Hili swali linanitatiza sana, kuna utaratibu wowote wa mwanajeshi kuacha kazi, pale anapotakiwa kwenda vitani?

Umenena vyema mkuu
 
Mwanajeshi anaweza kuacha kazi jeshini. Usisubiri mpaka vita itokee ndio uache, hiyo itakuwa uasi.
 
Kwa mazingira hayo, wengi tutakuwa tunajiunga kutokana na changamoto za ajira
Kuna kozi ya miezi 6 ya kufutwa Uraia... Hapo ukimaliza kuruta ... Elimu yako inakuchagua kwenda kozi ya Cadet au ubaki Hapo... na mule ndio tunaaamza kutafutwa ... Nilikataaa... Na sitaki... I got plenty of my family lost on this snitching staged espionage ...
 
Hatari sana, kwa hiyo kwa wale walioko vitani na wakazidiwa na kukimbia, kwao inakuwaje?
 

Hili swali kwa kiasi fulani limekaa ki’mbumbumbu, samahi kwa hilo neno nililotumia. Inabidi utambue kila mtu hapa ulimwenguni yupo kwa kusudi flani/maalumu. Na ukijua kusudi lililokuleta hutaogopa hatari yoyote. Kwahiyo unapomuona mwanajeshi wa kweli alieapa kuilinda nchi yake ujue ujeshi wake haukuanzia hapo ulipomuona kuna wengine walionekana tangu wakiwa wadogo kwahiyo si rahisi kuwaza kibinafsi kiasi cha kikimbia vita eti kisa anaogopa kufa na hapa sizungumzii wale wa mchongo.
Labda niende mbele zaidi kwa mawazo hayo ndo maana kuna wanaume wanaukana uanaume wao kisa pesa, hebu tafakari kwenye ishu ya mama kujifungua kuna uwezekano wa mtu kufa lakini kuna mama anatamani kwa hali yoyote abebe ujauzito bila kujali hatari ya kupoteza maisha kwenye kujifungua na sisi akina baba wala hatushiriki kwa lolote pale mama anapojifungua, hiyo tunaita mgawanyo wa majukumu. Ukizaliwa mwanaume pambana kama mwanaume hivyohivyo kwa mwanamke na ukijiona kusudio lililokuleta ni jeshi basi usiogope vita kama ni dereva usiogope ajali na kada nyingine yoyote maana tunajidanganya na kujifariji tu ila ukweli hakuna alie salama hapa duniani. Daaah inatosha nimeandika sana.
 
Kwenye maandiko, kuna mfalme mmoja alimtuma askari wake aende vitani, akiwa na lengo akafie huko, ili aweze kutembea na mkewe
 
Sawa soja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…