Bora kampuni imeamua kuweka USB-C port kwenye hardware zao including simu zao. Ilikuwa shida sana.Dar kuwa na I phone ni swala la kawaida saaana ..kuna mikoa ukienda ukiisahau chaji basi iyo siku utapata tabu sana ..all in all kwangu ni simu ya kimama sana
Samsung shareholder
Copy izo wewe,k.koo laki 3Habari wakuu
Moja kwa moja kwenye huzi;
Leo nimetoka kigamboni kuelekea kariakoo kwa usafiri wa daladala,cha kustaajabisha ni kwamba 90% abiria kwenye gari hilo wanatumia iphone , wengi wao walionekana wanatumia X,XR,11 plain na pro,
Swala ambalo lilinistua na kunistaajabisha na kufikiria kwamba iphone ni sare za vikoba kwa wamama,mabinti na vijana.
#uzi tayari
Habari wakuu
Moja kwa moja kwenye huzi;
Leo nimetoka kigamboni kuelekea kariakoo kwa usafiri wa daladala,cha kustaajabisha ni kwamba 90% abiria kwenye gari hilo wanatumia iphone , wengi wao walionekana wanatumia X,XR,11 plain na pro,
Swala ambalo lilinistua na kunistaajabisha na kufikiria kwamba iphone ni sare za vikoba kwa wamama,mabinti na vijana.
#uzi tayari
Acha ujingaujinga.Habari wakuu
Moja kwa moja kwenye huzi;
Leo nimetoka kigamboni kuelekea kariakoo kwa usafiri wa daladala,cha kustaajabisha ni kwamba 90% abiria kwenye gari hilo wanatumia iphone , wengi wao walionekana wanatumia X,XR,11 plain na pro,
Swala ambalo lilinistua na kunistaajabisha na kufikiria kwamba iphone ni sare za vikoba kwa wamama,mabinti na vijana.
#uzi tayari
Sasa umestaajabu nini???Habari wakuu
Moja kwa moja kwenye huzi;
Leo nimetoka kigamboni kuelekea kariakoo kwa usafiri wa daladala,cha kustaajabisha ni kwamba 90% abiria kwenye gari hilo wanatumia iphone , wengi wao walionekana wanatumia X,XR,11 plain na pro,
Swala ambalo lilinistua na kunistaajabisha na kufikiria kwamba iphone ni sare za vikoba kwa wamama,mabinti na vijana.
#uzi tayari
Acha ujingaujinga.
Iphone takataka sio😁Hata huwa nashindwa mnaipendea nini,
Huwa nacheka sana ukiwa sehemu bongo maraia wanajaribu kukuonesha simu sana sana iPhone,
Kwanza nikiwa bongo ninanunua katululu,wueeh stress free ukiwa mizunguko yako,nani akuibie kabambe!
Siku hizi nikiona mtu amebeba simu tatu naisha na kicheko,inakaa funny.
Nayo point mkuu , lakini pia hadi mijimamaMkuu 3/4 ya wanafunzi wa IFM,Chuo cha Mwl.Nyerere na Chuo cha Magogoni wanakaa kigamboni-hivyo weekend wengi wanaenda karikaooo kutembea.
Wanafunzi wengi hasa mabinti ni malimbukeni kwenye simu za iPhone wapo radhi wabadilishe tecno kwa fundi ionekane ina macho 3 na wengine wenye uwezo kidogo wanaenda makumbusho kuchukua zile refurbished kutoka Dubai.