Kenya 2022 Hili lisipofanyika naiona Damu Kubwa sana inaenda kumwagika Kenya baada ya huu Uchaguzi Mkuu

Kenya 2022 General Election
Serikali ya mseto inakuja kenya ...vinginevyo ni [emoji879][emoji879][emoji879]tu au Rais Ruto awe rais bora kweli kweli ndiyo anaweza kutuliza nchi
 
Serikali ya mseto inakuja kenya ...vinginevyo ni [emoji879][emoji879][emoji879]tu au Rais Ruto awe rais bora kweli kweli ndiyo anaweza kutuliza nchi
Nyie mtaimwaga maradufu kwanza ni watoto wenyu watakaomwaga damu kwa sababu ya uoga wenyu nyie wapiga ramli,chama kimoja tangu uhuru kimewabaka nakuwakaba kooni kweli kweli.
Hata katiba tu hamna.

Maajabu ya kipofu kumcheka chongo.
 
Nyie mtaimwaga maradufu kwanza ni watoto wenyu watakaomwaga damu kwa sababu ya uoga wenyu nyie wapiga ramli,chama kimoja tangu uhuru kimewabaka nakuwakaba kooni kweli kweli.
Hata katiba tu hamna.

Maajabu ya kipofu kumcheka chongo.
Sisi tulikuwa tunakwenda vizuri sana sema huyu kanithi wa zanzibar katuchafua kwa muda ila tuta fanya 2025 tutatue ili tatizo
 
Sisi tulikuwa tunakwenda vizuri sana sema huyu kanithi wa zanzibar katuchafua kwa muda ila tuta fanya 2025 tutatue ili tatizo
mama yuko vizuri tena makini sana. 2025 nitampa kura yangu
 
solution ni uchaguzi urudiwe kwa usimamizi madhubuti!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…