King faisal
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 1,077
- 2,705
ππππutoto raha sana, nguvu na umakini wote huwekwa kwenye uzinzi, kitatungwa kisingizio chochote ili ku support uzinzi
Ila ndo ukweli wenyewe.Mtoa mada, umenifanya nicheke sana, sio kwamba naunga mkono unachosema hapana kabisa hata kidogo. Hiki ulichosema Kama Ni fikra na iishie kuwa hivyo but Kama unafanya hivyo aisee Muombe sana Mungu akusamehe na uache kabisa, maana repurcussion yake huwezi kuiona saivi lakin mda ukifika utajuta vibaya sana.
Nimecheka sana kidogo nianguke.Binadamu tuna asili ya wanyama kiasi flani. Na tabia nyingi za Wanyama zinahusiana na Binadamu.
Kiasili suala la kulea watoto ni la Wanawake. Ndiyo. Wanaume kazi yao ni kutia mimba halafu wanapaswa waendelee na safari zao. Yaani kama umetoka Dar kwa miguu unaenda Tanga.
Basi wewe kila kijiji ambacho utapumzika. Unakutana na mwanamke. Unamwachia mbegu. Kama ni wakati wa rutuba zitaota kama siyo zitamnenepesha. Then we unaendelea kijiji kingine.
So mpaka ukifika Tanga unakuwa ushapanda mbegu nyingi. Na wakati wa kurudi hivyo hivyo. Ndo inapaswa iwe hivyo. Wewe umewahi ona mbuzi au ng'ombe dume ananyonyesha? Umewahi kuona mnyama dume analea? Siyo kazi yake. Kazi yake yeye ni kupandikiza tu basi.
So wanawake mnapaswa hili mlielewe. Habari ya kusema amenizalisha akaniacha. Si kosa la mwanaume. Labda kama alikubaka. But kama mlitiana hilo ni jukumu lako.yeye alishatimiza wajibu wake na anapaswa aendelee mbele.
Wewe unayezaa kwa uchungu,unazaa kwa uchungu ili uweze kuukumbuka huo uchungu ulee mtoto. Mwanaume yeye akishakutia mimba anakuwa amemaliza. Ameshusha mzigo wake nawe umeupokea. Na ndo maana mbegu zinatoka kwa mwanaume zinaenda kwa mwanamke.
Na ukiangalia style ilivyo ni kuwa mwanamke unatangulia kulala chini jamaa anakuja juu yako. Anamwaga anaamka anaondoka. Nawe unaamka unabaki na mzigo wake.
So mwanaume kulea mimba au mtoto ni majukumu ambayo si yake. Ni nyongeza na pia kumwongezea mzigo asiostahili. Nashauri kila mtu abaki na majukumu yake.
NA KIUKWELI MZAZI HALISI ASIYE NA SHAKA WA MTOTO NI MAMA. BABA INATEGEMEANA TU. WANAUME WENGI WANAITWA BABA NA WATOTO WASIO WAO.
NIMEKAA PALE π
Ila ni ukweli au nasema uongo?Nimecheka sana kidogo nianguke.
moja kati ya hoja za hovyo kabisa hapa JF .. yaan mtu mzima kabisa wewe unatushawishi wanaume wenzio kuwa waharibifu wa vizazi vyetu wenyewe.. huu upuuzi ulioandika sitakaa fanya.. endelea kuzalisha tu bila mpangilio ukifika age ya 50's utavuna ulichopanda age of 30's.Binadamu tuna asili ya wanyama kiasi flani. Na tabia nyingi za Wanyama zinahusiana na Binadamu.
Kiasili suala la kulea watoto ni la Wanawake. Ndiyo. Wanaume kazi yao ni kutia mimba halafu wanapaswa waendelee na safari zao. Yaani kama umetoka Dar kwa miguu unaenda Tanga.
Basi wewe kila kijiji ambacho utapumzika. Unakutana na mwanamke. Unamwachia mbegu. Kama ni wakati wa rutuba zitaota kama siyo zitamnenepesha. Then we unaendelea kijiji kingine.
So mpaka ukifika Tanga unakuwa ushapanda mbegu nyingi. Na wakati wa kurudi hivyo hivyo. Ndo inapaswa iwe hivyo. Wewe umewahi ona mbuzi au ng'ombe dume ananyonyesha? Umewahi kuona mnyama dume analea? Siyo kazi yake. Kazi yake yeye ni kupandikiza tu basi.
