Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Hii nchi msilaumu watawala wala nini laumini wananchi wenyewe hawajitambui, ukipata nafasi wewe piga pesa kaa pembeni
Hizi ndio hesabu walizopiga magwiji wa makadirio wa serikali ya Tanzania kwa hii machinjio ya Kisasa iliyojengwa huko Ujijiji Mkoani Kigoma.
Taarifa zinaonyesha kwamba hata hizo mil 200 za ujenzi wa jengo hilo hazikutosha kulikamilisha.
Kazi Iendelee.
Kaelekea kibirizi kutoka ujijikaelekea wapi ?
Nioneshe chama kitakachowaletea watz maendeleo ili tuipige chini ccm!
Inabidi tuachane na issues kama...
Oh..! unajua....huu ni mradi wa kipindi cha fulani, so haimuhusu fulani.
Tusisahau kuwa Tanzania inatawaliwa na CCM, na viongozi wote wa CCM ni mafisadi na wabinafsi waliopindukia.
Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magufuli na Samia , wote ni CCM.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatuwezi kuonja sumu kwa kuirambaUbora wa chama huonekana kikiingia madarakani. Kikishindwa huondolewa na wananchi kupitia sanduku la kura. Kingine huingia. It’s a continuous/dynamic process.
Bila mfumo makini wa demokrasia tutaendelea kutawaliwa na wahuni wasio na wasiwasi wa kuwajibishwa na wananchi.
Sio lazima kuwe na chama bora kingine ndo maendeleo yawepo.bali dhumuni la vyama mbadala ni ili kuleta ushindani.ukipata nafasi fanya vizuri ili uendelee kuwepo ila ukiharibu unakaa pembeni anakaa mwingine.Siku kutakapokua na ushindani wamadaraka ndio siku tutakayoanza kuona uwajibikaji na maendeleo.Binafsi nakubaliana na wewe kuwa ccm imeshindwa kuleta kile wananchi wangetamani kiletwe na kwa muda mfupi, lakini kuamini kuwa Chadema ni mbadala wa ccm au itafanya vizuri kuliko ccm huo ni ujuha uliopitiliza.
[emoji38][emoji38] unatafuta kulogwa ?Uchunguzi ufanyike...
Hatuwezi kuonja sumu kwa kuiramba
Inabidi tuachane na issues kama...
Oh..! unajua....huu ni mradi wa kipindi cha fulani, so haimuhusu fulani.
Tusisahau kuwa Tanzania inatawaliwa na CCM, na viongozi wote wa CCM ni mafisadi na wabinafsi waliopindukia.
Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magufuli na Samia , wote ni CCM.
Sent using Jamii Forums mobile app