Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 4,016
- 6,759
Unamtumia main sponsor, mnajadiliana..kwa hiyo timu ikiamua inaweza logo ya rangi nyeusi,badala ya nyekundu ili kutoharibu muonekano wa jezi zao?
Kudandia na kusupport vitu usivyokua na uhakika navyo utakuja bakwa shauri yako😄😄Kama ni kweli basi timu inaendeshwa kienyeji sana hiyo
Ngoja niwacheck kwa email niwape hii naweza kula ganji kutokana na faini watayotoa utopolo.😅Yanga hawana legal counsel, yani ni club inayojiendesha kienyeji hawaelewi kuwa Total wanaweza kuwaburuza kizimbani na kuwalipa mabilioni ya hela kwa kuchezea logo yao.
Unafikiri Total anatoa kiasi gani kwa CAF halafu wapuuzi fulani wachezee tu brand ya kimataifa kwa utopolo wao?
Wanajifanya color blind 😅😅😅 watabadili tuNinaipongeza klabu ya Yanga kwa kuendelea kufanya vizuri kwenye ku design jezi. Jana zimezinduliwa jezi za kiwango haswa mpaka mashabiki wa Simba wakizitamani. Lakini moja ya jambo ambalo kwangu ni tata ni ishu ya logo ya main sponsor wa mashindano ya Caf inter club ambaye ni total energies.
Ukiangalia logo ambayo Yanga wameiweka kwenye jezi mpya haina rangi halisi ya logo ya Tota energies kwenye nyekundu wameiweka zambarau hivi, kwa waliofanikiwa kuiona jezi live mnaweza kuliweka sawa hili pengine picha ya jezi imenipotosha kukawa na rangi sahihi ya main sponsor.
Kama ikiwa ni kweli ipo hivyo kama ilivyokuwa kwenye picha je hakutakuwa na shida yoyote? Viongozi wa Yanga waliomba ufafanuzi huko CAF na kuonekana hakuna shida? Isije jitihada zote zinazofanyika kwaajili ya michuano ya shirikisho ikaja kukwamishwa na jambo dogo la logo kwa kukwepa wekundu.
View attachment 2500947View attachment 2500948
Una reply comment ya mwanaume alafu unatumia emoji ya kujichekeshachekesha kwenye mambo yasiyo chekesha unataka kukazwa?Kudandia na kusupport vitu usivyokua na uhakika navyo utakuja bakwa shauri yako😄😄
Sasa kwa taarifa yako huyo designer wenu tapeli tu. Hiyo designing siyo kazi yake. NI COPY AND PASTE kutoka kwa timu za watu huko duniani.Mmetafuta sababu za kukosoa jezi mmekosa mmetafta logo ilimradi tu mpate ahueni
Okay, umenufaika nini?Sasa kwa taarifa yako huyo designer wenu tapeli tu. Hiyo designing siyo kazi yake. NI COPY AND PASTE kutoka kwa timu za watu huko duniani.
Watu wameingia chimbo na kubaini kuwa hiyo ya dark blue ni CP kutoka jezi ya Getafe. Ataumbuka mtu mwaka huu[emoji85][emoji85][emoji85]
Tena Ujinga Kama Rangi Ya Mkaa Unafanywa Ni Upuuzi Mtupu Wanalazimisha Kwa Twiga Wa Nbc Main SponsorBongo bado tuna ujinga mwingi saana
Huku Afrika watu wengi ni waswahili na ujinga huu utapokelewa tu na hutaona chochote kinatokea.Yanga hawana legal counsel, yani ni club inayojiendesha kienyeji hawaelewi kuwa Total wanaweza kuwaburuza kizimbani na kuwalipa mabilioni ya hela kwa kuchezea logo yao.
Unafikiri Total anatoa kiasi gani kwa CAF halafu wapuuzi fulani wachezee tu brand ya kimataifa kwa utopolo wao?
Peleka malalamiko yako CAF dada yako Barbara ni secretary paleWale mashabiki Utopolo kule mtaani ndio hawa tupo nao humu. Unategemea majibu gani zaidi ya kejeli bila kuficha upumbavu wao
Ungejifunza ku mind your own businessHuku Afrika watu wengi ni waswahili na ujinga huu utapokelewa tu na hutaona chochote kinatokea.
Yanga kujuapiza kwa rangi ni sababu ya masharti ya kichawi na kwa hiyo huenda wameshapiga ramli na kuona hawatachukuliwa hatua yoyote.
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Getafe jezi Yao nakuwekea hapa wala haifanani na hiyo ya Young Africans, ogopa utapeli mzee kuwa makini, wahuni wameamua kuiedit hiyo jezi na kuifanya ifanane na jezi ya YANGA Ila ni tofauti..sasa mnakurupuka tu kila kinachopostiwa mnakubali bila kufanya fact checking..Sasa kwa taarifa yako huyo designer wenu tapeli tu. Hiyo designing siyo kazi yake. NI COPY AND PASTE kutoka kwa timu za watu huko duniani.
Watu wameingia chimbo na kubaini kuwa hiyo ya dark blue ni CP kutoka jezi ya Getafe. Ataumbuka mtu mwaka huu[emoji85][emoji85][emoji85]
Mdhamini alikuwa huyo huyo total energies lakini Yanga hakubadili rangi ya logo walivaa rangi zile zile nyekundu kama logo ilivyo.Kwani Ule msimu waliotinga makundi
Walivaa logo yenye rangi gani? Au mdhamini alikua sio huyo yanga wajua wanachokifanya mlevi apotei njia
Badilisha rangi ya damu yako iwe ya kijani ili uwe free zaidiNchi ya Mazezeta hii, inakuwa vipi tupangiane rangi ilihali wengine hata rangi nyekundu mithili ya jezi za Makolokolo FC ni kichefuchefu na kuhisi tunawakilisha Wanyonya damu wa miaka ya 1990?
Utofauti una ladha yake pia amkeni ninyi Mbumbumbu...[emoji57]