Davet
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 42,445
- 205,933
Daah! Sawa chief 😁Sasa mkuu mi wivu wa nini kwa x,xr,11 plain na pro wakati mkononi nipo na s24 utra😁 ambayo price yake unapata iphone zaidi ya tatu
Jf
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah! Sawa chief 😁Sasa mkuu mi wivu wa nini kwa x,xr,11 plain na pro wakati mkononi nipo na s24 utra😁 ambayo price yake unapata iphone zaidi ya tatu
Neluka ni sehem special ile..una shepu ya kukaa kule?Shem mi nakaa bonyokwa, sina maisha ya kukaa goba 😔🥹😹😹
Nifanyie mpango basi hata neruka 😜
😜 eeh?!!Neluka ni sehem special ile..una shepu ya kukaa kule?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu 3/4 ya wanafunzi wa IFM,Chuo cha Mwl.Nyerere na Chuo cha Magogoni wanakaa kigamboni-hivyo weekend wengi wanaenda karikaooo kutembea.
Wanafunzi wengi hasa mabinti ni malimbukeni kwenye simu za iPhone wapo radhi wabadilishe tecno kwa fundi ionekane ina macho 3 na wengine wenye uwezo kidogo wanaenda makumbusho kuchukua zile refurbished kutoka Dubai.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaah[emoji12] eeh?!!
Unatakiwa kuwa na shape gani?
Mi km unavyojua shemejio kimbaumbau km mwiko wa pilau, mbele sichezi, nyuma sitikisiki..!! [emoji1787][emoji81][emoji81]
Kila mtu atumie yake,na amind business Za yeye,mimi natumia OKING kitochi,3M niweke kwenye simu wakati nanunua compressor,welder,drill,jigsaw,table saw;rotor,circular sawa nanina fungua workshop,siwezi nununueni matajirimi simu yangu ni sawa na zako 6 mkuu
....Nyingine Sio Iphone...ni Ipone !!!...kuwa macho!Habari wakuu
Moja kwa moja kwenye huzi;
Leo nimetoka Kigamboni kuelekea Kariakoo kwa usafiri wa daladala, cha kustaajabisha ni kwamba 90% abiria kwenye gari hilo wanatumia iphone , wengi wao walionekana wanatumia X,XR,11 plain na pro,
Swala ambalo lilinistua na kunistaajabisha na kufikiria kwamba iphone ni sare za vikoba kwa wamama,mabinti na vijana.
#uzi tayari
nalo wazo mkuu,tatizo uliposema nimind my bussiness kwenye vitu vinavyoonekana mi mbona sikua na shida mkuuKila mtu atumie yake,na amind business Za yeye,mimi natumia OKING kitochi,3M niweke kwenye simu wakati nanunua compressor,welder,drill,jigsaw,table saw;rotor,circular sawa nanina fungua workshop,siwezi nununueni matajiri
Hivi uongo kwako ni ajira eeh ?mazingira ya kibiashara nchini Tanzania yamekua bora zaidi na hali ya maisha na vipato vya wananchi vimeongezeka mara dufu
Sahihi mkuuHizo simu zote ni za zamani, enzi za Magufuli rais.
iPhone X (2017) used ata Laki 3.5 unapata.
iPhone XR (2018) used ata haivuki 400k.
iPhone 11 (2019) used haivuki 500k na Pro yake 650k.
Kusema kweli iPhone atleast kuanzia iPhone 12 kwenda juu ndio zipp advanced.
Izo za nyuma hamna cha ziada zaidi ya iMessage. Zingine ata iOS18 hazipati.
gentleman,Hivi uongo kwako ni ajira eeh ?
Ushirikina.gentleman,
masoko na fremi za biashara kila nyumba maana yake nini unadhani?🐒