Eti Kuna vijana huko ruvuma wanamradi kabisa wa kuuza mende..na serikali imewapa mkopo wa kuendeleza biashara yao..mende analiwa!!!!..nilochoka Mimi..mende mmoja elfu moja😂😂😂..wanaokula wanajiweza- Mende analiwa vizuri sana.
-Je huamini?
===
Tazama hizi video mbili
Tulizoea bidhaa kama ngozi ya ng'ombe ikitumika katika utengenezaji wa bidhaa mbalimbali kama vile mikanda, Mabegi nk.
Nna mwezi mzima na zaidi naweka oda ya ngozi ya ng'ombe kwa ajili ya kuchemshia mbwa nakosa nashindwa kujua kwanini.
Basi Ikabidi nimuulize huyo muuza bucha kwanini zimekuwa adimu hivyo au soko la Nje ya nchi limekuwa kubwa
Jibu alilonipa sikuamini kwani aliniambia ya Kuwa oda nyingi zinachukuliwa kwa ajili ya kwenda kutengenezea supu ya kuuza na wachache hubeba majumbani kwa matumizi ya nyama ya kula Wao.
Wateja wengi wa supu hiyo ni wale wa hali ya chini na walevi wa Pombe za bei rahisi na matatap kutokana na kutoweza kumudu gharama za kununua nyama au supu ya nyingine tuzijuazo
Wanachofanya ni kuchoma /kuunguza yale manyoa yote na baada ya hapo hubandika jikoni tayari kwa kuchemsha supu hiyo.
Bado sijajua kama ulaji wa aina hiyo ya supu ya ngozi una madhara kiafya kwa walaji hao au ni sawa tu. Na mtu anaekula nyama.
Supu hiyo imekuwa ikiuzwa kibakuli kwa. Sh 500.
Naahidi kuja na Picha na tukio hili nimejionea mwenyewe hapa Kilimanjaro
Kweli nimeamini weye ndiye mwenye hiyo id.Kwa hiyo kongolo halina ngozi?😂😂😂😂Ndo mana makongoro yanaitwa kongoro na sio ngozi, hapa naongelea mtu kula ngozi na sio kongoro,
Kongoro lina nyama na mafuta flani hivo ndani yake isitoshe pia ni tiba kwa watu wa miguu inayouma
[emoji1787][emoji1787]Eti Kuna vijana huko ruvuma wanamradi kabisa wa kuuza mende..na serikali imewapa mkopo wa kuendeleza biashara yao..mende analiwa!!!!..nilochoka Mimi..mende mmoja elfu moja[emoji23][emoji23][emoji23]..wanaokula wanajiweza
Au sioNiliona supu ngozi zamani sana pale manzese.
We endelea kuchoka wakati wenzako wanatengeneza pesaEti Kuna vijana huko ruvuma wanamradi kabisa wa kuuza mende..na serikali imewapa mkopo wa kuendeleza biashara yao..mende analiwa!!!!..nilochoka Mimi..mende mmoja elfu moja😂😂😂..wanaokula wanajiweza
Asante, naona wengi wao hawaelewi hili, ngozi ilivo ngumu inatumika kutengeneza bags na mikanda sasa sijui kongoro linatumika kutengeneza bidhaa ganiUgumu wa maisha ndio chanzo cha watu kula ngozi na sehemu za siri za wanyama mfano pum*** za mbuzi na ng'ombe zimekuwa maarufu, watu wanagegeda kwa fuji. Turudi kwenye mada. Kazi mojawapo ya ngozi ni kutoa uchafu mwili kwa njia ya jasho. Sumu za mwili pia hutolewa kwa njia ya jasho ingawa zinaweza kutolewa kwa njia nyingine. Hivyo kula ngozi ni sehemu ya kula sumu za mwili wa huyo mnyama
Kongoro nyama ni ndogo sana , asilimia kubwa ni ngozi, mfupa na uboho, ila kitamu zaidi ni ngozi na uboho, ngozi ya ngumu ndio maana kongoro linachemshwa mda mrefu ili ngozi iiveAsante, naona wengi wao hawaelewi hili, ngozi ilivo ngumu inatumika kutengeneza bags na mikanda sasa sijui kongoro linatumika kutengeneza bidhaa gani
Laiti ungekuwa unajua utamu wake usingethubutu kuinanga hivi.ULAFI TU MKUU, KAMA SINA HELA YA SUPU BORA NIKAE TU ZANGU PEMBENI KULIKO NGOZI AISEE
Watengeneze tu hawajakatazwaWe endelea kuchoka wakati wenzako wanatengeneza pesa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukienda Mbeya, supu ya ngozi ni common tu. Ukiagiza supu, unaletewa na ndizi mbili zile ngumungumu, ukishushia na maji ya kwenye jagi la mama ntilie basi unashiba haswa kwa shilling 1000-2000.
Aisee.....wakina mangi na manka waje watueleze ladha yake inakuaje.