Hili suala la Bongo Zozo kujipenyeza kila mahali hadi chumbani kwa baba limekaaje?

Hili suala la Bongo Zozo kujipenyeza kila mahali hadi chumbani kwa baba limekaaje?

Huyu hana shida wenye shida ni wale wenzetu wazaliwa wa hapa nyumbani na wanapaspoti moja tu ya Tanzania lakini wamegeuka "Mules", double agents, mamluki wa nchi za Magharibi na Mashariki wengine ni mamluki wa nchi jirani zetu. Hao nafasi ikipatikana ni wakuanza nao. Huyu, wa nyumbani kwa baba ni managable!
 
Bongo zozo kagundua fursa. Anaitumia na hana madhara yoyote. Hakuna anachofanya bure kisimlipe hata mbeleni. Analofanya hata kama anatumia pesa yake baada ya muda inamlipa. Sisi tunataka tupewe pesa kwanza. Haya endeleeni na majungu😂😂😂😂
 
Huyu jamaa huenda ni shushushu VIP , lakini sisi tunamchukulia poa huku tukijidanganya kuwa msemo usemao KIKULACHO KI NGUONI MWAKO umepitwa na wakati
View attachment 2129177
Bongozozo ni mjanja sana na kazi kubwa anayoifanya hapa Tanzania ni kutafuta hela za zamani za wajerumani zile zinazoitwa Simba mbili na vitu vingine vya kale kama hivo sema anawazuga wasiojua lakini kazi yake kubwa ni hiyo.Huko kujifanya ni shabiki wa Taifa stars ni uongo tu.
 
Mwaka Jana kaenda Zanzibar akaambiwa aende Oman Kuna Wazanzibar wanazo hizo hela za wajerumani na dinar za waoman kipindi wanaitawala Zanzibar alienda lakini sijui kama akifanikiwa .Bongozozo kazi yake kubwa hapa Tanzania licha ya kuwa kaoa mwanamke kutoka Moshi ni kutafuta Mali za kale hasa hizi hela za wajerumani.kwenye mpira anazuga tu .
 
Sasa apeleleze nini? Sisi tuna siri gani zaidi ya kisiasa na haki za binadamu? Wacha ajichanganye nasi, tuache hofu labda kama tunafanya mabaya na hatutaki tujulikane!
 
Tuache Ukaburu
gone.png
 
nakubaliana na wewe. Bongo kwanz ni mshemej ameoa machame.na pia hiv kuna kitu gan west wasiwe nacho wakiamua tu wanabonyez setalait chaa dar nzima hio hapo.unaambiw pale msassn jamaa wa ubaloz walikua wametulia wanaona mwiz wa simu njia alizopitia mpk alipoend kujificha jaamaa wwametulia tu wanamchek kupitia saterait yao ambayo iliend kufungwa katika sayar ya mwezin ambayo ma ulaya wanayo so wakitaka ishu yoyot inabonyezwa tu. acha mawazo ya kwemy series zinatuharibu sana kujiona tuna juaa interijensia
Tafadhali tulia na unijibu vema ili tujadili kwa ufasaha mada hii,nimejitahidi kukusoma ili nikuelewe sijafanikiwa
 
Sasa akiwa mpelelezi ananiathiri nini mie Mtanzania mlima viazi wa Igangilonga?

Acha awatungunyue hao hao oppressors ambao wapo ofisi kuu. Awe spy asiwe spy hainipunguzii kitu.
 
Alafu wanataka taasisi ya ulinzi ifanye kazi kwa matakwa yao, yaani ikifanya Investigation watoe taarifa JF as, bongo zozo ni jambazi nk.

Nkanini kuna time ukiona topics zao pima na uwezo wao wa akili dhidi ya mambo yanayoendelea.
 
Huyu jamaa huenda ni shushushu VIP , lakini sisi tunamchukulia poa huku tukijidanganya kuwa msemo usemao KIKULACHO KI NGUONI MWAKO umepitwa na wakati
View attachment 2129177
System wamekwisha jiridhisha ndiyo maana mnamuona anakatiza hayo maeneo. And you never know anaweza akawa ana spy kwa ajili ya faida yetu.

Secondly mtu akitaka kutu spy wala hahitaji kutumia mzungu mwenye ku raise mashaka kuanzia rangi na uraia. Atamtumia Mtanzania mwezetu tunayefanana naye. Au mumesahau kisa cha Thomas Zangira mwanzoni mwa 1980s

 
Alafu wanataka taasisi ya ulinzi ifanye kazi kwa matakwa yao, yaani ikifanya Investigation watoe taarifa JF as, bongo zozo ni jambazi nk.

Nkanini kuna time ukiona topics zao pima na uwezo wao wa akili dhidi ya mambo yanayoendelea.
Umenena pointi muhimu sana,muda mwingine ni kuipima kwanza mada inayoletwa na uwezo wao,kudos mkuu
 
Back
Top Bottom