Kenya 2022 Hili lisipofanyika naiona Damu Kubwa sana inaenda kumwagika Kenya baada ya huu Uchaguzi Mkuu

Kenya 2022 Hili lisipofanyika naiona Damu Kubwa sana inaenda kumwagika Kenya baada ya huu Uchaguzi Mkuu

Kenya 2022 General Election

Cognizant

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2022
Posts
626
Reaction score
1,409
Ili Kukonga nyoyo za kila upande Hasimu Team Ruto na Team Odinga yeyote atakayetangazwa rasmi na Supreme Court ya nchini Kenya kuwa ndiye Mshindi' amteue Mpinzani wake kuwa Waziri Mkuu Cheo ambacho kwa Katiba ya Kenya hakipo ila katika Mazingira tatanishi na kuleta Usawa na Utulivu huwa Kinaundwa

William Ruto na Raila Odinga wanawakilisha Makundi ya Ushawishi na yaliyokata Tamaa kutokana na Ugumu wa Maisha hivyo ni rahisi zaidi kwa Mshindwa Kihalali kuamua Kuwaratibu ili wafanye Fujo na Kenya isitawalike Kitu ambacho Team Ruto na Team Odinga wanaonekana kukitaka japo mbele ya Csmera wote Kiunafiki na Kidiplomasia wanahubiri Upendo, Amani, Umoja na Mshikamano.

Wawili hawa ambao ni Mahasimu Kisiasa watake wasitake ili Kuondokona na lawama Wakubaliane tu kuwa Waunde Serikali ya Umoja wa Kitaifa ( SUK ) na kile Cheo cha Waziri Mkuu kirejeshwe na aliyeshindwa ateuliwe hapo kama sehemu ya Kumtuliza na Kuwatuliza Wafuasi wake na Msisha yaendelee.

Kwa hizi Fujo chache nilizoanza Kuziona hasa baada ya Kutangazwa William Ruto ni Mshindi' kama Busara ya Vyeo isipofanyika Damu Kubwa inaenda Kumwagika na tujiandae kuwapokea Wakenya kama Wakimbizi kwa Fujo Kubwa inayoonekana bila Kificho kuwa muda wowote inaenda Kuanza.
 
here we go... everybody becomes a political analyst and to an extent, we even have prophets
 
Hivi ni kwanini wanasiasa wengi wa kiafrika hawakubaligi kushindwa kwenye chaguzi?
 
Ruto keshashinda na hata wakirudua Ruto atashinda
hakuna haja ya Korti kisumbuka Odinga apumzike sasa
 
Ili Kukonga nyoyo za kila upande Hasimu Team Ruto na Team Odinga yeyote atakayetangazwa rasmi na Supreme Court ya nchini Kenya kuwa ndiye Mshindi' amteue Mpinzani wake kuwa Waziri Mkuu Cheo ambacho kwa Katiba ya Kenya hakipo ila katika Mazingira tatanishi na kuleta Usawa na Utulivu huwa Kinaundwa

William Ruto na Raila Odinga wanawakilisha Makundi ya Ushawishi na yaliyokata Tamaa kutokana na Ugumu wa Maisha hivyo ni rahisi zaidi kwa Mshindwa Kihalali kuamua Kuwaratibu ili wafanye Fujo na Kenya isitawalike Kitu ambacho Team Ruto na Team Odinga wanaonekana kukitaka japo mbele ya Csmera wote Kiunafiki na Kidiplomasia wanahubiri Upendo, Amani, Umoja na Mshikamano.

Wawili hawa ambao ni Mahasimu Kisiasa watake wasitake ili Kuondokona na lawama Wakubaliane tu kuwa Waunde Serikali ya Umoja wa Kitaifa ( SUK ) na kile Cheo cha Waziri Mkuu kirejeshwe na aliyeshindwa ateuliwe hapo kama sehemu ya Kumtuliza na Kuwatuliza Wafuasi wake na Msisha yaendelee.

Kwa hizi Fujo chache nilizoanza Kuziona hasa baada ya Kutangazwa William Ruto ni Mshindi' kama Busara ya Vyeo isipofanyika Damu Kubwa inaenda Kumwagika na tujiandae kuwapokea Wakenya kama Wakimbizi kwa Fujo Kubwa inayoonekana bila Kificho kuwa muda wowote inaenda Kuanza.
Huyu ndo atamwaga damu?
 

Attachments

  • 20220817_091030.jpg
    20220817_091030.jpg
    26.7 KB · Views: 9

 
Back
Top Bottom