King faisal
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 1,077
- 2,705
Mtoa mada, umenifanya nicheke sana, sio kwamba naunga mkono unachosema hapana kabisa hata kidogo. Hiki ulichosema Kama Ni fikra na iishie kuwa hivyo but Kama unafanya hivyo aisee Muombe sana Mungu akusamehe na uache kabisa, maana repurcussion yake huwezi kuiona saivi lakin mda ukifika utajuta vibaya sana.