Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji2][emoji2]Sheria wanatunga wao, posho wanajipitishia wao, afu mtu analipwa posho hata bungeni hajafika, akaunti inasoma tu mtu yupo lodge anapiga Tako tatu
Ngoja nianze harakati, huenda 2025 nitakuwa kati ya watunga sheria.Pambana mkuu upate ubunge. Haki ipo mbinguni tu.
Pambana kufika juu. Usitake wa juu akukute chini. That's my principle.
Wananyanyasika sana nchini kwao MkuuWalimu once aganin
Ndo wanahusika zaidi na kima cha chini cha mshaharaSwali langu na hoja yangu ni kuwa wapo watumishi wa kada ngapi hapann nchini? Kwanini kila siku mifano ni lazima itolewe kwa walimu pekee?
Walimu hao hao ambao wamemchangia mama kizmkazi fomu ya kugombea uraisi na wamesema wanataka wakurugenzi wasimamie uchaguzi hakuna huruma ACHA wanyonywe mpaka damuSalaam wapenzi wana JF.
Leo nimeamua kuwasilisha hii kero ya ukosefu wa usawa linapokuja suala la kufaidi keki ya Taifa.
Yaani haiingii akilini kabisa kwa mbunge kulipwa pesa ya posho ya siku moja ambayo ni kubwa zaidi kuliko mshahara wa Mwalimu wa mwezi mzima.
Siyo sawa kabisa.
Ahsanteni.
Mama NaaMzee Kinana anasema “wabunge wetu wanalipwa pesa kidogo sana”
MISHAHARA YA WABUNGE NI WIZI NA UNYANG'ANYI WA HALI YA JUU KABISA TANZANIA.
Suala la Mishahara ya Wabunge analoliongea @HecheJohn linaumiza roho sana.
Mwalimu wa Tanzania mwenye TGTS D1 mwenye mshahara take home 531,000 kwa mwezi, akifanya kazi kwa miaka 38 atalipwa shilingi 242,136,000 (milioni 242).
MBUNGE wa Tanzania kwa mwaka mmoja analipwa shilingi 240,300,000 (milioni 240 bila posho za kamati).
Yani mwalimu wa Tanzania mwenye degree analazimika kufanya kazi kwa miaka 38 ili aweze kupata malipo anayopewa mbunge wake (ANAYETAKIWA KUJUA KUSOMA NA KUANDIKA TU) kwa mwaka mmoja tu. Ndio uzalendo huu?
YANI IPO HIVI,
Mbunge anayelala tu bungeni analipwa;
Jumla kwa mwaka mmoja ni sh. 240,300,000 (milioni 240, hii haihusishi posho za kamati za kudumu).
- Posho za vikao kwa mwaka ni sh. 42,300,000 (milioni 42.3)
- Mshahara na marupurupu kila mwezi 16,500,000 × miezi 12 = 198,000,000 (milioni 198).
Kwa miaka mitano, mbunge wa Tanzania analipwa 1,201,500,000 (Bilioni moja na milioni 200) bila kuhusisha posho za kamati.
TUCHANGANUE MALIPO YA MBUNGE VIZURI
Sitting Allowance - 220,000
Per Diem - 250,000
Jumla kila siku mbunge analipwa 470,000/= (haijalishi ameongea au lah).
Mshahara na marupurupu kwa mwezi - 16,500,000/=
Mshahara wa mbunge kwa mwaka mmoja ni shilingi 198,000,000 (milioni 198).
Mshahara wa mbunge kwa miaka mitano ni shilingi 990,000,000 (milioni 990).
Bado kila baada ya miaka mitano huyu mbunge analipwa kiinua mgongo milioni Mia mbili (200,000,000).
Vikao vya Bunge
Kikao cha Januari 31 - Feb 10 = siku 11
Kikao cha bajeti April 4 - June 30 = siku za vikao 59
Mkutano wa tisa wa bunge mwaka 2022 Nov 1-11 = siku 10
Mkutano wa nane kuanzia Sept 13-23 = siku 10
Jumla ya siku za vikao vya bunge ni siku 90.
