Mohamedy cadinaly
JF-Expert Member
- Apr 24, 2012
- 2,449
- 2,245
Ni mjinga pekee atakeye amini kwamba utalii una hela nyingi kuliko madini, gesi na mafuta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bongozozo ni mjanja sana na kazi kubwa anayoifanya hapa Tanzania ni kutafuta hela za zamani za wajerumani zile zinazoitwa Simba mbili na vitu vingine vya kale kama hivo sema anawazuga wasiojua lakini kazi yake kubwa ni hiyo.Huko kujifanya ni shabiki wa Taifa stars ni uongo tu.Huyu jamaa huenda ni shushushu VIP , lakini sisi tunamchukulia poa huku tukijidanganya kuwa msemo usemao KIKULACHO KI NGUONI MWAKO umepitwa na wakati
View attachment 2129177
Tatizo wamewekwa makada wa CCM tupuHaya mambo yapo Tanzania tu, idara ya shughuli za kisiri imelala fofofo nchi inachezewa kiboya
Tafadhali tulia na unijibu vema ili tujadili kwa ufasaha mada hii,nimejitahidi kukusoma ili nikuelewe sijafanikiwanakubaliana na wewe. Bongo kwanz ni mshemej ameoa machame.na pia hiv kuna kitu gan west wasiwe nacho wakiamua tu wanabonyez setalait chaa dar nzima hio hapo.unaambiw pale msassn jamaa wa ubaloz walikua wametulia wanaona mwiz wa simu njia alizopitia mpk alipoend kujificha jaamaa wwametulia tu wanamchek kupitia saterait yao ambayo iliend kufungwa katika sayar ya mwezin ambayo ma ulaya wanayo so wakitaka ishu yoyot inabonyezwa tu. acha mawazo ya kwemy series zinatuharibu sana kujiona tuna juaa interijensia
Kwani
Ujamaa bado upo ?!!
SiAiEi na Mosad pitia historia zao utanishukuruHuyu jamaa huenda ni shushushu VIP , lakini sisi tunamchukulia poa huku tukijidanganya kuwa msemo usemao KIKULACHO KI NGUONI MWAKO umepitwa na wakati
View attachment 2129177
Acha mawazo ya kishambaHuyu jamaa huenda ni shushushu VIP , lakini sisi tunamchukulia poa huku tukijidanganya kuwa msemo usemao KIKULACHO KI NGUONI MWAKO umepitwa na wakati
View attachment 2129177
Bujibuji Simba Nyanaume👆Acha mawazo ya kishamba
!Ujamaa wa uongo na uzandiki ndio umetawala bongo.
CCM hawafungani , Madabida kauza ARVs feki, jana kafutiwa mashtaka
System wamekwisha jiridhisha ndiyo maana mnamuona anakatiza hayo maeneo. And you never know anaweza akawa ana spy kwa ajili ya faida yetu.Huyu jamaa huenda ni shushushu VIP , lakini sisi tunamchukulia poa huku tukijidanganya kuwa msemo usemao KIKULACHO KI NGUONI MWAKO umepitwa na wakati
View attachment 2129177
Anatumia fursa ameona ccm ni wajinga ila wanamiliki pesa ya nchi,kwahiyo yeye anakula pesa ya wajinga wa ccmHuyu jamaa huenda ni shushushu VIP , lakini sisi tunamchukulia poa huku tukijidanganya kuwa msemo usemao KIKULACHO KI NGUONI MWAKO umepitwa na wakati
View attachment 2129177
Umenena pointi muhimu sana,muda mwingine ni kuipima kwanza mada inayoletwa na uwezo wao,kudos mkuuAlafu wanataka taasisi ya ulinzi ifanye kazi kwa matakwa yao, yaani ikifanya Investigation watoe taarifa JF as, bongo zozo ni jambazi nk.
Nkanini kuna time ukiona topics zao pima na uwezo wao wa akili dhidi ya mambo yanayoendelea.