Hili swali kutoka kwa wanawake huwa limekaa kimtego Sana

Hili swali kutoka kwa wanawake huwa limekaa kimtego Sana

Salute Comrades!

Wanaume wenzangu njooni hapa niwape code kuhusu hawa wanawake ambao tumeusiwa tuishi nao kwa akili.

Kawaida yetu sisi wanaume tuna hulka ya kutongoza tongoza wanawake especially Kama mwanamke husika Ni anakidhi vigezo vyako.

Basi kipindi unamtongoza mwanamke Kuna hili swali ambalo lazima atakuuliza.
Swali lenyewe Ni Kama ifuatavyo ," Kwa hiyo wewe unajishughulisha na Nini maishani?"

Nina imani wanaume wengi wamewahi kuulizwa hilo swali na wanawake.
Bro sikiliza,Hilo swali hapo juu huwa haliulizwi kwa bahati mbaya Kama wengi tunavyofikiria.Hilo swali Ni la kimkakati limekaa kimtego Sana.
Jibu utakalompa ndilo litakaamua mustakabali wa mahusiano yenu Kati yako na huyo mwanamke unayemtongoza.

Mwanamke akikuuliza huwa unafanya shughuli/ kazi gani huwa anataka kujua Kama hiyo kazi in uwezo wa kukupa kipato Cha uhakika na hatimaye hutashindwa kumhudumia.Kwa hiyo hapo mwanamke anajali kuhusu financial security.

Kwa mfano mwanamke akikuuliza unafanya shughuli gani kujikimu kimaisha kisha wewe unamjibu " Mimi ni lecturer pale UDSM au Mimi Ni bank teller" walahi hapa probability ya kukubaliwa ombi lako Ni 99%.
Sababu Ni kwamba mwanamke atakuwa na uhakika wa kuhudumiwa vizuri coz tayari anajua unafanya kazi yenye mshahara mnono 😂

Wanaume kuweni makini Sana na hilo swali ambalo wanawake wanapenda kuwauliza pindi mnapowatongoza.
Mbona hilo la kawaida, kuna moja unsulizwa kwa mahutiano yetu mwisho wake ni nn?
 
Hayo ndo madhara ya kuchukua namba ovyo mtu humjui ushamuomba 0754/0654/0692 mwisho wa siku kipengele cha kujuana ikiguswa kipengele cha kinachokupa mkate wako wa Kila siku unaanza kupanick!

Binafsi hua siulizwi hlo swali maana wengi wa ninaokutana nao hadi kufikia stage ya kudate ni wale wale ambao nakutana nao kwenye nachokifanya
 
Salute Comrades!

Wanaume wenzangu njooni hapa niwape code kuhusu hawa wanawake ambao tumeusiwa tuishi nao kwa akili.

Kawaida yetu sisi wanaume tuna hulka ya kutongoza tongoza wanawake especially Kama mwanamke husika Ni anakidhi vigezo vyako.

Basi kipindi unamtongoza mwanamke Kuna hili swali ambalo lazima atakuuliza.
Swali lenyewe Ni Kama ifuatavyo ," Kwa hiyo wewe unajishughulisha na Nini maishani?"

Nina imani wanaume wengi wamewahi kuulizwa hilo swali na wanawake.
Bro sikiliza,Hilo swali hapo juu huwa haliulizwi kwa bahati mbaya Kama wengi tunavyofikiria.Hilo swali Ni la kimkakati limekaa kimtego Sana.
Jibu utakalompa ndilo litakaamua mustakabali wa mahusiano yenu Kati yako na huyo mwanamke unayemtongoza.

Mwanamke akikuuliza huwa unafanya shughuli/ kazi gani huwa anataka kujua Kama hiyo kazi in uwezo wa kukupa kipato Cha uhakika na hatimaye hutashindwa kumhudumia.Kwa hiyo hapo mwanamke anajali kuhusu financial security.

Kwa mfano mwanamke akikuuliza unafanya shughuli gani kujikimu kimaisha kisha wewe unamjibu " Mimi ni lecturer pale UDSM au Mimi Ni bank teller" walahi hapa probability ya kukubaliwa ombi lako Ni 99%.
Sababu Ni kwamba mwanamke atakuwa na uhakika wa kuhudumiwa vizuri coz tayari anajua unafanya kazi yenye mshahara mnono 😂

Wanaume kuweni makini Sana na hilo swali ambalo wanawake wanapenda kuwauliza pindi mnapowatongoza.
Vipi kama ukimjibu kama majibu ta Ziro IQ kuwa ni mchakata Mbu...s maarufu🤣🤣🤣
 
Salute Comrades!

Wanaume wenzangu njooni hapa niwape code kuhusu hawa wanawake ambao tumeusiwa tuishi nao kwa akili.

Kawaida yetu sisi wanaume tuna hulka ya kutongoza tongoza wanawake especially Kama mwanamke husika Ni anakidhi vigezo vyako.

Basi kipindi unamtongoza mwanamke Kuna hili swali ambalo lazima atakuuliza.
Swali lenyewe Ni Kama ifuatavyo ," Kwa hiyo wewe unajishughulisha na Nini maishani?"

Nina imani wanaume wengi wamewahi kuulizwa hilo swali na wanawake.
Bro sikiliza,Hilo swali hapo juu huwa haliulizwi kwa bahati mbaya Kama wengi tunavyofikiria.Hilo swali Ni la kimkakati limekaa kimtego Sana.
Jibu utakalompa ndilo litakaamua mustakabali wa mahusiano yenu Kati yako na huyo mwanamke unayemtongoza.

