Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rehema/rahmaNo, at least Neema
Niapoishi hakuna Fatuma, mtaa ninapofanyia kazi, wengi ni Muslim, nipo zaidi ya miaka 10, yupo Fatuma mmoja. Wapo kina Adija, Zainabu, Johari, Mwasiti, Zuena, Maramu, Siwema nk. Una mapenzi na jina hilo.Uongo mkuu! Wanawake kumi mmoja ataitwa fatuma? Labda kwenu Daslamu.
Mimi kwetu kijijini kina fatuma hawafiki watano kijiji kizima.
Fatima, sio Fatuma.Ndio kuna sala inaitwa sala ya fatuma, wakatoliki wanajua, maana yake
Hakuna kitu kama hicho aisee, jaribu tenaNdio kuna sala inaitwa sala ya fatuma, wakatoliki wanajua, maana yake
Au Fetty ukiwaita Fatuma wana mind vibaya Sana. Wakati nipo chuo nilikuwaga Na demu wangu anaitwa Fatma basi siku hiyo nikamuita Fatuma, alininunia semester nzimaNa siku hizi kina FATUMA wanapotea naona wanajiita kwa mfumo wa FATMA
Duh hiyo lazima itakuwa ukara🤣🤣🤣Hilo jina nimekuja kuliskia darasa la 6, huyo mwenye jina alipohamia shuleni kwetu. Baada ya hapo hakukua na Fatuma mwingine kijijini mpaka nilipokua daslamu na kukuta wanalitumia tumia ila sio kama la "Naa" sa sijui ni Nasra au n nn!!!?
KkkkkkkTake it easy mkuu
Yeah kanda ya ziwa Hadi kina Jaffari Na Salumu wakristo wapoMtoa mada ashasema kafanya utafiti wake,watu washaanza kunasibisha na dini tayar loohh kazi kweli kweli,Kanda ya ziwa huko hawachagui majina lolote tu linalotamkika kinywani twende nalo...
Mimi wawili nimesoma nao primary na mmoja o'level .. aisee sasa wanasema hawaitwi FATUMA. eti ni fatma mara fetty! Sasa mimi kuwakera nawaita fatuma tena ile ya slow motion minuno kama yoteAu Fetty ukiwaita Fatuma wana mind vibaya Sana. Wakati nipo chuo nilikuwaga Na demu wangu anaitwa Fatma basi siku hiyo nikamuita Fatuma, alininunia semester nzima
Hapo ndio jina rahisi kukumbuka majina ya watu popote pale mtu alinipigia[emoji23]Wewe unawaza mishe za pumbu tu.
[emoji1787]
Nikiwa na mmoja huyo huyo mpaka tukiachana ni mara chache sana nikawaza kucheat. Niko btn 20-25 yrs12?
How old are you mate? [emoji23]
Aisee wewe mbinguni ni lazima
Uongo mkuu! Wanawake kumi mmoja ataitwa fatuma? Labda kwenu Daslamu.
Mimi kwetu kijijini kina fatuma hawafiki watano kijiji kizima.
Vizuri man.Nikiwa na mmoja huyo huyo mpaka tukiachana ni mara chache sana nikawaza kucheat. Niko btn 20-25 yrs
Naona Hangaya likija kufunika.....