Pamoja mkuu, ukishakuwa mzazi wa watoto wa kike kuna mambo unajifunza mno. Nina mabinti wawili natamani sana kuwalea katika malezi ambayo wasipitie mambo niliyopitia mama yao.Mkuu wewe ndo umeelewa ni nini nilitamani kusikia , nashukuru sanaa kwa ufafanuzi wako.
Nimekuelewa vizuri Sanaa trudie, nadhani hiki ulichoandika ndicho nilitamani kusikia kutoka kwa hadhira hii, lakini nimeshangazwa na comments za watu wengi wakitukana na kuchukulia in a negative way.Pamoja mkuu, ukishakuwa mzazi wa watoto wa kike kuna mambo unajifunza mno. Nina mabinti wawili natamani sana kuwalea katika malezi ambayo wasipitie mambo niliyopitia mama yao.
Moja wapo ikiwa ni uhuru wa kutosha nikiwa chuo, ule uhuru kama mzazi hajakaza kamba huwa tunautumia vibaya mno matokeo yake tunakuja kuharibikiwa na kuzalisha familia ya mzazi mmoja ( single parent). Muelewe tuu mama mkwe wako mtarajiwa she wants the best kwa binti yake.
Hii nayo kali, umesoma uzi vizuri kweli Mkuu?Kwani wewe nibaba yake?
Kwahiyo kama uzi hauitaji habari za ucha Mungu ndio udanganye?Mkuu umesoma uzi vizuri na kuuelewa? Nakushsuri usome kwanza uzi uelewe nini kinahitajika ndipo utoe maoni. Sidhani kama ulichoandika ndicho kinachohitajika kwenye huu uzi kwa sasa?🤷♂️
Kama unania thabiti rasimisha. Tuma wazee waanza process, ndio simu yako itapokelewa kwa uhuru. Vijana waharibifu sana. Mama analinda kilichochake, chini ya uangalizi wake. Angependa binti yake kama ni kuolewa, aolewe kwa heshima zote, sio leo anaongea na Johnny, kesho Kevin mara baadae Juma na wote hawatambuliki nyumbani. Haipendezi, tabia ya kihuniNalielewa hili vizuri kabisa mkuu, pengine haujanipata vizuri nini nimekimaanisha. Nilichomaanisha ni ule uangalizi uliopitiliza yani mama mtu anafuatilia hadi anavyokuwa anaongea na simu. Yule binti alinieleza mama akiwepo hawezi kuongea na simu. Sasa kwa umri wake hiyo imekaaje?
Nakushauri usome uzi kwa utulivu kisha u-comment.Mams yupo sahihi anamuepusha na mibaradhuli, miasherati na mizinzi kama wewe mbweha
Pengine, bado haujanipata vizuri. Hoja iliyopo sasa ni juu ya uangalizi uliopitiliza kwa msichana mkubwa hivyo kana kwamba ni mtoto mdogo. Najiuliza maswali huyo msichana akipata ajira nje ya mkoa aliopo je mama yake ataendelea kumfuatilia hivyo? Kama tayari alishamjenga kiimani na kumuwekea misingi mizuri kwa nini asiruhusu utashi wa mwanae utumike zaidi na yeye akisubiri kuletewa mkwe? Hapa ndipo hoja ilipo.Kama unania thabiti rasimisha. Tuma wazee waanza process, ndio simu yako itapokelewa kwa uhuru. Vijana waharibifu sana. Mama analinda kilichochake, chini ya uangalizi wake. Angependa binti yake kama ni kuolewa, aolewe kwa heshima zote, sio leo anaongea na Johnny, kesho Kevin mara baadae Juma na wote hawatambuliki nyumbani. Haipendezi, tabia ya kihuni
Mungu akubariki uzao wako upate binti, utaelewa vizuri
Nashukuru Kwa baraka ulizozitamka. Nawe upate kibali kwenye shughuli zako za kila siku.Kama unania thabiti rasimisha. Tuma wazee waanza process, ndio simu yako itapokelewa kwa uhuru. Vijana waharibifu sana. Mama analinda kilichochake, chini ya uangalizi wake. Angependa binti yake kama ni kuolewa, aolewe kwa heshima zote, sio leo anaongea na Johnny, kesho Kevin mara baadae Juma na wote hawatambuliki nyumbani. Haipendezi, tabia ya kihuni
Mungu akubariki uzao wako upate binti, utaelewa vizuri
Ningefurahi kama ungejikita kwenye mada kuu kuliko kuanzisha mjadala mwingine.Kwahiyo kama uzi hauitaji habari za ucha Mungu ndio udanganye?
