Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona hilo la kawaida, kuna moja unsulizwa kwa mahutiano yetu mwisho wake ni nn?Salute Comrades!
Wanaume wenzangu njooni hapa niwape code kuhusu hawa wanawake ambao tumeusiwa tuishi nao kwa akili.
Kawaida yetu sisi wanaume tuna hulka ya kutongoza tongoza wanawake especially Kama mwanamke husika Ni anakidhi vigezo vyako.
Basi kipindi unamtongoza mwanamke Kuna hili swali ambalo lazima atakuuliza.
Swali lenyewe Ni Kama ifuatavyo ," Kwa hiyo wewe unajishughulisha na Nini maishani?"
Nina imani wanaume wengi wamewahi kuulizwa hilo swali na wanawake.
Bro sikiliza,Hilo swali hapo juu huwa haliulizwi kwa bahati mbaya Kama wengi tunavyofikiria.Hilo swali Ni la kimkakati limekaa kimtego Sana.
Jibu utakalompa ndilo litakaamua mustakabali wa mahusiano yenu Kati yako na huyo mwanamke unayemtongoza.
Mwanamke akikuuliza huwa unafanya shughuli/ kazi gani huwa anataka kujua Kama hiyo kazi in uwezo wa kukupa kipato Cha uhakika na hatimaye hutashindwa kumhudumia.Kwa hiyo hapo mwanamke anajali kuhusu financial security.
Kwa mfano mwanamke akikuuliza unafanya shughuli gani kujikimu kimaisha kisha wewe unamjibu " Mimi ni lecturer pale UDSM au Mimi Ni bank teller" walahi hapa probability ya kukubaliwa ombi lako Ni 99%.
Sababu Ni kwamba mwanamke atakuwa na uhakika wa kuhudumiwa vizuri coz tayari anajua unafanya kazi yenye mshahara mnono 😂
Wanaume kuweni makini Sana na hilo swali ambalo wanawake wanapenda kuwauliza pindi mnapowatongoza.
Unafanya kazi gani rafiki?naomba hela 😅Na sisi wanawake tunaoulizwa hilo swali wanatakaga kujua nini?
Binafsi sikumbuki kuuliza hilo swali kwa mtu yeyote hata wa humu tunayefahamiana sijawahi. Mtu mwenyewe tu anajikuta ameshaanza kueleza.
Hapo ukijisifia jiandae na makombora..Swali hilo tayari ni red flag kuwa hapo unamtongoza malaya.
Mdanganye kwa sababu anataka aone anakuweka kwenye kundi gani la anaowapiga vizinga
Halafu na wewe muulize je, yeye ni bikira?
The game is brutal but still fair
Vipi kama ukimjibu kama majibu ta Ziro IQ kuwa ni mchakata Mbu...s maarufu🤣🤣🤣Salute Comrades!
Wanaume wenzangu njooni hapa niwape code kuhusu hawa wanawake ambao tumeusiwa tuishi nao kwa akili.
Kawaida yetu sisi wanaume tuna hulka ya kutongoza tongoza wanawake especially Kama mwanamke husika Ni anakidhi vigezo vyako.
Basi kipindi unamtongoza mwanamke Kuna hili swali ambalo lazima atakuuliza.
Swali lenyewe Ni Kama ifuatavyo ," Kwa hiyo wewe unajishughulisha na Nini maishani?"
Nina imani wanaume wengi wamewahi kuulizwa hilo swali na wanawake.
Bro sikiliza,Hilo swali hapo juu huwa haliulizwi kwa bahati mbaya Kama wengi tunavyofikiria.Hilo swali Ni la kimkakati limekaa kimtego Sana.
Jibu utakalompa ndilo litakaamua mustakabali wa mahusiano yenu Kati yako na huyo mwanamke unayemtongoza.
Mwanamke akikuuliza huwa unafanya shughuli/ kazi gani huwa anataka kujua Kama hiyo kazi in uwezo wa kukupa kipato Cha uhakika na hatimaye hutashindwa kumhudumia.Kwa hiyo hapo mwanamke anajali kuhusu financial security.
Kwa mfano mwanamke akikuuliza unafanya shughuli gani kujikimu kimaisha kisha wewe unamjibu " Mimi ni lecturer pale UDSM au Mimi Ni bank teller" walahi hapa probability ya kukubaliwa ombi lako Ni 99%.
Sababu Ni kwamba mwanamke atakuwa na uhakika wa kuhudumiwa vizuri coz tayari anajua unafanya kazi yenye mshahara mnono 😂
Wanaume kuweni makini Sana na hilo swali ambalo wanawake wanapenda kuwauliza pindi mnapowatongoza.
Anageuka ombaombaHapo ukijisifia jiandae na makombora..
Huyo atakuwa baharia,tena makazi yake bila shaka buza🏃🏃🏃Have you ever been a bank teller bro?
Bro lazma ujue, hiyo ni kama unajikatia bima kwenye hayo mahusiano.....Na sisi wanawake tunaoulizwa hilo swali wanatakaga kujua nini?
Binafsi sikumbuki kuuliza hilo swali kwa mtu yeyote hata wa humu tunayefahamiana sijawahi. Mtu mwenyewe tu anajikuta ameshaanza kueleza.
Hayo maswali sijawahi ulizwa hata siku moja kutokana na personal appearence.Salute Comrades!
Wanaume wenzangu njooni hapa niwape code kuhusu hawa wanawake ambao tumeusiwa tuishi nao kwa akili.
