Hili la watu kula supu ya ngozi ya ng'ombe/mbuzi lina usalama kiasi gani?

Hili la watu kula supu ya ngozi ya ng'ombe/mbuzi lina usalama kiasi gani?

Hakuna
Tulizoea bidhaa kama ngozi ya ng'ombe ikitumika katika utengenezaji wa bidhaa mbalimbali kama vile mikanda, Mabegi nk.

Nna mwezi mzima na zaidi naweka oda ya ngozi ya ng'ombe kwa ajili ya kuchemshia mbwa nakosa nashindwa kujua kwanini.

Basi Ikabidi nimuulize huyo muuza bucha kwanini zimekuwa adimu hivyo au soko la Nje ya nchi limekuwa kubwa

Jibu alilonipa sikuamini kwani aliniambia ya Kuwa oda nyingi zinachukuliwa kwa ajili ya kwenda kutengenezea supu ya kuuza na wachache hubeba majumbani kwa matumizi ya nyama ya kula Wao.
Wateja wengi wa supu hiyo ni wale wa hali ya chini na walevi wa Pombe za bei rahisi na matatap kutokana na kutoweza kumudu gharama za kununua nyama au supu ya nyingine tuzijuazo

Wanachofanya ni kuchoma /kuunguza yale manyoa yote na baada ya hapo hubandika jikoni tayari kwa kuchemsha supu hiyo.

Bado sijajua kama ulaji wa aina hiyo ya supu ya ngozi una madhara kiafya kwa walaji hao au ni sawa tu. Na mtu anaekula nyama.

Supu hiyo imekuwa ikiuzwa kibakuli kwa. Sh 500.

Naahidi kuja na Picha na tukio hili nimejionea mwenyewe hapa Kilimanjaro
Madhara yoyote yale, kwani sisi watu wa kusini ni kawaida yetu tangu zamani sana.

Na sijasikia athari ya aina yoyote ile... Na kama ni Mbuzi basi huwa tamu zaidi ya nyama ya ndani... Jaribu mkuuu ngozi Tamu sana
 
Kama unakula supu ya kongoro na mkia! ulichoandika hapa ni ujinga mtupu. Mimi hizo supu nimekula sana, pia naweza kuziandaa. Pia punguza uongo (exaggreration) mwingi kwenye mada yako. Hivi vitu ni relative Ungejua mchunga ambao DAR wanakula, kwetu ni chakula cha sungura na simbilisi. Kwa leo naishi hapa
Wewe kula hiyo ngozi haimanaishi nilichoandika ni uongo, tofautisha sana nyama ya kwenye mkia na hiyo ngozi, ngozi ya ng'ombe ina nyama gani me ndani sasa
 
Sasa nyama kilo moja Tsh 10.000 unadhani supu ya buku mbili itakuwa na finyango ngapi? mbona kongoro lina ngozi? acha watu wanywe tena unakuta ngozi ina kupe na papasi basi safi kabisa kwa vitamin x.
Sababu ya yote haya ni umaskini tu unazidi nchini, hakuna mtu mwenye uwezo wa kula nyama au maini akaacha akaenda kula ngozi ya ng'ombe I sio na chochote
 
Mkuu
Tulizoea bidhaa kama ngozi ya ng'ombe ikitumika katika utengenezaji wa bidhaa mbalimbali kama vile mikanda, Mabegi nk.

Nna mwezi mzima na zaidi naweka oda ya ngozi ya ng'ombe kwa ajili ya kuchemshia mbwa nakosa nashindwa kujua kwanini.

Basi Ikabidi nimuulize huyo muuza bucha kwanini zimekuwa adimu hivyo au soko la Nje ya nchi limekuwa kubwa

Jibu alilonipa sikuamini kwani aliniambia ya Kuwa oda nyingi zinachukuliwa kwa ajili ya kwenda kutengenezea supu ya kuuza na wachache hubeba majumbani kwa matumizi ya nyama ya kula Wao.
Wateja wengi wa supu hiyo ni wale wa hali ya chini na walevi wa Pombe za bei rahisi na matatap kutokana na kutoweza kumudu gharama za kununua nyama au supu ya nyingine tuzijuazo

Wanachofanya ni kuchoma /kuunguza yale manyoa yote na baada ya hapo hubandika jikoni tayari kwa kuchemsha supu hiyo.

Bado sijajua kama ulaji wa aina hiyo ya supu ya ngozi una madhara kiafya kwa walaji hao au ni sawa tu. Na mtu anaekula nyama.