Wewe kweli dish lime shake!! Akipata ajiri means anaenda kujitegemea kwa kila kitu, kwasasa bado anamtegemea mamaake, hawezi kuwaachie njie akina Kitombangile Kitwanga mikazo.. muendeleze uzinzi wenu kwa mwanaePengine, bado haujanipata vizuri. Hoja iliyopo sasa ni juu ya uangalizi uliopitiliza kwa msichana mkubwa hivyo kana kwamba ni mtoto mdogo. Najiuliza maswali huyo msichana akipata ajira nje ya mkoa aliopo je mama yake ataendelea kumfuatilia hivyo? Kama tayari alishamjenga kiimani na kumuwekea misingi mizuri kwa nini asiruhusu utashi wa mwanae utumike zaidi na yeye akisubiri kuletewa mkwe? Hapa ndipo hoja ilipo.
Hapo ndipo mawazo ya watu wa jamii yetu yalipoishia.Kwanini linapokuja swala la Mtoto wa kike mnakimbilia kwenye kuolewa tu?
Unajuaje kuwa anatarajiwa kuwa Mke wa mtu?
Assumption za ajabu sana
Kwani hatma ya mahusiano baina ya mwanaume na mwanamke huwa ni nini?😊Hapo ndipo mawazo ya watu wa jamii yetu yalipoishia.
Yani tushahitimisha mwanamke kazi yake ni kuolewa tu.
Hauwezi kutoa maoni mpaka utoe maneno ya kashfa kwa mtu usiyemfahamu? Au kwa sababu upo nyuma ya keyboard?W
Wewe kweli dish lime shake!! Akipata ajiri means anaenda kujitegemea kwa kila kitu, kwasasa bado anamtegemea mamaake, hawezi kuwaachie njie akina Kitombangile Kitwanga mikazo.. muendeleze uzinzi wenu kwa mwanae
Kwani lazima kila mtu awe na mahusiano ya kuolewa au hata mahusiano kabisa?Kwani hatma ya mahusiano baina ya mwanaume na mwanamke huwa ni nini?😊
Mkuu jikite kwenye mada kuu, usiende nje ya mada tafadhali.Kwani lazima kila mtu awe na mahusiano ya kuolewa au hata mahusiano kabisa?
Je, vipi kama mtu kaona mahusiano yatamuondoa kutoka lengo lake la kupata dawa ya kumaliza ugonjwa wa saratani.
Hataki mahusiano, hataki ndoa, anataka kujikita katika tafiti za kisayansi kupata dawa hiyo itakayosaidia mabilioni ya watu duniani.
Huyo naye utasema ni lazima awe na mahusiano?
Kwenye mada ni wapi na nje ya mada ni wapi?Mkuu jikite kwenye mada kuu, usiende nje ya mada tafadhali.
Kama upo serious nae nenda moja moja kwa wazazi wake ukamchumbie. Mama yake ndo anataka hivyoMpaka yule msichana alikubali kuingia kwenye mahusiano na mimi na pia nilimweleza malengo yangu juu yake na yeye alinielewa na kunikubalia hilo bila shaka linaonyesha yeye alishajiandaa kuwa mke. Changamoto tuu ni treatment ya mama yake anamfuatilia msichana mkubwa wa miaka 24+ kama mtoto wa darasa la nne. Yani kiufupi haruhusu hata nusu ya utashi wa mwanae utumike!!
Hili lilikuwa jambo la muda kidogo, kwa sasa haiwezekani tena. Ila pengine haukunipata vyema nilichokuwa namaanisha ni kwamba. Mzazi anaowajibu wa kumlinda nwanae hilo halina shida kabisa. Ila ninachoona kinashida ni vile mzazi kuendelea kumfuata fuata mwanae (kumfuatilia) mwanae ambaye kiumri ni 24+. Mtu akifikisha umri wa miaka 18 na kuendelea tayari JMT inamuhesabu ni mtu mzima hivyo anaruhusiwa kufanya maamuzi kwa utashi wake bila kuzongwa zongwa ili mradi tuu asivunje sheria za nchi. Sasa kwa mazingira ya yule mama ana mtreat mwanae kama vile bado ni adolescent!! Ilihali ameshaingia chuo kikuu! Hapo nadhani umenielewa.Kama upo serious nae nenda moja moja kwa wazazi wake ukamchumbie. Mama yake ndo anataka hivyo