Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee kaa pembeni mkuu! Sisi walafi wacha tule supu ya ngozi.ULAFI TU MKUU, KAMA SINA HELA YA SUPU BORA NIKAE TU ZANGU PEMBENI KULIKO NGOZI AISEE
Madhara yoyote yale, kwani sisi watu wa kusini ni kawaida yetu tangu zamani sana.Tulizoea bidhaa kama ngozi ya ng'ombe ikitumika katika utengenezaji wa bidhaa mbalimbali kama vile mikanda, Mabegi nk.
Nna mwezi mzima na zaidi naweka oda ya ngozi ya ng'ombe kwa ajili ya kuchemshia mbwa nakosa nashindwa kujua kwanini.
Basi Ikabidi nimuulize huyo muuza bucha kwanini zimekuwa adimu hivyo au soko la Nje ya nchi limekuwa kubwa
Jibu alilonipa sikuamini kwani aliniambia ya Kuwa oda nyingi zinachukuliwa kwa ajili ya kwenda kutengenezea supu ya kuuza na wachache hubeba majumbani kwa matumizi ya nyama ya kula Wao.
Wateja wengi wa supu hiyo ni wale wa hali ya chini na walevi wa Pombe za bei rahisi na matatap kutokana na kutoweza kumudu gharama za kununua nyama au supu ya nyingine tuzijuazo
Wanachofanya ni kuchoma /kuunguza yale manyoa yote na baada ya hapo hubandika jikoni tayari kwa kuchemsha supu hiyo.
Bado sijajua kama ulaji wa aina hiyo ya supu ya ngozi una madhara kiafya kwa walaji hao au ni sawa tu. Na mtu anaekula nyama.
Supu hiyo imekuwa ikiuzwa kibakuli kwa. Sh 500.
Naahidi kuja na Picha na tukio hili nimejionea mwenyewe hapa Kilimanjaro
Wewe kula hiyo ngozi haimanaishi nilichoandika ni uongo, tofautisha sana nyama ya kwenye mkia na hiyo ngozi, ngozi ya ng'ombe ina nyama gani me ndani sasaKama unakula supu ya kongoro na mkia! ulichoandika hapa ni ujinga mtupu. Mimi hizo supu nimekula sana, pia naweza kuziandaa. Pia punguza uongo (exaggreration) mwingi kwenye mada yako. Hivi vitu ni relative Ungejua mchunga ambao DAR wanakula, kwetu ni chakula cha sungura na simbilisi. Kwa leo naishi hapa
Ndo mana makongoro yanaitwa kongoro na sio ngozi, hapa naongelea mtu kula ngozi na sio kongoro,Hapo unashangaa nini?Makongoro siyo ngozi?😂😂😂😂
Sababu ya yote haya ni umaskini tu unazidi nchini, hakuna mtu mwenye uwezo wa kula nyama au maini akaacha akaenda kula ngozi ya ng'ombe I sio na chochoteSasa nyama kilo moja Tsh 10.000 unadhani supu ya buku mbili itakuwa na finyango ngapi? mbona kongoro lina ngozi? acha watu wanywe tena unakuta ngozi ina kupe na papasi basi safi kabisa kwa vitamin x.
kuna wale wengine wanakula ngozi ya yule mnyama mwenye mafuta sana, na wao pia inabid tujue usalama wao ukoje.Tulizoea bidhaa kama ngozi ya ng'ombe ikitumika katika utengenezaji wa bidhaa mbalimbali kama vile mikanda, Mabegi nk.
Nna mwezi mzima na zaidi naweka oda ya ngozi ya ng'ombe kwa ajili ya kuchemshia mbwa nakosa nashindwa kujua kwanini.
Basi Ikabidi nimuulize huyo muuza bucha kwanini zimekuwa adimu hivyo au soko la Nje ya nchi limekuwa kubwa
Jibu alilonipa sikuamini kwani aliniambia ya Kuwa oda nyingi zinachukuliwa kwa ajili ya kwenda kutengenezea supu ya kuuza na wachache hubeba majumbani kwa matumizi ya nyama ya kula Wao.
Wateja wengi wa supu hiyo ni wale wa hali ya chini na walevi wa Pombe za bei rahisi na matatap kutokana na kutoweza kumudu gharama za kununua nyama au supu ya nyingine tuzijuazo
Wanachofanya ni kuchoma /kuunguza yale manyoa yote na baada ya hapo hubandika jikoni tayari kwa kuchemsha supu hiyo.
