Hili ndio jengo la Machinjio linalodaiwa kugharimu shilingi milioni 200 huko Kigoma

Mkuu upepo ushapuliza mkia wa kuku😃😃
 
Mkuu upepo ushapuliza mkia wa kuku😃😃
Machinjo ya kisasa sio KARO la kuchinjia. Hapo bilioni 1 na zaidi itahitajika. Fuatilia waliojenga machinjio za kusasa. Ndio sababu kumchinja ngombe mmoja gharama haipungui tshs 20000. Hizo za kwenye karo wanakotumia maji machafu kuoshea utumbo na nyama, watu waiovaa mavazi machafu, machinjio yanayonuka, nyama chafu ndio wanaotoza 5000. Hatuwezi kuendelea na hayo makaro mkuu. Watu wengi wangefika ktk makaro wasingekula nyama tena.
 
Endelea kupulizia kinyesi pafyumu!!
 
[emoji119][emoji124][emoji124][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Manka unapanic bure tu!

Nioneshe hicho chama mbadala wa ccm!
Mbuzi mwenye Kamba shingoni, usiejua hata thamani ya uhuru wako, haya mengine yapo nje ya uwelewa wako, wewe furahia urefu wa kamba yako tu basi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…