Supu hiyo imekuwa ikiuzwa kibakuli kwa. Sh 500.

Naahidi kuja na Picha na tukio hili nimejionea mwenyewe hapa Kilimanjaro
kuna wale wengine wanakula ngozi ya yule mnyama mwenye mafuta sana, na wao pia inabid tujue usalama wao ukoje.

Na ile nyama yake hawaichuni ngozi kama hizi zingine, ngozi ni sehemu ya nyama na inaliwa kwelikweli.
 
Tulizoea bidhaa kama ngozi ya ng'ombe ikitumika katika utengenezaji wa bidhaa mbalimbali kama vile mikanda, Mabegi nk.

Nna mwezi mzima na zaidi naweka oda ya ngozi ya ng'ombe kwa ajili ya kuchemshia mbwa nakosa nashindwa kujua kwanini.

Basi Ikabidi nimuulize huyo muuza bucha kwanini zimekuwa adimu hivyo au soko la Nje ya nchi limekuwa kubwa

Jibu alilonipa sikuamini kwani aliniambia ya Kuwa oda nyingi zinachukuliwa kwa ajili ya kwenda kutengenezea supu ya kuuza na wachache hubeba majumbani kwa matumizi ya nyama ya kula Wao.
Wateja wengi wa supu hiyo ni wale wa hali ya chini na walevi wa Pombe za bei rahisi na matatap kutokana na kutoweza kumudu gharama za kununua nyama au supu ya nyingine tuzijuazo

Wanachofanya ni kuchoma /kuunguza yale manyoa yote na baada ya hapo hubandika jikoni tayari kwa kuchemsha supu hiyo.

Bado sijajua kama ulaji wa aina hiyo ya supu ya ngozi una madhara kiafya kwa walaji hao au ni sawa tu. Na mtu anaekula nyama.

Supu hiyo imekuwa ikiuzwa kibakuli kwa. Sh 500.

Naahidi kuja na Picha na tukio hili nimejionea mwenyewe hapa Kilimanjaro
Sio maisha ya chini, wa west africa ni chakula kawaiada tuu, hata kuchwa kinapikwa vizuri
 
Ugumu wa maisha ndio chanzo cha watu kula ngozi na sehemu za siri za wanyama mfano pum*** za mbuzi na ng'ombe zimekuwa maarufu, watu wanagegeda kwa fuji. Turudi kwenye mada. Kazi mojawapo ya ngozi ni kutoa uchafu mwili kwa njia ya jasho. Sumu za mwili pia hutolewa kwa njia ya jasho ingawa zinaweza kutolewa kwa njia nyingine. Hivyo kula ngozi ni sehemu ya kula sumu za mwili wa huyo mnyama
 
Tulizoea bidhaa kama ngozi ya ng'ombe ikitumika katika utengenezaji wa bidhaa mbalimbali kama vile mikanda, Mabegi nk.

Nna mwezi mzima na zaidi naweka oda ya ngozi ya ng'ombe kwa ajili ya kuchemshia mbwa nakosa nashindwa kujua kwanini.

Basi Ikabidi nimuulize huyo muuza bucha kwanini zimekuwa adimu hivyo au soko la Nje ya nchi limekuwa kubwa

Jibu alilonipa sikuamini kwani aliniambia ya Kuwa oda nyingi zinachukuliwa kwa ajili ya kwenda kutengenezea supu ya kuuza na wachache hubeba majumbani kwa matumizi ya nyama ya kula Wao.
Wateja wengi wa supu hiyo ni wale wa hali ya chini na walevi wa Pombe za bei rahisi na matatap kutokana na kutoweza kumudu gharama za kununua nyama au supu ya nyingine tuzijuazo

Wanachofanya ni kuchoma /kuunguza yale manyoa yote na baada ya hapo hubandika jikoni tayari kwa kuchemsha supu hiyo.

Bado sijajua kama ulaji wa aina hiyo ya supu ya ngozi una madhara kiafya kwa walaji hao au ni sawa tu. Na mtu anaekula nyama.

Supu hiyo imekuwa ikiuzwa kibakuli kwa. Sh 500.

Naahidi kuja na Picha na tukio hili nimejionea mwenyewe hapa Kilimanjaro
Bora hao kuna wengine wanakula utabu tena wanataka usisafishwe kwakuwa viini lishe viko kwenye majani aliyokula mnyama akacheuacheua
 
Back
Top Bottom