Bado sijajua kama ulaji wa aina hiyo ya supu ya ngozi una madhara kiafya kwa walaji hao au ni sawa tu. Na mtu anaekula nyama.
Supu hiyo imekuwa ikiuzwa kibakuli kwa. Sh 500.
Naahidi kuja na Picha na tukio hili nimejionea mwenyewe hapa Kilimanjaro
Sio maisha ya chini, wa west africa ni chakula kawaiada tuu, hata kuchwa kinapikwa vizuriTulizoea bidhaa kama ngozi ya ng'ombe ikitumika katika utengenezaji wa bidhaa mbalimbali kama vile mikanda, Mabegi nk.
Nna mwezi mzima na zaidi naweka oda ya ngozi ya ng'ombe kwa ajili ya kuchemshia mbwa nakosa nashindwa kujua kwanini.
Basi Ikabidi nimuulize huyo muuza bucha kwanini zimekuwa adimu hivyo au soko la Nje ya nchi limekuwa kubwa
Jibu alilonipa sikuamini kwani aliniambia ya Kuwa oda nyingi zinachukuliwa kwa ajili ya kwenda kutengenezea supu ya kuuza na wachache hubeba majumbani kwa matumizi ya nyama ya kula Wao.
Wateja wengi wa supu hiyo ni wale wa hali ya chini na walevi wa Pombe za bei rahisi na matatap kutokana na kutoweza kumudu gharama za kununua nyama au supu ya nyingine tuzijuazo
Wanachofanya ni kuchoma /kuunguza yale manyoa yote na baada ya hapo hubandika jikoni tayari kwa kuchemsha supu hiyo.
Bado sijajua kama ulaji wa aina hiyo ya supu ya ngozi una madhara kiafya kwa walaji hao au ni sawa tu. Na mtu anaekula nyama.
Supu hiyo imekuwa ikiuzwa kibakuli kwa. Sh 500.
Naahidi kuja na Picha na tukio hili nimejionea mwenyewe hapa Kilimanjaro
Si mpaka uambiwe. Kama ni mpenda supu na unakula kula tu kila mahali uswahikini huko utakuwa umeshakulia na si ajabu uliisifia sana.ULAFI TU MKUU, KAMA SINA HELA YA SUPU BORA NIKAE TU ZANGU PEMBENI KULIKO NGOZI AISEE
- Mende analiwa vizuri sana.Vp supu ya mende
nayo vp...
Bora hao kuna wengine wanakula utabu tena wanataka usisafishwe kwakuwa viini lishe viko kwenye majani aliyokula mnyama akacheuacheuaTulizoea bidhaa kama ngozi ya ng'ombe ikitumika katika utengenezaji wa bidhaa mbalimbali kama vile mikanda, Mabegi nk.
Nna mwezi mzima na zaidi naweka oda ya ngozi ya ng'ombe kwa ajili ya kuchemshia mbwa nakosa nashindwa kujua kwanini.
Basi Ikabidi nimuulize huyo muuza bucha kwanini zimekuwa adimu hivyo au soko la Nje ya nchi limekuwa kubwa
Jibu alilonipa sikuamini kwani aliniambia ya Kuwa oda nyingi zinachukuliwa kwa ajili ya kwenda kutengenezea supu ya kuuza na wachache hubeba majumbani kwa matumizi ya nyama ya kula Wao.
Wateja wengi wa supu hiyo ni wale wa hali ya chini na walevi wa Pombe za bei rahisi na matatap kutokana na kutoweza kumudu gharama za kununua nyama au supu ya nyingine tuzijuazo
Wanachofanya ni kuchoma /kuunguza yale manyoa yote na baada ya hapo hubandika jikoni tayari kwa kuchemsha supu hiyo.
Bado sijajua kama ulaji wa aina hiyo ya supu ya ngozi una madhara kiafya kwa walaji hao au ni sawa tu. Na mtu anaekula nyama.
Supu hiyo imekuwa ikiuzwa kibakuli kwa. Sh 500.
Naahidi kuja na Picha na tukio hili nimejionea mwenyewe hapa Kilimanjaro