Rule L
JF-Expert Member
- May 31, 2020
- 1,846
- 2,754
Kwahiyo ukikutana nae fresh tu.Mna hela
Mtu mmoja tu asiyeweka mbwembwe ni 20k. Bado waweka mbwembwe, bado atake na pedicure + scrub
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo ukikutana nae fresh tu.Mna hela
Mtu mmoja tu asiyeweka mbwembwe ni 20k. Bado waweka mbwembwe, bado atake na pedicure + scrub
Tatizo sio kunizidi tatizo ni mshahara mnono.Ukute huyo bank teller anakuzidi wewe mshahara
Yeah, sijawahi kuulizwa hilo swali rafiki na nafahamu kwanini wengine baadhi "kwanini" hawaulizwi hilo swali...Mkuu hivi wewe hujawahi kuulizwa hilo swali eti?
Kwako wewe mshahara mnono unaanzia sh' ngapi?Tatizo sio kunizidi tatizo ni mshahara mnono.
Na hii mada haituhusuSiongelei benki za huko kwenu
Mkuu acha ubishi usiokua na maana mabank teller mishahara yao ni hii hii laki 9 laki 8 sasa huo ni mshahara mnono? Au kisa yupo bank? Sasa kama huo ni mnono na mameneja wa TPA, BOT,TTCL mishahara yao tuiite vp? Nb: sina tafsiri ya mshahara mnono ni upi ila nakataa kua bank teller ana mshahara mnono.Kwako wewe mshahara mnono unaanzia sh' ngapi?
🤣🤣unaongelea bank za wapi sasa maana tz ndio hii hii na wanawake ni hawa hawa zaidi wanatofautiana staha na malezi...
kwa ulivyo andika inaonekana ukiona mtu anatoka kufanya kazi bank unawaza ana hela balaa....😂😂😂
Anayekuuliza jibu huwa ni lipiNa sisi wanawake tunaoulizwa hilo swali wanatakaga kujua nini?
Binafsi sikumbuki kuuliza hilo swali kwa mtu yeyote hata wa humu tunayefahamiana sijawahi. Mtu mwenyewe tu anajikuta ameshaanza kueleza.
Halafu wewe kwanini hukuniuliza? 😀Anayekuuliza jibu huwa ni lipi
Ngoja nikutongoze kwanzaHalafu wewe kwanini hukuniuliza? 😀
Mimi napambana tu mjini, elewa neno kupambana 🤣
🤣🤣🤣 hiyo kupambana ni code? Au ni kwa waliosomea Cuba tu ndio wanaelewaMimi napambana tu mjini, elewa neno kupambana 🤣
Eti daktari kwa nini mnapenda sana kutaka kujua kazi zetu au shughuli zinazotuingizia vipato?Nonsense. Kwani kufanya kazi bank au chuo ndio kunakufanya uwe mtu wa maana?
Eti DrNonsense. Kwani kufanya kazi bank au chuo ndio kunakufanya uwe mtu wa maana?