Hili ndio jengo la Machinjio linalodaiwa kugharimu shilingi milioni 200 huko Kigoma

Hili ndio jengo la Machinjio linalodaiwa kugharimu shilingi milioni 200 huko Kigoma

Kufunga mfumo wa uchijaji gharama haitapungua milioni 500. Bado ujenzi wa mazizi ya kuhifadhi wanyama wakingojea kuchinjwa, mfumo wa majtaka wenye mabwawa yake, vyoo vya wafanyakazi na watakaokuja kupata huduma na mfumo wa maji ya moto na baridi ndani ya machinjio na matanki ya maji kuhifadhi maji ya kutosha uchinjaji wa siku kila ng,ombe akikadiriwa kutumia lita 1000, genereta ya dharura. Jengo hilo kwa kukadiria lina upana na urefu usiopungua mia 25 kwa 30 mpaka 50. Milioni 200 ni ndogo sana.
Kinachoonekana hapo jengo la mil 200 labda hayo majenerata na mafriza bado yapo nyumbani kwako hujayaleta hapo😃😃
 
Mbuzi mwenye Kamba shingoni, usiejua hata thamani ya uhuru wako, haya mengine yapo nje ya uwelewa wako, wewe furahia urefu wa kamba yako tu basi.
[emoji23][emoji23][emoji23]Manka unapanic

Hebu nisambaratishe kwa kutaja hicho chama
 
Ni mradi wa lini huu? Jengo halionekani kuwa jipya!
Wanatekeleza ilani yao ya kula kwa urefu wa kamba kwa vitendo.Miradi hiyo hiyo miaka nenda rudi wanaitangaza kila uchaguzi.
Mnalalamika bei ya vifaa vya ujenzi?Mnunuzi wa vifaa hivyo kwa bei kubwa yupo juu na anatumia tozo kuharibu soko.
 
Kinachoonekana hapo jengo la mil 200 labda hayo majenerata na mafriza bado yapo nyumbani kwako hujayaleta hapo😃😃

Bado nasisitiza kuwa milioni 200 ni ndogo. Naona amejenga jengo simple. Mfano paa haitakiwi iwe yaMBAO. Inatakiwa ya mabomba au chuma ndio ifunikwe na bati. Bado kunatakuwa viyoyozi. Dirisha ni za kuingiza mwanga tu. Zinatakiwa ziwe zimefungwa wakati wanachinja mkuu.
 
Hilo jengo nimetumia sana pesa milion 40 na hz ni gharama za juu za makadilio tofali za block 5000 kila tofali 1500 saluji mifuko 50 @25000 fund kujenga milioni 7 boliti na bati boli@10000 hapo mia mbili hazifiki bati hizo moja25000 hapo hazifiki300 usafirishaji kwa vyote milioni 5 hazifik drilii kila dilisha ni 75000 hayafiki 50 hapo kupaua fund milion 6 ni seme tu watanzania tumepoteza kodi na tozo zetu
View attachment 2094891
 
Milioni 200 sio nyingi kivile.
Labda ungetutajia na aina za materials yaliyotumika ndipo tuje tuhukumu.
Maji, umeme na vyoo vya kisiasa vipo?
 
View attachment 2094582

Hizi ndio hesabu walizopiga magwiji wa makadirio wa serikali ya Tanzania kwa hii machinjio ya Kisasa iliyojengwa huko Ujijiji Mkoani Kigoma.

Taarifa zinaonyesha kwamba hata hizo mil 200 za ujenzi wa jengo hilo hazikutosha kulikamilisha .

Kazi Iendelee .
Halafu wakati wa uzinduzi wa hili gofu utasikia huu ulikuwa mradi wa ''kimkakati''. Kisha wananchi watapiga makofi bila kujua tozo zao za miamala zimekwisha liwa na nzi wa kijani
 
Bado nasisitiza kuwa milioni 200 ni ndogo. Naona amejenga jengo simple. Mfano paa haitakiwi iwe yaMBAO. Inatakiwa ya mabomba au chuma ndio ifunikwe na bati. Bado kunatakuwa viyoyozi. Dirisha ni za kuingiza mwanga tu. Zinatakiwa ziwe zimefungwa wakati wanachinja mkuu.
Yaa kwa hilo jengo mil. 200 bado ni kidogo kutegemea na design, aina na quality ya material iliyowekwa humo........labda kama limejengwa kienyejienyeji....
 
Fun
View attachment 2094582

Hizi ndio hesabu walizopiga magwiji wa makadirio wa serikali ya Tanzania kwa hii machinjio ya Kisasa iliyojengwa huko Ujijiji Mkoani Kigoma.

Taarifa zinaonyesha kwamba hata hizo mil 200 za ujenzi wa jengo hilo hazikutosha kulikamilisha .

Kazi Iendelee .
Fundi na kamati husika wamekula urefu wa kamba zao
 
Hizi ndio hesabu walizopiga magwiji wa makadirio wa serikali ya Tanzania kwa hii machinjio ya Kisasa iliyojengwa huko Ujijiji Mkoani Kigoma.

Taarifa zinaonyesha kwamba hata hizo mil 200 za ujenzi wa jengo hilo hazikutosha kulikamilisha .

Kazi Iendelee .
... muonekano wa nje usikusumbue Mkuu; sehemu za kuchinjia zimenakshiwa kwa dhahabu na marumaru za thamani kuu ili ku-maintain ubora wa nyama.
 
Back
Top Bottom