Kawaida yetu sisi wanaume tuna hulka ya kutongoza tongoza wanawake especially Kama mwanamke husika Ni anakidhi vigezo vyako.
Basi kipindi unamtongoza mwanamke Kuna hili swali ambalo lazima atakuuliza.
Swali lenyewe Ni Kama ifuatavyo ," Kwa hiyo wewe unajishughulisha na Nini maishani?"
Nina imani wanaume wengi wamewahi kuulizwa hilo swali na wanawake.
Bro sikiliza,Hilo swali hapo juu huwa haliulizwi kwa bahati mbaya Kama wengi tunavyofikiria.Hilo swali Ni la kimkakati limekaa kimtego Sana.
Jibu utakalompa ndilo litakaamua mustakabali wa mahusiano yenu Kati yako na huyo mwanamke unayemtongoza.
Mwanamke akikuuliza huwa unafanya shughuli/ kazi gani huwa anataka kujua Kama hiyo kazi in uwezo wa kukupa kipato Cha uhakika na hatimaye hutashindwa kumhudumia.Kwa hiyo hapo mwanamke anajali kuhusu financial security.
Kwa mfano mwanamke akikuuliza unafanya shughuli gani kujikimu kimaisha kisha wewe unamjibu " Mimi ni lecturer pale UDSM au Mimi Ni bank teller" walahi hapa probability ya kukubaliwa ombi lako Ni 99%.
Sababu Ni kwamba mwanamke atakuwa na uhakika wa kuhudumiwa vizuri coz tayari anajua unafanya kazi yenye mshahara mnono 😂
Wanaume kuweni makini Sana na hilo swali ambalo wanawake wanapenda kuwauliza pindi mnapowatongoza.
Ukiona umejua kuwa ni code, jua na we ni wa kule kule kwa mzee polepole. 😀😀😀🤣🤣🤣 hiyo kupambana ni code? Au ni kwa waliosomea Cuba tu ndio wanaelewa
Ntakuanza, tulia hivyo hivyo.Ngoja nikutongoze kwanza
Bro na mi naanza! 😂 niweze kusecure bima ya maisha! Sio kila siku napishana na magari ya bima kwa kupenda oya oya!Bro lazma ujue, hiyo ni kama unajikatia bima kwenye hayo mahusiano.....
Napambana! 😅😅Unafanya kazi gani rafiki?naomba hela 😅
Nimeshangaa pia,Na sisi wanawake tunaoulizwa hilo swali wanatakaga kujua nini?
Binafsi sikumbuki kuuliza hilo swali kwa mtu yeyote hata wa humu tunayefahamiana sijawahi. Mtu mwenyewe tu anajikuta ameshaanza kueleza.
Dah. Bank teller ana mshahara gani mnono wa kumzidi mtu wa M&E labda? Unless binti awe hana analolijua. Kuna vi NGO huku mtaaani vinatoa mpaka 10M take homeSalute Comrades!
Wanaume wenzangu njooni hapa niwape code kuhusu hawa wanawake ambao tumeusiwa tuishi nao kwa akili.
Kawaida yetu sisi wanaume tuna hulka ya kutongoza tongoza wanawake especially Kama mwanamke husika Ni anakidhi vigezo vyako.
Basi kipindi unamtongoza mwanamke Kuna hili swali ambalo lazima atakuuliza.
Swali lenyewe Ni Kama ifuatavyo ," Kwa hiyo wewe unajishughulisha na Nini maishani?"
Nina imani wanaume wengi wamewahi kuulizwa hilo swali na wanawake.
Bro sikiliza,Hilo swali hapo juu huwa haliulizwi kwa bahati mbaya Kama wengi tunavyofikiria.Hilo swali Ni la kimkakati limekaa kimtego Sana.
Jibu utakalompa ndilo litakaamua mustakabali wa mahusiano yenu Kati yako na huyo mwanamke unayemtongoza.
Mwanamke akikuuliza huwa unafanya shughuli/ kazi gani huwa anataka kujua Kama hiyo kazi in uwezo wa kukupa kipato Cha uhakika na hatimaye hutashindwa kumhudumia.Kwa hiyo hapo mwanamke anajali kuhusu financial security.
Kwa mfano mwanamke akikuuliza unafanya shughuli gani kujikimu kimaisha kisha wewe unamjibu " Mimi ni lecturer pale UDSM au Mimi Ni bank teller" walahi hapa probability ya kukubaliwa ombi lako Ni 99%.
Sababu Ni kwamba mwanamke atakuwa na uhakika wa kuhudumiwa vizuri coz tayari anajua unafanya kazi yenye mshahara mnono 😂
Wanaume kuweni makini Sana na hilo swali ambalo wanawake wanapenda kuwauliza pindi mnapowatongoza.
Hili swali wote tunaulizwa, Kwahiyo tuvumiliane tu uhuni tumefundisha wenyewe.Nimeshangaa pia,
Katika swali sijawahi uliza mtu ni hilo, unluckily wanaoongoza kuuliza ni baadhi ya wanaume, mmoja PM baada ya kumuambia Mimi ni mkulima akanipotezea mazima..!!😂😂
Kaka msichana wa vikindu ndani ndani au mvuti utamwambia M&E ataelewa? Itabidi umuweke kabisa chini umpe introduction kwanza labda atapata mwanga.Dah. Bank teller ana mshahara gani mnono wa kumzidi mtu wa M&E labda? Unless binti awe hana analolijua. Kuna vi NGO huku mtaaani vinatoa mpaka 10M take home