Mwanamke akikuuliza huwa unafanya shughuli/ kazi gani huwa anataka kujua Kama hiyo kazi in uwezo wa kukupa kipato Cha uhakika na hatimaye hutashindwa kumhudumia.Kwa hiyo hapo mwanamke anajali kuhusu financial security.

Kwa mfano mwanamke akikuuliza unafanya shughuli gani kujikimu kimaisha kisha wewe unamjibu " Mimi ni lecturer pale UDSM au Mimi Ni bank teller" walahi hapa probability ya kukubaliwa ombi lako Ni 99%.
Sababu Ni kwamba mwanamke atakuwa na uhakika wa kuhudumiwa vizuri coz tayari anajua unafanya kazi yenye mshahara mnono 😂

Wanaume kuweni makini Sana na hilo swali ambalo wanawake wanapenda kuwauliza pindi mnapowatongoza.
Hayo maswali sijawahi ulizwa hata siku moja kutokana na personal appearence.

Maswali ambayo hukumbana nayo ni: ...'umenambia unanipenda, lengo lako ni nini haswa'?...
Akiuliza hilo swali, ninamgaragaza kwa majibu ya uongo pamoja na ukweli kamchanganyikeni hadi anang'ata kucha.
 
Na sisi wanawake tunaoulizwa hilo swali wanatakaga kujua nini?

Binafsi sikumbuki kuuliza hilo swali kwa mtu yeyote hata wa humu tunayefahamiana sijawahi. Mtu mwenyewe tu anajikuta ameshaanza kueleza.
Nimeshangaa pia,
Katika swali sijawahi uliza mtu ni hilo, unluckily wanaoongoza kuuliza ni baadhi ya wanaume, mmoja PM baada ya kumuambia Mimi ni mkulima akanipotezea mazima..!!😂😂
 
Salute Comrades!

Wanaume wenzangu njooni hapa niwape code kuhusu hawa wanawake ambao tumeusiwa tuishi nao kwa akili.

Kawaida yetu sisi wanaume tuna hulka ya kutongoza tongoza wanawake especially Kama mwanamke husika Ni anakidhi vigezo vyako.

Basi kipindi unamtongoza mwanamke Kuna hili swali ambalo lazima atakuuliza.
Swali lenyewe Ni Kama ifuatavyo ," Kwa hiyo wewe unajishughulisha na Nini maishani?"

Nina imani wanaume wengi wamewahi kuulizwa hilo swali na wanawake.
Bro sikiliza,Hilo swali hapo juu huwa haliulizwi kwa bahati mbaya Kama wengi tunavyofikiria.Hilo swali Ni la kimkakati limekaa kimtego Sana.
Jibu utakalompa ndilo litakaamua mustakabali wa mahusiano yenu Kati yako na huyo mwanamke unayemtongoza.

Mwanamke akikuuliza huwa unafanya shughuli/ kazi gani huwa anataka kujua Kama hiyo kazi in uwezo wa kukupa kipato Cha uhakika na hatimaye hutashindwa kumhudumia.Kwa hiyo hapo mwanamke anajali kuhusu financial security.

Kwa mfano mwanamke akikuuliza unafanya shughuli gani kujikimu kimaisha kisha wewe unamjibu " Mimi ni lecturer pale UDSM au Mimi Ni bank teller" walahi hapa probability ya kukubaliwa ombi lako Ni 99%.
Sababu Ni kwamba mwanamke atakuwa na uhakika wa kuhudumiwa vizuri coz tayari anajua unafanya kazi yenye mshahara mnono 😂

Wanaume kuweni makini Sana na hilo swali ambalo wanawake wanapenda kuwauliza pindi mnapowatongoza.
Dah. Bank teller ana mshahara gani mnono wa kumzidi mtu wa M&E labda? Unless binti awe hana analolijua. Kuna vi NGO huku mtaaani vinatoa mpaka 10M take home
 
Nimeshangaa pia,
Katika swali sijawahi uliza mtu ni hilo, unluckily wanaoongoza kuuliza ni baadhi ya wanaume, mmoja PM baada ya kumuambia Mimi ni mkulima akanipotezea mazima..!!😂😂
Hili swali wote tunaulizwa, Kwahiyo tuvumiliane tu uhuni tumefundisha wenyewe.

Inabidi uwe mstaarabu sana ili usimuulize, na ni ile mi husema, as time goes nitajua tu kazi yake. Haraka za nini?

Ila bro Eva kanifundisha kuwa ni kujikatia bima katika hayo mahusiano, Kwahiyo na sisi tuanze kuuliza hili swali tafadhali 😂

Kwahiyo bibi shamba ukapotezewa?
 
Dah. Bank teller ana mshahara gani mnono wa kumzidi mtu wa M&E labda? Unless binti awe hana analolijua. Kuna vi NGO huku mtaaani vinatoa mpaka 10M take home
Kaka msichana wa vikindu ndani ndani au mvuti utamwambia M&E ataelewa? Itabidi umuweke kabisa chini umpe introduction kwanza labda atapata mwanga.

Kupunguza mambo mengi we mwambie ni bank teller, kila mtu anaenda bank anawajua ma bank teller 😂
 
Back
Top Bottom