Hili ndo jukumu kubwa la Mwanaume Kiasili. Mengine ni kuzidishiwa tu na kupewa Mzigo. Tujitambue

Hili ndo jukumu kubwa la Mwanaume Kiasili. Mengine ni kuzidishiwa tu na kupewa Mzigo. Tujitambue

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Binadamu tuna asili ya wanyama kiasi flani. Na tabia nyingi za Wanyama zinahusiana na Binadamu.

Kiasili suala la kulea watoto ni la Wanawake. Ndiyo. Wanaume kazi yao ni kutia mimba halafu wanapaswa waendelee na safari zao. Yaani kama umetoka Dar kwa miguu unaenda Tanga.

Basi wewe kila kijiji ambacho utapumzika. Unakutana na mwanamke. Unamwachia mbegu. Kama ni wakati wa rutuba zitaota kama siyo zitamnenepesha. Then we unaendelea kijiji kingine.

So mpaka ukifika Tanga unakuwa ushapanda mbegu nyingi. Na wakati wa kurudi hivyo hivyo. Ndo inapaswa iwe hivyo. Wewe umewahi ona mbuzi au ng'ombe dume ananyonyesha? Umewahi kuona mnyama dume analea? Siyo kazi yake. Kazi yake yeye ni kupandikiza tu basi.

So wanawake mnapaswa hili mlielewe. Habari ya kusema amenizalisha akaniacha. Si kosa la mwanaume. Labda kama alikubaka. But kama mlitiana hilo ni jukumu lako.yeye alishatimiza wajibu wake na anapaswa aendelee mbele.

Wewe unayezaa kwa uchungu,unazaa kwa uchungu ili uweze kuukumbuka huo uchungu ulee mtoto. Mwanaume yeye akishakutia mimba anakuwa amemaliza. Ameshusha mzigo wake nawe umeupokea. Na ndo maana mbegu zinatoka kwa mwanaume zinaenda kwa mwanamke.

Na ukiangalia style ilivyo ni kuwa mwanamke unatangulia kulala chini jamaa anakuja juu yako. Anamwaga anaamka anaondoka. Nawe unaamka unabaki na mzigo wake.

So mwanaume kulea mimba au mtoto ni majukumu ambayo si yake. Ni nyongeza na pia kumwongezea mzigo asiostahili. Nashauri kila mtu abaki na majukumu yake.

NA KIUKWELI MZAZI HALISI ASIYE NA SHAKA WA MTOTO NI MAMA. BABA INATEGEMEANA TU. WANAUME WENGI WANAITWA BABA NA WATOTO WASIO WAO.

NIMEKAA PALE 👉
 
Ngoja haki Sawa waje
Hasa hawa single mothers [emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
 
Binadamu tuna asili ya wanyama kiasi flani. Na tabia nyingi za Wanyama zinahusiana na Binadamu.

Kiasili suala la kulea watoto ni la Wanawake. Ndiyo. Wanaume kazi yao ni kutia mimba halafu wanapaswa waendelee na safari zao. Yaani kama umetoka Dar kwa miguu unaenda Tanga.

Basi wewe kila kijiji ambacho utapumzika. Unakutana na mwanamke. Unamwachia mbegu. Kama ni wakati wa rutuba zitaota kama siyo zitamnenepesha. Then we unaendelea kijiji kingine.

So mpaka ukifika Tanga unakuwa ushapanda mbegu nyingi. Na wakati wa kurudi hivyo hivyo. Ndo inapaswa iwe hivyo. Wewe umewahi ona mbuzi au ng'ombe dume ananyonyesha? Umewahi kuona mnyama dume analea? Siyo kazi yake. Kazi yake yeye ni kupandikiza tu basi.

So wanawake mnapaswa hili mlielewe. Habari ya kusema amenizalisha akaniacha. Si kosa la mwanaume. Labda kama alikubaka. But kama mlitiana hilo ni jukumu lako.yeye alishatimiza wajibu wake na anapaswa aendelee mbele.

Wewe unayezaa kwa uchungu,unazaa kwa uchungu ili uweze kuukumbuka huo uchungu ulee mtoto. Mwanaume yeye akishakutia mimba anakuwa amemaliza. Ameshusha mzigo wake nawe umeupokea. Na ndo maana mbegu zinatoka kwa mwanaume zinaenda kwa mwanamke.

Na ukiangalia style ilivyo ni kuwa mwanamke unatangulia kulala chini jamaa anakuja juu yako. Anamwaga anaamka anaondoka. Nawe unaamka unabaki na mzigo wake.

So mwanaume kulea mimba au mtoto ni majukumu ambayo si yake. Ni nyongeza na pia kumwongezea mzigo asiostahili. Nashauri kila mtu abaki na majukumu yake.

NIMEKAA PALE [emoji117]
Kwa hiyo tukuuite mbwa au!
 
Mimi sio wa aina HIYO. Natungisha mimba na kulea na uanaume wangu haujawahi kupungua.

Mleta mada Una mawazo ya hovyo kweli kweli. Na hao Wanao like hoja Yako ni watu wa ajabu vilevile.!
Bila ya kusahau na wanaokoment
 
Binadamu tuna asili ya wanyama kiasi flani. Na tabia nyingi za Wanyama zinahusiana na Binadamu.

Kiasili suala la kulea watoto ni la Wanawake. Ndiyo. Wanaume kazi yao ni kutia mimba halafu wanapaswa waendelee na safari zao. Yaani kama umetoka Dar kwa miguu unaenda Tanga.

