Hili ndo jukumu kubwa la Mwanaume Kiasili. Mengine ni kuzidishiwa tu na kupewa Mzigo. Tujitambue

Hili ndo jukumu kubwa la Mwanaume Kiasili. Mengine ni kuzidishiwa tu na kupewa Mzigo. Tujitambue

Binadamu tuna asili ya wanyama kiasi flani. Na tabia nyingi za Wanyama zinahusiana na Binadamu.

Kiasili suala la kulea watoto ni la Wanawake. Ndiyo. Wanaume kazi yao ni kutia mimba halafu wanapaswa waendelee na safari zao. Yaani kama umetoka Dar kwa miguu unaenda Tanga.

Basi wewe kila kijiji ambacho utapumzika. Unakutana na mwanamke. Unamwachia mbegu. Kama ni wakati wa rutuba zitaota kama siyo zitamnenepesha. Then we unaendelea kijiji kingine.

So mpaka ukifika Tanga unakuwa ushapanda mbegu nyingi. Na wakati wa kurudi hivyo hivyo. Ndo inapaswa iwe hivyo. Wewe umewahi ona mbuzi au ng'ombe dume ananyonyesha? Umewahi kuona mnyama dume analea? Siyo kazi yake. Kazi yake yeye ni kupandikiza tu basi.

So wanawake mnapaswa hili mlielewe. Habari ya kusema amenizalisha akaniacha. Si kosa la mwanaume. Labda kama alikubaka. But kama mlitiana hilo ni jukumu lako.yeye alishatimiza wajibu wake na anapaswa aendelee mbele.

Wewe unayezaa kwa uchungu,unazaa kwa uchungu ili uweze kuukumbuka huo uchungu ulee mtoto. Mwanaume yeye akishakutia mimba anakuwa amemaliza. Ameshusha mzigo wake nawe umeupokea. Na ndo maana mbegu zinatoka kwa mwanaume zinaenda kwa mwanamke.

Na ukiangalia style ilivyo ni kuwa mwanamke unatangulia kulala chini jamaa anakuja juu yako. Anamwaga anaamka anaondoka. Nawe unaamka unabaki na mzigo wake.

So mwanaume kulea mimba au mtoto ni majukumu ambayo si yake. Ni nyongeza na pia kumwongezea mzigo asiostahili. Nashauri kila mtu abaki na majukumu yake.

NA KIUKWELI MZAZI HALISI ASIYE NA SHAKA WA MTOTO NI MAMA. BABA INATEGEMEANA TU. WANAUME WENGI WANAITWA BABA NA WATOTO WASIO WAO.

NIMEKAA PALE 👉
Hizi akili hizi!mie ni muhenga lakini Sikubaliani na huu mtazamo wa mwaka 1947
 
moja kati ya hoja za hovyo kabisa hapa JF .. yaan mtu mzima kabisa wewe unatushawishi wanaume wenzio kuwa waharibifu wa vizazi vyetu wenyewe.. huu upuuzi ulioandika sitakaa fanya.. endelea kuzalisha tu bila mpangilio ukifika age ya 50's utavuna ulichopanda age of 30's.
Mimi nimeandika nlichoandika wewe kufanya au kutofanya ni juu yako.
 
Dah mkuu kiuhalisia hii kitu inatokea ndo maana kuna wimbi kubwa la single mother [emoji67]‍[emoji480]
 
Binadamu tuna asili ya wanyama kiasi flani. Na tabia nyingi za Wanyama zinahusiana na Binadamu.

Kiasili suala la kulea watoto ni la Wanawake. Ndiyo. Wanaume kazi yao ni kutia mimba halafu wanapaswa waendelee na safari zao. Yaani kama umetoka Dar kwa miguu unaenda Tanga.

Basi wewe kila kijiji ambacho utapumzika. Unakutana na mwanamke. Unamwachia mbegu. Kama ni wakati wa rutuba zitaota kama siyo zitamnenepesha. Then we unaendelea kijiji kingine.

So mpaka ukifika Tanga unakuwa ushapanda mbegu nyingi. Na wakati wa kurudi hivyo hivyo. Ndo inapaswa iwe hivyo. Wewe umewahi ona mbuzi au ng'ombe dume ananyonyesha? Umewahi kuona mnyama dume analea? Siyo kazi yake. Kazi yake yeye ni kupandikiza tu basi.

So wanawake mnapaswa hili mlielewe. Habari ya kusema amenizalisha akaniacha. Si kosa la mwanaume. Labda kama alikubaka. But kama mlitiana hilo ni jukumu lako.yeye alishatimiza wajibu wake na anapaswa aendelee mbele.

Wewe unayezaa kwa uchungu,unazaa kwa uchungu ili uweze kuukumbuka huo uchungu ulee mtoto. Mwanaume yeye akishakutia mimba anakuwa amemaliza. Ameshusha mzigo wake nawe umeupokea. Na ndo maana mbegu zinatoka kwa mwanaume zinaenda kwa mwanamke.

Na ukiangalia style ilivyo ni kuwa mwanamke unatangulia kulala chini jamaa anakuja juu yako. Anamwaga anaamka anaondoka. Nawe unaamka unabaki na mzigo wake.

So mwanaume kulea mimba au mtoto ni majukumu ambayo si yake. Ni nyongeza na pia kumwongezea mzigo asiostahili. Nashauri kila mtu abaki na majukumu yake.

NA KIUKWELI MZAZI HALISI ASIYE NA SHAKA WA MTOTO NI MAMA. BABA INATEGEMEANA TU. WANAUME WENGI WANAITWA BABA NA WATOTO WASIO WAO.

NIMEKAA PALE [emoji117]
Hujakamilisha Thread useme kabisa waandikwe ubin wa mama MF Komeo LA Chuma Rosemary!
 
Acha kukwepa majukumu. Kwa hiyo wanyama wanasomesha, wanavalisha watoto wao nguo, wanajenga nyumba na makazi kuishi na familia zao, wanafunga ndoa, wanaishi na mpenzi m'moja tu kwenye ndoa?!

Kimsingi hapo umekosa elimu ya mahusiano ya uchumba na ndoa.
Jamaa anamanisha kwamba, vile mbuzi wanakula, kunya na Kulala kwenye zizi, nasi binadamu tufanye hivyo majumbani kwetu, humohumo chooni tunamokunya ndo tulale na Kula humohumo.
 
Back
Top Bottom