Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
View attachment 2094582
Hizi ndio hesabu walizopiga magwiji wa makadirio wa serikali ya Tanzania kwa hii machinjio ya Kisasa iliyojengwa huko Ujijiji Mkoani Kigoma.
Taarifa zinaonyesha kwamba hata hizo mil 200 za ujenzi wa jengo hilo hazikutosha kulikamilisha .
Kazi Iendelee .
Nchi inafunguliwa tusimkwamishe mama [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]