Mwanamwaiche
JF-Expert Member
- Apr 13, 2022
- 665
- 968
And so it be forever. Salute officer🙏🙏🙏Kwanza ujue mwanajeshi si raia ila raia anaweza kuwa mwanajeshi na si kila raia anaweza kufuzu kuwa mwanajeshi. Inachukua mafunzo ya kipekee sana kumbadirisha raia kuwa mwanajeshi. Swali lako umeuliza kiraia ndiomana unashangaa inakuwaje amri inapotoka wanajeshi wanatii bila kupinga.
Just know that It takes special trainings to turn a civilian to be a SOLDIER and once a soldier will always be a soldier.
Deserters... Pyuuupyuuu...Hatari sana, kwa hiyo kwa wale walioko vitani na wakazidiwa na kukimbia, kwao inakuwaje?
Askari akili zao zimefutwa na kupachikwa akili za kijeshi.Kuna kozi ya miezi 6 ya kufutwa Uraia... Hapo ukimaliza kuruta ... Elimu yako inakuchagua kwenda kozi ya Cadet au ubaki Hapo... na mule ndio tunaaamza kutafutwa ... Nilikataaa... Na sitaki... I got plenty of my family lost on this snitching staged espionage ...
Kwani aliajiriwa ili afanye nini?Kwa hiyo uko tayari, mtu mwingine apotee, ili wewe uendelee kufurahia maisha?
Mbona wewe ukiugua unakunywa panado fasta, kwa nini usisubiri ufe?Embu nenda vitani wew acha ujinga ..kufa utakufa tu Mudawowote tu hata ukiwa unafanya mazoezi utakufa tu
Jinga Kweli wew
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Ebu jaribu kuvuta hisia, umepigwa kombora la kichwaUtaishi milele kwani?
Ukitolewa uraia hayo mambo utayaona kawaida tu kama madakatari wanavyoona kawaida majeruhi watu kubondekandeka na kushuhudia mtu kukata roho.
ha ha ha wengine wako kule kutokana na changamoto za ajiraKwani aliajiriwa ili afanye nini?
Ashinde kambini tu,na kulewa pamoja na kubeba malaya,matokeo yake afe na UKIMWI?
Fanya kazi uliyoiomba.
Uanajeshi siyo kazi, ni kujitolea kwa ajili ya nchi yako.Nimejaribu kufikiria hivyo, baada ya kuona picha za wanajeshi walio-uwawa huko kwenye vita ya Ukraine na Urusi.
Naona vijana wameangamia, huku wakiwa wameacha tegemezi, watoto, wake n.k; huku wanaofanya maamuzi wakiwa ofisini wakipulizwa viyoyozi.
Inawezekana, wakuu? Uhai kwanza, mengine baadaye.
Kwa mfano sasa hivi zikitokea nafasi za kwenda Ukraine, wanaweza kuzigombania?Askari akili zao zimefutwa na kupachikwa akili za kijeshi.
Ndio maana wengi hawajali.
Imagine, kuna askari was JW huwa wanaenda kulinda amani Lebanon, Sudan, DRC lakini karibia kila askari huwa anatamani kwenda mpaka nafasi zimekuwa za michongo.
Hapo sawaUanajeshi siyo kazi, ni kujitolea kwa ajili ya nchi yako.
Wanajeshi hawaajiriwi kwa ajili ya kuvaa magwanda, wanakuwa wamejiandikisha ili wapiganie maslahi ya watu na Taifa lao, na ikibidi hadi kufia nchi yao.
Marehemu Sokoine aliwahi kusema , wanajeshi wako pale kwa harufu ya damu.
Wito wao si wa mchezo mchezo
Wanaweza kabisa. Kama Lebanon wanagombania, Ukraine watashindwa?Kwa mfano sasa hivi zikitokea nafasi za kwenda Ukraine, wanaweza kuzigombania?
Ndiyo hao,tena wanatakiwa wawe frontline,mambo ya kushindana na raia mitaani,hiyo siyo poa,wanatakiwa wawe wana-practice kile walichojifunza hukoooo... kwenye viwanja vya vita.ha ha ha wengine wako kule kutokana na changamoto za ajira
Utakuwa umekufa.Ebu jaribu kuvuta hisia, umepigwa kombora la kichwa
Hisia unaivutaje ushapigwa kombora la kichwaEbu jaribu kuvuta hisia, umepigwa kombora la kichwa
umeandika kwa mafilingi snaa mwamba, ila ndo ukweli wenyewe, Mwanaume hatakiwi kuogopa kufa.Hili swali kwa kiasi fulani limekaa ki’mbumbumbu, samahi kwa hilo neno nililotumia. Inabidi utambue kila mtu hapa ulimwenguni yupo kwa kusudi flani/maalumu. Na ukijua kusudi lililokuleta hutaogopa hatari yoyote. Kwahiyo unapomuona mwanajeshi wa kweli alieapa kuilinda nchi yake ujue ujeshi wake haukuanzia hapo ulipomuona kuna wengine walionekana tangu wakiwa wadogo kwahiyo si rahisi kuwaza kibinafsi kiasi cha kikimbia vita eti kisa anaogopa kufa na hapa sizungumzii wale wa mchongo.
Labda niende mbele zaidi kwa mawazo hayo ndo maana kuna wanaume wanaukana uanaume wao kisa pesa, hebu tafakari kwenye ishu ya mama kujifungua kuna uwezekano wa mtu kufa lakini kuna mama anatamani kwa hali yoyote abebe ujauzito bila kujali hatari ya kupoteza maisha kwenye kujifungua na sisi akina baba wala hatushiriki kwa lolote pale mama anapojifungua, hiyo tunaita mgawanyo wa majukumu. Ukizaliwa mwanaume pambana kama mwanaume hivyohivyo kwa mwanamke na ukijiona kusudio lililokuleta ni jeshi basi usiogope vita kama ni dereva usiogope ajali na kada nyingine yoyote maana tunajidanganya na kujifariji tu ila ukweli hakuna alie salama hapa duniani. Daaah inatosha nimeandika sana.
inawezekana Ila unasindkizwa na Risas ya kichwa wakati unarud nyumbanNimejaribu kufikiria hivyo, baada ya kuona picha za wanajeshi walio-uwawa huko kwenye vita ya Ukraine na Urusi.
Naona vijana wameangamia, huku wakiwa wameacha tegemezi, watoto, wake n.k; huku wanaofanya maamuzi wakiwa ofisini wakipulizwa viyoyozi.
Inawezekana, wakuu? Uhai kwanza, mengine baadaye.