabidi nimuulize huyo muuza bucha kwanini zimekuwa adimu hivyo au soko la Nje ya nchi limekuwa kubwa

Jibu alilonipa sikuamini kwani aliniambia ya Kuwa oda nyingi zinachukuliwa kwa ajili ya kwenda kutengenezea supu ya kuuza na wachache hubeba majumbani kwa matumizi ya nyama ya kula Wao.
Wateja wengi wa supu hiyo ni wale wa hali ya chini na walevi wa Pombe za bei rahisi na matatap kutokana na kutoweza kumudu gharama za kununua nyama au supu ya nyingine tuzijuazo

Wanachofanya ni kuchoma /kuunguza yale manyoa yote na baada ya hapo hubandika jikoni tayari kwa kuchemsha supu hiyo.

Bado sijajua kama ulaji wa aina hiyo ya supu ya ngozi una madhara kiafya kwa walaji hao au ni sawa tu. Na mtu anaekula nyama.
Supu hiyo imekuwa ikiuzwa kibakuli kwa. Sh 500.

Naahidi kuja na Picha na tukio hili nimejionea mwenyewe hapa Kilimanjaro
Sisi zamani tuliita supu ya makwasukwasu wewe kwa vile wa juzi uwezi elewa hivi vitu utabaki kusema kama ulivyo andika
 
Ina protini nyingi na ni tamu kweli kweli

kpomo.png
 
Kama unakula supu ya kongoro na mkia! ulichoandika hapa ni ujinga mtupu.

Mimi hizo supu nimekula sana, pia naweza kuziandaa.

Pia punguza uongo (exaggreration) mwingi kwenye mada yako.

Hivi vitu ni relative Ungejua mchunga ambao DAR wanakula, kwetu ni chakula cha sungura na simbilisi. Kwa leo naishi hapa
 
Tulizoea bidhaa kama ngozi ya ng'ombe ikitumika katika utengenezaji wa bidhaa mbalimbali kama vile mikanda, Mabegi nk.

Nna mwezi mzima na zaidi naweka oda ya ngozi ya ng'ombe kwa ajili ya kuchemshia mbwa nakosa nashindwa kujua kwanini.

Basi Ikabidi nimuulize huyo muuza bucha kwanini zimekuwa adimu hivyo au soko la Nje ya nchi limekuwa kubwa

Jibu alilonipa sikuamini kwani aliniambia ya Kuwa oda nyingi zinachukuliwa kwa ajili ya kwenda kutengenezea supu ya kuuza na wachache hubeba majumbani kwa matumizi ya nyama ya kula Wao.
Wateja wengi wa supu hiyo ni wale wa hali ya chini na walevi wa Pombe za bei rahisi na matatap kutokana na kutoweza kumudu gharama za kununua nyama au supu ya nyingine tuzijuazo

Wanachofanya ni kuchoma /kuunguza yale manyoa yote na baada ya hapo hubandika jikoni tayari kwa kuchemsha supu hiyo.

Bado sijajua kama ulaji wa aina hiyo ya supu ya ngozi una madhara kiafya kwa walaji hao au ni sawa tu. Na mtu anaekula nyama.

Supu hiyo imekuwa ikiuzwa kibakuli kwa. Sh 500.

Naahidi kuja na Picha na tukio hili nimejionea mwenyewe hapa Kilimanjaro
Yawezekana bei ya kununulia ngozi viwandani imeshuka sana kiasi wauza ng'ombe wanaona ni faida kuiuza kama hivyo.
 
Back
Top Bottom