Hili suala limenishangaza sana

Sasa mkuu mi wivu wa nini kwa x,xr,11 plain na pro wakati mkononi nipo na s24 utra๐Ÿ˜ ambayo price yake unapata iphone zaidi ya tatu
Daah! Sawa chief ๐Ÿ˜

Jf
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji12] eeh?!!
Unatakiwa kuwa na shape gani?
Mi km unavyojua shemejio kimbaumbau km mwiko wa pilau, mbele sichezi, nyuma sitikisiki..!! [emoji1787][emoji81][emoji81]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaah
 
mi simu yangu ni sawa na zako 6 mkuu
Kila mtu atumie yake,na amind business Za yeye,mimi natumia OKING kitochi,3M niweke kwenye simu wakati nanunua compressor,welder,drill,jigsaw,table saw;rotor,circular sawa nanina fungua workshop,siwezi nununueni matajiri
 
Ukiskia mtu anakwambia bora akose kula kuliko kukosa bando kwenye simu ndyo hii mkuu.
 
....Nyingine Sio Iphone...ni Ipone !!!...kuwa macho!
 
Kila mtu atumie yake,na amind business Za yeye,mimi natumia OKING kitochi,3M niweke kwenye simu wakati nanunua compressor,welder,drill,jigsaw,table saw;rotor,circular sawa nanina fungua workshop,siwezi nununueni matajiri
nalo wazo mkuu,tatizo uliposema nimind my bussiness kwenye vitu vinavyoonekana mi mbona sikua na shida mkuu
 
Hizo simu zote ni za zamani, enzi za Magufuli rais.

iPhone X (2017) used ata Laki 3.5 unapata.

iPhone XR (2018) used ata haivuki 400k.

iPhone 11 (2019) used haivuki 500k na Pro yake 650k.

Kusema kweli iPhone atleast kuanzia iPhone 12 kwenda juu ndio zipp advanced.

Izo za nyuma hamna cha ziada zaidi ya iMessage. Zingine ata iOS18 hazipati.
 
Sahihi mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