Siku 90 za vikao × 470,000 = 42,300,000
42,300,000 za vikao × miaka 5 = 211,500,000
JUMLA KWA MIAKA MITANO
1,201,500,000 (Bilioni moja na milioni 200) bila kuhusisha posho za kamati.
TUANGALIE MSHAHARA WA MWALIMU KWA MIAKA MITANO
Mwl. mwenye TGTS D1 mshahara wake basic ni shilingi 771,000 kwa mwezi, ukitoa makato, take home ya mwalimu huyu no shilingi 531,000.
Mshahara wa huyu mwalimu kwa mwaka 531,000 × miezi 12 = 6,372,000 mara miaka mitano = 31,860,000 (huu ni mshahara wa Mia I miwili wa mbunge).
Kwa miaka 38 mwalimu analipwa 6,372,000 * 38 = 242,136,000 (sawa na mshahara wa mwaka mmoja wa mbunge).
Huyu mwalimu akidai nyongeza ya mshahara anaambiwa "KUWA MZALENDO." Kama sio wizi huu ni nini????
Wakati mbunge wa Tanzania anaogelea kwenye bwawa la utajiri wa kodi za walala hoi, mtoto wa mtanzania maskini anashindwa kujengewa hata choo cha tundu kwenye shule yake; hata dawati la shilingi elfu 50 tu limeshindikana; hata kitabu cha elfu kumi tu imeshindikana.
IFIKE MAHALI TUACHE HUU UFALA WA
KUENDELEA KUFUMBIA MACHO UDHALIMU WAKATI TUNAOUMIA NI SISI NA WATOTO WETU. MABADILIKO YA KWELI YATAKUJA PALE WATU WA CHINI TUTAKAPOSIMAMA KUPINGA UDHALIMU.
By mama naa
Siyo vibaya kuwatetea wajinga Mkuu.Walimu hao hao ambao wamemchangia mama kizmkazi fomu ya kugombea uraisi na wamesema wanataka wakurugenzi wasimamie uchaguzi hakuna huruma ACHA wanyonywe mpaka damu
360k kwa sikuKwani wanalipwa posho shilling ngapi?
Njaa tu Mkuualafu CWT wanamchangia tena fedha mwanasiasa kwenye kampeni zake.
inasikitisha..
Ni zaidi ya tatu mkulungwa huku akisikiliziaSheria wanatunga wao, posho wanajipitishia wao, afu mtu analipwa posho hata bungeni hajafika, akaunti inasoma tu mtu yupo lodge anapiga Tako tatu
Ni walimu wanaosimamia uchaguzi na kusaidia wizi wa kura, acha njaa iwaueSalaam wapenzi wana JF.
Leo nimeamua kuwasilisha hii kero ya ukosefu wa usawa linapokuja suala la kufaidi keki ya Taifa.
Yaani haiingii akilini kabisa kwa mbunge kulipwa pesa ya posho ya siku moja ambayo ni kubwa zaidi kuliko mshahara wa Mwalimu wa mwezi mzima.
Siyo sawa kabisa.
Ahsanteni.
Halafu Bungeni kwenyewe hakuna wanachofanya, zaidi tu ya kugonga meza, kupiga vigelegele, na kuitikia ndiyooo!!! Hovyo sana wale 🐷.Sheria wanatunga wao, posho wanajipitishia wao, afu mtu analipwa posho hata bungeni hajafika, akaunti inasoma tu mtu yupo lodge anapiga Tako tatu
Yaani tuna hasara sana kama TaifaHalafu Bungeni kwenyewe hakuna wanachofanya, zaidi tu ya kugonga meza, kupiga vigelegele, na kuitikia ndiyooo!!! Hovyo sana wale 🐷.