Mwanza Shinyanga Na Simiyu ndo usiseme. Si unajua wasukuma hawachagui majina ya Dini? Usukumani akina Ramadhani , Iddi,Rajabu, Shabani na Juma wakristo WaPo wengi vibaya mno. Yani I guess hata Shabani Juma wa Yanga atakuwa msukuma Kwa Sababu akina Shabani Juma usukumani WaPo wengi sana.
Akina Fatuma kanda ya ziwa WaPo wa kumwaga..
Halafu jina Fatuma/Fateema/Fatima Ni Jina takatifu miongoni mwa wakatoliki..
Kile kitongoji kiitwacho Fatima kilichopo Ureno ambako Bikira Maria aliwatokea Lucia, Francis Na Yasinta was named after Fatma who was the most favourite daughter of Prophet Muhammad , Peace Be Upon Him.
Hujaisikiaga kwaya ya OUR LADY OF FATIMA