Hili suala la nembo kwa jezi mpya ya Yanga ipoje?

Hili suala la nembo kwa jezi mpya ya Yanga ipoje?

Yanga hawana legal counsel, yani ni club inayojiendesha kienyeji hawaelewi kuwa Total wanaweza kuwaburuza kizimbani na kuwalipa mabilioni ya hela kwa kuchezea logo yao.

Unafikiri Total anatoa kiasi gani kwa CAF halafu wapuuzi fulani wachezee tu brand ya kimataifa kwa utopolo wao?
Ngoja niwacheck kwa email niwape hii naweza kula ganji kutokana na faini watayotoa utopolo.😅
 
Ninaipongeza klabu ya Yanga kwa kuendelea kufanya vizuri kwenye ku design jezi. Jana zimezinduliwa jezi za kiwango haswa mpaka mashabiki wa Simba wakizitamani. Lakini moja ya jambo ambalo kwangu ni tata ni ishu ya logo ya main sponsor wa mashindano ya Caf inter club ambaye ni total energies.

Ukiangalia logo ambayo Yanga wameiweka kwenye jezi mpya haina rangi halisi ya logo ya Tota energies kwenye nyekundu wameiweka zambarau hivi, kwa waliofanikiwa kuiona jezi live mnaweza kuliweka sawa hili pengine picha ya jezi imenipotosha kukawa na rangi sahihi ya main sponsor.

Kama ikiwa ni kweli ipo hivyo kama ilivyokuwa kwenye picha je hakutakuwa na shida yoyote? Viongozi wa Yanga waliomba ufafanuzi huko CAF na kuonekana hakuna shida? Isije jitihada zote zinazofanyika kwaajili ya michuano ya shirikisho ikaja kukwamishwa na jambo dogo la logo kwa kukwepa wekundu.

View attachment 2500947View attachment 2500948
Wanajifanya color blind 😅😅😅 watabadili tu
 
Mmetafuta sababu za kukosoa jezi mmekosa mmetafta logo ilimradi tu mpate ahueni
Sasa kwa taarifa yako huyo designer wenu tapeli tu. Hiyo designing siyo kazi yake. NI COPY AND PASTE kutoka kwa timu za watu huko duniani.
Watu wameingia chimbo na kubaini kuwa hiyo ya dark blue ni CP kutoka jezi ya Getafe. Ataumbuka mtu mwaka huu🙈🙈🙈
 
Sasa kwa taarifa yako huyo designer wenu tapeli tu. Hiyo designing siyo kazi yake. NI COPY AND PASTE kutoka kwa timu za watu huko duniani.
Watu wameingia chimbo na kubaini kuwa hiyo ya dark blue ni CP kutoka jezi ya Getafe. Ataumbuka mtu mwaka huu[emoji85][emoji85][emoji85]
Okay, umenufaika nini?
 
Unamtumia main sponsor, mnajadiliana..


Yeye ndo anaapprove mzee.

Ni maombi unayatuma kwa sponsor .
Umeandika kana kwamba una uhakika huo mchakato umefanyika. Unaweza kuta hizo process haikuweza kuzingatiwa na viongozi
 
Yanga hawana legal counsel, yani ni club inayojiendesha kienyeji hawaelewi kuwa Total wanaweza kuwaburuza kizimbani na kuwalipa mabilioni ya hela kwa kuchezea logo yao.

Unafikiri Total anatoa kiasi gani kwa CAF halafu wapuuzi fulani wachezee tu brand ya kimataifa kwa utopolo wao?
Huku Afrika watu wengi ni waswahili na ujinga huu utapokelewa tu na hutaona chochote kinatokea.

Yanga kujiapiza kwa rangi ni sababu ya masharti ya kichawi na kwa hiyo huenda wameshapiga ramli na kuona hawatachukuliwa hatua yoyote.



Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Wale mashabiki Utopolo kule mtaani ndio hawa tupo nao humu. Unategemea majibu gani zaidi ya kejeli bila kuficha upumbavu wao
 
Huku Afrika watu wengi ni waswahili na ujinga huu utapokelewa tu na hutaona chochote kinatokea.

Yanga kujuapiza kwa rangi ni sababu ya masharti ya kichawi na kwa hiyo huenda wameshapiga ramli na kuona hawatachukuliwa hatua yoyote.



Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Ungejifunza ku mind your own business
 
Sasa kwa taarifa yako huyo designer wenu tapeli tu. Hiyo designing siyo kazi yake. NI COPY AND PASTE kutoka kwa timu za watu huko duniani.
Watu wameingia chimbo na kubaini kuwa hiyo ya dark blue ni CP kutoka jezi ya Getafe. Ataumbuka mtu mwaka huu[emoji85][emoji85][emoji85]
Getafe jezi Yao nakuwekea hapa wala haifanani na hiyo ya Young Africans, ogopa utapeli mzee kuwa makini, wahuni wameamua kuiedit hiyo jezi na kuifanya ifanane na jezi ya YANGA Ila ni tofauti..sasa mnakurupuka tu kila kinachopostiwa mnakubali bila kufanya fact checking..
Screenshot_20230131-201939.jpg
Screenshot_20230131-201923.jpg
 
Kwani Ule msimu waliotinga makundi
Walivaa logo yenye rangi gani? Au mdhamini alikua sio huyo yanga wajua wanachokifanya mlevi apotei njia
Mdhamini alikuwa huyo huyo total energies lakini Yanga hakubadili rangi ya logo walivaa rangi zile zile nyekundu kama logo ilivyo.
 

Attachments

  • MAKAMBO NA KASEKE.jpg
    MAKAMBO NA KASEKE.jpg
    184.5 KB · Views: 5
MA UTOPOLO WANACHEZEA BLAND KUBWA KAMA TOTAL ENERGY WATAPIGWA FAINI KALI MNO.
 
Nchi ya Mazezeta hii, inakuwa vipi tupangiane rangi ilihali wengine hata rangi nyekundu mithili ya jezi za Makolokolo FC ni kichefuchefu na kuhisi tunawakilisha Wanyonya damu wa miaka ya 1990?

Utofauti una ladha yake pia amkeni ninyi Mbumbumbu...[emoji57]
Badilisha rangi ya damu yako iwe ya kijani ili uwe free zaidi
 
Back
Top Bottom