Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 4,016
- 6,759
Wewe ndo una uhakika yaani..!Umeandika kana kwamba una uhakika huo mchakato umefanyika. Unaweza kuta hizo process haikuweza kuzingatiwa na viongozi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndo una uhakika yaani..!Umeandika kana kwamba una uhakika huo mchakato umefanyika. Unaweza kuta hizo process haikuweza kuzingatiwa na viongozi
Hapa umeandika kwa kizungu bisha?Justify it legally bitch
Mura nsho nkotembhiMADUNDUKA yanaumia kinoma!
[emoji16][emoji16][emoji16] Akibisha nitag mkuuHapa umeandika kwa kizungu bisha?
Kwanza unajua kama jezi ingekuwa plain tu. Sportpesa na makampuni mengine yote ya kubeti hayapaswi kukaa kwenye jezi za timu zaidi ya kampuni moja tu ya 1xbet endapo timu zikifuzu hatua ya makundi. Hivyo jezi ya Yanga isingekuwa na sportpesa kifuaniKwa kuweka nembo ya mdhamini mwingine kwenye jezi ya Yanga kwenye mashindano ya CAF kwa kweli mmnaenda kupora haki za main sponsor, na mmnaenda kumpunguzia dhamani yake kwa ujumla km Main sponsor(Sports pesa).
Huna ujualo kumbuka ligi ya England mdhamini wa ligi alikua standard chartered bank logo yao ni blue na kijani lakini Liverpool waliweka logo Ile Ile ila rangi nyekundu na nyeusi mtu unatoa maoni kwa mkumbo na chuki bila kujua unacho sema mradi na wewe uonekane unajua kumbe unaungua na jua. Majuha wapo wengi bora mjinga kuliko Juha.Umeona wapi club ina lazimishwa rangi ya jezi
Ndiyo timu yenye Mashabiki na viongozi vilaza Sana kuliko timu yoyote hapa ulimwenguni.Yanga walishakula kiapo kukataa rangi nyekundu
Ni lini Standard Chartered alidhimini EPL? unasema wenzako majuha kumbe wewe ndio juha kubwaHuna ujualo kumbuka ligi ya England mdhamini wa ligi alikua standard chartered bank logo yao ni blue na kijani lakini Liverpool waliweka logo Ile Ile ila rangi nyekundu na nyeusi mtu unatoa maoni kwa mkumbo na chuki bila kujua unacho sema mradi na wewe uonekane unajua kumbe unaungua na jua. Majuha wapo wengi bora mjinga kuliko Juha.
Inakuumiza?Ndiyo timu yenye Mashabiki na viongozi vilaza Sana kuliko timu yoyote hapa ulimwenguni.
Bado wako kwenye mawazo ya kijima Sana.
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Ni ujinga tu. Leo hii Yanga na Simba wote wanavaa blue ila juzi tu ukivaa shati jekundu kwenye jukwaa la Yanga ilikuwa nongwa.Kwa hiyo kwa Tanzania hizi rangi huambatana na MAFUNGAMANO YA KISHETANI.
Kuna vitu vinatokea tanzania tu.Ni ujinga tu. Leo hii Yanga na Simba wote wanavaa blue ila juzi tu ukivaa shati jekundu kwenye jukwaa la Yanga ilikuwa nongwa.