So wanawake mnapaswa hili mlielewe. Habari ya kusema amenizalisha akaniacha. Si kosa la mwanaume. Labda kama alikubaka. But kama mlitiana hilo ni jukumu lako.yeye alishatimiza wajibu wake na anapaswa aendelee mbele.
Wewe unayezaa kwa uchungu,unazaa kwa uchungu ili uweze kuukumbuka huo uchungu ulee mtoto. Mwanaume yeye akishakutia mimba anakuwa amemaliza. Ameshusha mzigo wake nawe umeupokea. Na ndo maana mbegu zinatoka kwa mwanaume zinaenda kwa mwanamke.
Na ukiangalia style ilivyo ni kuwa mwanamke unatangulia kulala chini jamaa anakuja juu yako. Anamwaga anaamka anaondoka. Nawe unaamka unabaki na mzigo wake.
So mwanaume kulea mimba au mtoto ni majukumu ambayo si yake. Ni nyongeza na pia kumwongezea mzigo asiostahili. Nashauri kila mtu abaki na majukumu yake.
NA KIUKWELI MZAZI HALISI ASIYE NA SHAKA WA MTOTO NI MAMA. BABA INATEGEMEANA TU. WANAUME WENGI WANAITWA BABA NA WATOTO WASIO WAO.
NIMEKAA PALE π
Endelea kuwa bwege unalea na mtoto wangu. Usidhani ni sirimoja kati ya hoja za hovyo kabisa hapa JF .. yaan mtu mzima kabisa wewe unatushawishi wanaume wenzio kuwa waharibifu wa vizazi vyetu wenyewe.. huu upuuzi ulioandika sitakaa fanya.. endelea kuzalisha tu bila mpangilio ukifika age ya 50's utavuna ulichopanda age of 30's.
π€£π€£π Mbona unamsema mama yako mzazi vibaya kwa kupewa mimba na baba yako muombe radhi mama yako wewe kwa kuja kumuumbua huku JF π€π€ nikuambie kitu ukiandika haya mambo uwe unamfikiria na kumuweka mbele mama yako mzazi, shangazi, mkeo, bibi, dada na hata Binti yako wa kumzaa hao ni wanawakeBinadamu tuna asili ya wanyama kiasi flani. Na tabia nyingi za Wanyama zinahusiana na Binadamu.
Kiasili suala la kulea watoto ni la Wanawake. Ndiyo. Wanaume kazi yao ni kutia mimba halafu wanapaswa waendelee na safari zao. Yaani kama umetoka Dar kwa miguu unaenda Tanga.
Basi wewe kila kijiji ambacho utapumzika. Unakutana na mwanamke. Unamwachia mbegu. Kama ni wakati wa rutuba zitaota kama siyo zitamnenepesha. Then we unaendelea kijiji kingine.
So mpaka ukifika Tanga unakuwa ushapanda mbegu nyingi. Na wakati wa kurudi hivyo hivyo. Ndo inapaswa iwe hivyo. Wewe umewahi ona mbuzi au ng'ombe dume ananyonyesha? Umewahi kuona mnyama dume analea? Siyo kazi yake. Kazi yake yeye ni kupandikiza tu basi.
So wanawake mnapaswa hili mlielewe. Habari ya kusema amenizalisha akaniacha. Si kosa la mwanaume. Labda kama alikubaka. But kama mlitiana hilo ni jukumu lako.yeye alishatimiza wajibu wake na anapaswa aendelee mbele.
Wewe unayezaa kwa uchungu,unazaa kwa uchungu ili uweze kuukumbuka huo uchungu ulee mtoto. Mwanaume yeye akishakutia mimba anakuwa amemaliza. Ameshusha mzigo wake nawe umeupokea. Na ndo maana mbegu zinatoka kwa mwanaume zinaenda kwa mwanamke.
Na ukiangalia style ilivyo ni kuwa mwanamke unatangulia kulala chini jamaa anakuja juu yako. Anamwaga anaamka anaondoka. Nawe unaamka unabaki na mzigo wake.
So mwanaume kulea mimba au mtoto ni majukumu ambayo si yake. Ni nyongeza na pia kumwongezea mzigo asiostahili. Nashauri kila mtu abaki na majukumu yake.
NA KIUKWELI MZAZI HALISI ASIYE NA SHAKA WA MTOTO NI MAMA. BABA INATEGEMEANA TU. WANAUME WENGI WANAITWA BABA NA WATOTO WASIO WAO.
NIMEKAA PALE π
Haitokuja kutokea..Endelea kuwa bwege unalea na mtoto wangu. Usidhani ni siri