Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Nadhani huelewi kabisa kinachojadiliwa hapa, yaani kwa ufupi unaburuzwa na mjadalaUmeona wapi club ina lazimishwa rangi ya jezi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani huelewi kabisa kinachojadiliwa hapa, yaani kwa ufupi unaburuzwa na mjadalaUmeona wapi club ina lazimishwa rangi ya jezi
Umeelewa nini hapa wewe Mbumbumbu kijana [emoji116]Utopolo bwana, hivi unaweza kuchezea logo ya brand ya mtu hovyo unavyotaka?
Justify it legally bitchUmeelewa nini hapa wewe Mbumbumbu kijana [emoji116]View attachment 2501108
Mwanasheria wa Yanga aliposhindwa kesi ya Morrison akapewa assistant legal counsel wa ICC.Yanga hawana legal counsel, yani ni club inayojiendesha kienyeji hawaelewi kuwa Total wanaweza kuwaburuza kizimbani na kuwalipa mabilioni ya hela kwa kuchezea logo yao.
Unafikiri Total anatoa kiasi gani kwa CAF halafu wapuuzi fulani wachezee tu brand ya kimataifa kwa utopolo wao?
Nani, MBUMBUMBU FC a.k.a madunduka?Si nchi. Sema club ya malalamiko
Nchi ya Mazezeta hii, inakuwa vipi tupangiane rangi ilihali wengine hata rangi nyekundu mithili ya jezi za Makolokolo FC ni kichefuchefu na kuhisi tunawakilisha Wanyonya damu wa miaka ya 1990?CAF waikatae hiyo jezi. Yanga kuikataa rangi nyekundu ni ushamba na ukosefu wa akili timamu
Tangu lini Mbumbumbu zikawa zinamtosha?Ujuaji mwingi kumbe huna unalo jua, umeiona hio jezi? Yanga ni hawajasoma terms za mashindano? total energies wana rangi ngapi kwenye logo yao?
Aliyekudanganya gold inawekwa kwenye timu yenye Kombe ni nani?Wamechora Gold wakati hawajawahi pata kombe
Utofauti isiharibu brand ya mdhaminiNchi ya Mazezeta hii, inakuwa vipi tupangiane rangi ilihali wengine hata rangi nyekundu mithili ya jezi za Makolokolo FC ni kichefuchefu na kuhisi tunawakilisha Wanyonya damu wa miaka ya 1990?
Utofauti una ladha yake pia amkeni ninyi Mbumbumbu...[emoji57]
akili yako ndogo binti, Jersey kabla ya kutambulishwa sample hua inapelekwa kwa sponsor umekaa lisha makalio hapo unakosoa vitu usivyojua nenda jikoni ukakate vitunguu na nyanyaJustify it legally bitch
Kuna timu hata hizo nembo haziweki na sijaona CAF wakiwafanya loloteYanga hawana legal counsel, yani ni club inayojiendesha kienyeji hawaelewi kuwa Total wanaweza kuwaburuza kizimbani na kuwalipa mabilioni ya hela kwa kuchezea logo yao.
Unafikiri Total anatoa kiasi gani kwa CAF halafu wapuuzi fulani wachezee tu brand ya kimataifa kwa utopolo wao?
sikia logo kabla haijachapishwa hupelekwa kwa wote wanaohusika kwa approvalYanga hawana legal counsel, yani ni club inayojiendesha kienyeji hawaelewi kuwa Total wanaweza kuwaburuza kizimbani na kuwalipa mabilioni ya hela kwa kuchezea logo yao.
Unafikiri Total anatoa kiasi gani kwa CAF halafu wapuuzi fulani wachezee tu brand ya kimataifa kwa utopolo wao?
kanuni zinaruhusuMkuu,wewe ambaye umesha tafiti tujuze.
Nagongelea nyundo hapa 😁😁PUNGUZA UJUAJI MZEE...
PUNGUZA UJUAJI
TAFITI KWANZA NDO USEME JAMBO.
Kuna Vodafone walikuwa wanavaa Kaizer .Umeelewa nini hapa wewe Mbumbumbu kijana [emoji116]View attachment 2501108
Haina jema hata roboNchi ya malalamiko
kwa hiyo timu ikiamua inaweza logo ya rangi nyeusi,badala ya nyekundu ili kutoharibu muonekano wa jezi zao?Si yanga tu, tunu nyingi wana option ya rangi nyingine ili kutovuruga design na muonekabo bora wa jezi...