Basi wewe kila kijiji ambacho utapumzika. Unakutana na mwanamke. Unamwachia mbegu. Kama ni wakati wa rutuba zitaota kama siyo zitamnenepesha. Then we unaendelea kijiji kingine.

So mpaka ukifika Tanga unakuwa ushapanda mbegu nyingi. Na wakati wa kurudi hivyo hivyo. Ndo inapaswa iwe hivyo. Wewe umewahi ona mbuzi au ng'ombe dume ananyonyesha? Umewahi kuona mnyama dume analea? Siyo kazi yake. Kazi yake yeye ni kupandikiza tu basi.

So wanawake mnapaswa hili mlielewe. Habari ya kusema amenizalisha akaniacha. Si kosa la mwanaume. Labda kama alikubaka. But kama mlitiana hilo ni jukumu lako.yeye alishatimiza wajibu wake na anapaswa aendelee mbele.

Wewe unayezaa kwa uchungu,unazaa kwa uchungu ili uweze kuukumbuka huo uchungu ulee mtoto. Mwanaume yeye akishakutia mimba anakuwa amemaliza. Ameshusha mzigo wake nawe umeupokea. Na ndo maana mbegu zinatoka kwa mwanaume zinaenda kwa mwanamke.

Na ukiangalia style ilivyo ni kuwa mwanamke unatangulia kulala chini jamaa anakuja juu yako. Anamwaga anaamka anaondoka. Nawe unaamka unabaki na mzigo wake.

So mwanaume kulea mimba au mtoto ni majukumu ambayo si yake. Ni nyongeza na pia kumwongezea mzigo asiostahili. Nashauri kila mtu abaki na majukumu yake.

NIMEKAA PALE [emoji117]
Kwahiyo wewe ni mnyama ua?
 
Binadamu tuna asili ya wanyama kiasi flani. Na tabia nyingi za Wanyama zinahusiana na Binadamu.

Kiasili suala la kulea watoto ni la Wanawake. Ndiyo. Wanaume kazi yao ni kutia mimba halafu wanapaswa waendelee na safari zao. Yaani kama umetoka Dar kwa miguu unaenda Tanga.

Basi wewe kila kijiji ambacho utapumzika. Unakutana na mwanamke. Unamwachia mbegu. Kama ni wakati wa rutuba zitaota kama siyo zitamnenepesha. Then we unaendelea kijiji kingine.

So mpaka ukifika Tanga unakuwa ushapanda mbegu nyingi. Na wakati wa kurudi hivyo hivyo. Ndo inapaswa iwe hivyo. Wewe umewahi ona mbuzi au ng'ombe dume ananyonyesha? Umewahi kuona mnyama dume analea? Siyo kazi yake. Kazi yake yeye ni kupandikiza tu basi.

So wanawake mnapaswa hili mlielewe. Habari ya kusema amenizalisha akaniacha. Si kosa la mwanaume. Labda kama alikubaka. But kama mlitiana hilo ni jukumu lako.yeye alishatimiza wajibu wake na anapaswa aendelee mbele.

Wewe unayezaa kwa uchungu,unazaa kwa uchungu ili uweze kuukumbuka huo uchungu ulee mtoto. Mwanaume yeye akishakutia mimba anakuwa amemaliza. Ameshusha mzigo wake nawe umeupokea. Na ndo maana mbegu zinatoka kwa mwanaume zinaenda kwa mwanamke.

Na ukiangalia style ilivyo ni kuwa mwanamke unatangulia kulala chini jamaa anakuja juu yako. Anamwaga anaamka anaondoka. Nawe unaamka unabaki na mzigo wake.

So mwanaume kulea mimba au mtoto ni majukumu ambayo si yake. Ni nyongeza na pia kumwongezea mzigo asiostahili. Nashauri kila mtu abaki na majukumu yake.

NIMEKAA PALE [emoji117]
Unataka watoto wa mitaani wazidi kuongezeka na umaskini uzidi kuongezeka!!!...
 
Shida inakuja pale unapokabwa au kijana wako anajiuza, kisa tu, hukumlea kiume. Hautafurahia, si ndio?

Mimi nitalea aisee
 
Hata kama una watoto wengi, Huwa kuna sifa flani hivi pale unaposkia watu wakikusema kuwa unajua kuhudumia watoto wako.
 
So mwanaume kulea mimba au mtoto ni majukumu ambayo si yake.
Umeongea kweli tupu ila asieelewa huwezi kumlazimisha kuelewa

Ni ukweli kuna mwanasaikolojia niliwahi msikiliza alilizungumzia hili kwa mapana zaidi

Jukumu la kulea mimba au mtoto ni la mwanamke

Ndio maana hata ukiangalia sheria ya mtoto kifungu kapuni, mtoto anaruhusiwa kuishi na baba (km baba na mama wametengana) ikiwa mtoto atafikisha miaka 7 na hapo ni pale atakaporidhia mtoto mwenyewe kuishi na baba, kinyume na hapo (mtoto akigoma kwenda kuishi kwa baba) mtoto ni wa mama na atabaki kua wa mama, baba jukumu lako ni kuhudumia tu km ulivyohudumia kutia mimba

Nawasilisha
 
Acha kukwepa majukumu. Kwa hiyo wanyama wanasomesha, wanavalisha watoto wao nguo, wanajenga nyumba na makazi kuishi na familia zao, wanafunga ndoa, wanaishi na mpenzi m'moja tu kwenye ndoa?!

Kimsingi hapo umekosa elimu ya mahusiano ya uchumba na ndoa.
 
Back
Top Bottom