Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 8,939
- 10,403
Hiyo idara iliundwa kuilinda serikali ya ccm. Ishakosa relevance!Haya mambo yapo Tanzania tu, idara ya shughuli za kisiri imelala fofofo nchi inachezewa kiboya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo idara iliundwa kuilinda serikali ya ccm. Ishakosa relevance!Haya mambo yapo Tanzania tu, idara ya shughuli za kisiri imelala fofofo nchi inachezewa kiboya
Wazungu wengi wanaokuja huku kwetu ni majasusi au utoa taarifa kusaidia majasusi.Sio rahisi kufahamu malengo halisi ya mtu mpaka upate muda wa kuwa nae karibu.
Huyu jamaa anatuzuga tu hana jema lolote.
Halafu sijui ni kwanini hawa raia wenye asili ya nje wanapenda sana kusema ni wahehe. Mfano Hans Poppe, Harbinder Seth Singh, huyu Bongo zozo etc.Anajiita Mnyalu [emoji23][emoji23][emoji23]
Na kazi iendelee.Huyu jamaa huenda ni shushushu VIP , lakini sisi tunamchukulia poa huku tukijidanganya kuwa msemo usemao KIKULACHO KI NGUONI MWAKO umepitwa na wakati
View attachment 2129177
Hans Pope wamechanganya damu ya Kihehe, yule Singasinga amezaliwa Uheheni, ila Bongo Zozo nadhani ana demu wa KiheheHalafu sijui ni kwanini hawa raia wenye asili ya nje wanapenda sana kusema ni wahehe. Mfano Hans Poppe, Harbinder Seth Singh, huyu Bongo zozo etc.
Na matokeo yake wanafwata mkia!uoga na ubinafsi, mimi ni mzaliwa na mkulia wa huku lingusenguse sio mgeni na always ninapenda facts
Hahah hahah hahahah kama tu hawana majibu ya maswali mepesi tutawezaje kuwaamini kwenye mambo magumu?
Huyu jamaa huenda ni shushushu VIP , lakini sisi tunamchukulia poa huku tukijidanganya kuwa msemo usemao KIKULACHO KI NGUONI MWAKO umepitwa na wakati
View attachment 2129177
AliyemtumaMi huwa najiuliza hizi gharama anazotumia kupuyanga ni nani anazisimamia?
Kwa taarifa yako mojawapo ya watu waliopo kitengo nyeti cha Usalama Wa nchi ni Kingai Na Mahita kama ulikuwa unafuatilia kesi ya Mbowe utakuwa umenielewa, kiufupi tupo naked .Wivu tu.
Unadhani wewe una akili kuliko vyombo vya usalama?Au hapo ndio unajiona una akili sana kuhisi hisi tu?
Hayo ni maneno yako, na hofu yako tu. Hata hivyo huu mwezi mchanga bado.Wivu tu.
Unadhani wewe una akili kuliko vyombo vya usalama?Au hapo ndio unajiona una akili sana kuhisi hisi tu?
Ni kuikosea nchi heshimaHuyu jamaa huenda ni shushushu VIP , lakini sisi tunamchukulia poa huku tukijidanganya kuwa msemo usemao KIKULACHO KI NGUONI MWAKO umepitwa na wakati
View attachment 2129177
Huyu jamaa ni Tapeli tu...hapa Rufiji hakuna mradi aliofanya, ana raise hela kwao huko then anajifanya kuja kutekeleza miradi huku ....Tanzania suala la usalama halitiliwi maanani kabisa. Mfano, kuna mzungu mmoja anaitwa Gerret Rene, huyu jamaa kwa mwaka anaingia Tz kama mara mbili au tatu. Huingia Tz kwa kigezo cha kufanya miradi ya afya, hupewa vibali bila shida. Miradi yake anaifanyia Rufiji, Kibiti, Zanzibar na Amani huko Muheza. Sidhani kama serikali huwa wanam track ili kuona kama kweli anafanya hiyo miradi ya afya. Kwani akifika huko hufanya mambo mengine kabisa, wajaribu kumfatilia watabaini.
Matapeli wapo wengi sana na hao ndio wanaitwa wawekezaji.Huyu jamaa ni Tapeli tu...hapa Rufiji hakuna mradi aliofanya, ana raise hela kwao huko then anajifanya kuja kutekeleza miradi huku ....
Utofauti wake ndio unafanya azingatiwe kuliko wewe.Hivi msela kama mimi nianze tu kuwa shabiki wa Stars,kesho naweza kukutanishwa na Rais? au kwa sababu huyu ni mzungu?
[emoji38][emoji38]liongo hiloAfu huwa anajinasibu eti amestaafu kufanya kaz zake kwahyo sahv n mwendo wa kula bata tu
wewe wewee kwani mikataba ya ajabu ajabu so inasainiwana watanzania au?TANZANIA na vyombo vya usalama sio wajinga kiasi hicho mnachodhani
Hivi mliambiwa ni nani ?Kati ya watu nisiowaamini kiusalama ni huyu mshangiliaji asiye na faida.
📣🔊📢Huyu alikuwa anaenda kwa boss wake
Kuleta watalii lazima uingie gharama. Waulize tour operators wanawalipa TripAdvisor na wengine kiasi gani kwa mwaka!!