Hili suala la wastaafu kupeana Mahekalu, Mwalimu alisema ipo siku Watanzania watalidai Azimio la Arusha

Hapana..ilitungwa wakati wa Mkapa kama kumbukumbu zangu ziko vizuri
In short, Nyerere hakuwa mtu wa tamaa za mali.

Hata Mkapa nahisi hivyo, ila kilichomponza Mkapa ni kuwa na lundo la wachagga( wanafamilia) karibu yake hasa kupitia mke wake.
 
In short, Nyerere hakuwa mtu wa tamaa za mali.

Hata Mkapa nahisi hivyo, ila kilichomponza Mkapa ni kuwa na lundo la wachagga( wanafamilia) karibu yake hasa kupitia mke wake.
Duh hapo kwa wachagga mkuu naona unachokoza watu. Watakushukia kama mvua ya radi, wamejaa humu.
 
Tutawazika humo humo kwenye mahekalu yao
 
Duh hapo kwa wachagga mkuu naona unachokoza watu. Watakushukia kama mvua ya radi, wamejaa humu.
Mkuu mimi sijawahi kumwogopa mtu.

Hakuna asiyejua jinsi wachagga wakivyojichomeka vitengo nyeti enzi za Mkapa kupitia mke wake.

Huyo Anna Mkapa alimkontrol Mkapa hata kurudi kwao Lupaso akashindwa, wakaenda kuishi Lushoto, njiapanda ya kwenda Moshi.
 
Zawadi zote mbili walizopewa wastaafu ilikuwa wapewe na Hayati JPM kwa mujibu wa sheria. Mama Samia imebidi awape kwani ndio rais kwa sasa. Huku kulialia mitandaoni hakuna msaada wowote.
Katika kutunga hizo sheria wananchi walipakodi wanashirikishwa? Au ni genge fulani linajifungia na kuamua?
 
 
Katika kutunga hizo sheria wananchi walipakodi wanashirikishwa? Au ni genge fulani linajifungia na kuamua?
Wabunge wanawawakilisha hao walipo kodi, wapo Dodoma muda huu wakitunga sheria na kupitisha bajeti kwa kutumia kodi hizo hizo.
 
Hivi unajua mateso yaliyosababishwa na hilo azimio? kawaulize Babu na Bibi yako wakusimulie
 
Wabunge wanawawakilisha hao walipo kodi, wapo Dodoma muda huu wakitunga sheria na kupitisha bajeti kwa kutumia kodi hizo hizo.
Lakini hao wabunge nao ni wahuni tu, hayo maoni huwa yanakusanywa kwa wananchi gani au wanakwenda na agenda zao mifukoni ili kujitafutia sifa
 
Watz hawa hawa wanaovimbiwa ugali na kuridhika kwa kanga za ccm au watz gani ?
 
In short, Nyerere hakuwa mtu wa tamaa za mali.

Hata Mkapa nahisi hivyo, ila kilichomponza Mkapa ni kuwa na lundo la wachagga( wanafamilia) karibu yake hasa kupitia mke wake.
Hayati mwalimu alikuwa mzalendo wa kweli kama wanamajumui wengine wa Afrika kina hayati Kwame Nkurumah, Samora Machel, Thomas Sankara, Keneth Kaunda, Patrice Lumumba, Sekou Troure and the like, ambao walikuwa a nia ya dhati ya kuwakomboa waafrika...bahati mbaya sana waliwasomesha vijana ambao waliiga maisha ya wazungu na kuingiwa tamaa ya ubinafsi, na ndio hawa wamekuja kuwa viongozi wetu wa sasa! Angalia hapa kwetu kuna kitu kina itwa Tume ya maadili ya viongozi....moja ya kazi zake ni kufuatilia mali za viongozi, lini ulisikia imehoji maadili ya kiongozi yeyote?
 
In short, Nyerere hakuwa mtu wa tamaa za mali.

Hata Mkapa nahisi hivyo, ila kilichomponza Mkapa ni kuwa na lundo la wachagga( wanafamilia) karibu yake hasa kupitia mke wake.
Hayati mwalimu alikuwa mzalendo wa kweli kama wanamajumui wengine wa Afrika kina hayati Kwame Nkurumah, Samora Machel, Thomas Sankara, Keneth Kaunda, Patrice Lumumba, Sekou Troure and the like, ambao walikuwa a nia ya dhati ya kuwakomboa waafrika...bahati mbaya sana waliwasomesha vijana ambao waliiga maisha ya wazungu na kuingiwa tamaa ya ubinafsi, na ndio hawa wamekuja kuwa viongozi wetu wa sasa! Angalia hapa kwetu kuna kitu kina itwa Tume ya maadili ya viongozi....moja ya kazi zake ni kufuatilia mali za viongozi, lini ulisikia imehoji maadili ya kiongozi yeyote?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…