unataka ukweli gani?kwakuwa mshazoea kudanganganywa basi yatatoka leo saa6 usikuUnaleta utan watu wapo serious
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unataka ukweli gani?kwakuwa mshazoea kudanganganywa basi yatatoka leo saa6 usikuUnaleta utan watu wapo serious
unataka ukweli gani?kwakuwa mshazoea kudanganganywa basi yatatoka leo saa6 usiku
JemedaryJamani hizi habari ni za kweli hapo chini auView attachment 2180911
Mkeka ushatoka? Ndo maana watu wako kimyaa kumbeHongereni Sana wakuu mliopenya ....tuliobaki tupambane kwa 1000 zilizobaki
Sent from my TECNO CC6 using JamiiForums mobile app
Mkuu wanaweza kuita watu kazini bila kutoa mkeka?Hongereni Sana wakuu mliopenya ....tuliobaki tupambane kwa 1000 zilizobaki
Sent from my TECNO CC6 using JamiiForums mobile app
Mkuu wanaweza kuita watu kazini bila kutoa mkeka?
Mkuu usiwe desperate sana utaratibu ni ule ule watatoa majina ndipo taratibu zingine zitaendelea.Ni Disappointment kubwa sana hii. Watu tumekaa tunasubiri mkeka alafu wenyewe wanaita watu kimya kimya kweli. Kwann wasifuate utaratibu wao wa kutangaza mkeka kama ilivyokawaida. Kuna mtu alinijuza ya kwamba PSRS Wanadisappoint sana watu
Mkeka on the wayNi Disappointment kubwa sana hii. Watu tumekaa tunasubiri mkeka alafu wenyewe wanaita watu kimya kimya kweli. Kwann wasifuate utaratibu wao wa kutangaza mkeka kama ilivyokawaida. Kuna mtu alinijuza ya kwamba PSRS Wanadisappoint sana watu
Mkeka umetoka mbona sisikii mkisemaa km mmepata
Tupo wengi mbona mm nimepataMkeka umetoka mbona sisikii mkisemaa km mmepata
Mkuu tupo pamojaMimi nimekosa next time nitapambana zaidi