Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani haujui kwamba tupo uchumi wa juu kati.Nimestaajabu kuona iphone ipo kama sare ya vikoba
Umeanza utani na nyuma kuna jimwiko?HYO NDO FAIDA NA MANUFAA YA KUTOA NA KUTUMIA YAS
Sasa si bidhaa ipo on trend, sjaona la kukustaajabisha kiasi hiko. Anyways.. Mchana mwemaNimestaajabu kuona iphone ipo kama sare ya vikoba
MKUU 85% IPHONE USERS HAWANA UBINGWA, WAKE KWA WAUMEUmeanza utani na nyuma kuna jimwiko?
Sio takataka mkuu ila ni mapenzi ya mtu,mimi sijawahi ipenda.Iphone takataka sio😁
Zilikua zipo mikononi na macho hayana paziaAsilimia 90 ya gari inamaanisha ni abiria karibia wote. Kwahiyo ulikuwa na kazi ya kuangalia simu ya kila abiria? Kuwa kila abiria alikuwa anatumia simu yake akiwa kwenye daladala kiasi cha wewe kuweza kuziona.
Sitii neno mkuu.Kumbuka nyuma wana mwiko wa pilau ya shughulini.Watani hamna kitu.MKUU 85% IPHONE USERS HAWANA UBINGWA, WAKE KWA WAUME
Anhaa vip mkuu barabara ya kibada mwasonga inaendeleajeMkuu mi ni mkazi wa kigamboni😁😁😁
SAWA PUMBU MOJASitii neno mkuu.Kumbuka nyuma wana mwiko wa pilau ya shughulini.Watani hamna kitu.
Ni utani tu mkuu.SAWA PUMBU MOJA
Kbsa mkuuNi utani tu mkuu.
Kuna watu huwa wananuna.Ubishani haututoi kwenye Utanzania.Never!Kbsa mkuu
Kibada stendi ina hali gan kaka ukiachilia mbali ile soko paleNna muda sana mwisho wangu ni kibada stand to ferry
Mind your own business,sasa watumie Tecno ama infinix? Kama yako?Habari wakuu
Moja kwa moja kwenye huzi;
Leo nimetoka kigamboni kuelekea kariakoo kwa usafiri wa daladala,cha kustaajabisha ni kwamba 90% abiria kwenye gari hilo wanatumia iphone , wengi wao walionekana wanatumia X,XR,11 plain na pro,
Swala ambalo lilinistua na kunistaajabisha na kufikiria kwamba iphone ni sare za vikoba kwa wamama,mabinti na vijana.
#uzi tayari