Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
-
- #101
Kati ya ardhi na uhai, kipi ni muhimu?Mkuu mfano ikitokea mtoto wa Museven akawa Rais na ukichaa wake akaamua kuivamia Tz kudai mpaka alio dai Idd Amini vita itakua ni LAZIMA
Na iwapo katika vita wanajeshi wengi wakipoteza uhai hata wewe kama bado umri unaruhusu UTALAZIMISHWA kwenda vitani na room ya kukataa haipo....... nani sasa akakupiganie wewe?
Kwa mfano hivi sada Ukraine Russia Israel vijana wote NI LAZIMA kwenda vitani....... hutaki unataka utakwenda
Na nchi gani ingeruhusu wananchi wake? To do that hairuhusiwi kisheria na ukienda kijanja sahau kurudi maana una kesi ya uraiaKwa mazigira hayo, si bora waje Afrika kuchukua nguvu kazi?
Ingesaidia sana kukua kiuchumi, kuliko kutegemea tu kupeleka malighafi ili kupata fedha za kigeni.Na nchi gani ingeruhusu wananchi wake? To do that hairuhusiwi kisheria na ukienda kijanja sahau kurudi maana una kesi ya uraia
Hakuna nchi inaweka regani maisha ya wananchi wake kisa eti uchumi, hiyo nchi haipo, labda uhame.Ingesaidia sana kukua kiuchumi, kuliko kutegemea tu kupeleka malighafi ili kupata fedha za kigeni.
Itafika muda hili litawezekana kupitia contractors wa kivita kuja kuajili. Nina jamaa nilisoma nae katumika jeshi la US,tours mbili kaenda mashariki ya kati,kastaafu kwa Sasa.Kwa mazigira hayo, si bora waje Afrika kuchukua nguvu kazi?
Kumbuka pia kuna nchi zinawapa uraia waamiaji ili waingie jeshiniHakuna nchi inaweka regani maisha ya wananchi wake kisa eti uchumi, hiyo nchi haipo, labda uhame.
Kwa huko mbeleni litawezekana, nyakati zinabadilika.Itafika muda hili litawezekana kupitia contractors wa kivita kuja kuajili. Nina jamaa nilisoma nae katumika jeshi la US,tours mbili kaenda mashariki ya kati,kastaafu kwa Sasa.
Sio za wamatumbi, sheria za nchi yako ziko hivi ukichoropoka kimagumashi sahau kurudi kwenu, uraia bye bye. So chaguo ni lakoKumbuka pia kuna nchi zinawapa uraia waamiaji ili waingie jeshini
Kwenye kuwaza kwako hujajiuliza kazi ya jeshi ni nini? Na mtu anapochagua kujiunga na jeshi amechagua kufanya nini?Nimejaribu kufikiria hivyo, baada ya kuona picha za wanajeshi walio-uwawa huko kwenye vita ya Ukraine na Urusi.
Naona vijana wameangamia, huku wakiwa wameacha tegemezi, watoto, wake n.k; huku wanaofanya maamuzi wakiwa ofisini wakipulizwa viyoyozi.
Inawezekana, wakuu? Uhai kwanza, mengine baadaye.
Bila aridhi HAKUNA uhaiKati ya ardhi na uhai, kipi ni muhimu?
Aya, fia vitani ardhi ibakiBila aridhi HAKUNA uhai
Mkuu hii sio issue ya KUCHAGUAAya, fia vitani ardhi ibaki
Ila ishu ni ileile ulinzi wa amani sio mapi
Ni sahihi ndio maana nimerejelea kwa kutumia sheria za Jamhuri sio za kimataifa.Maelezo yako haya kwa kiasi kikubwa Sana yamejikita katika Sheria, Kanuni, taratibu pamoja na tamaduni zilizopo Tanzania, lakini hayajihusisha kwa undani na masuala mtambuka ya kijeshi katika Mazingira ya kidunia kwa ujumla wake. Aidha, ukienda kwenye nchi zingine hali ipo tofauti kidogo na hivyo ulivyoeleza.
Kwa nchi zinazopigana mara kwa mara, huwa kuna vijana wanaolilia hizo kazi?Sawa mkuu. Vita Iko kati ya Congolese army na waasi but Sadc ni walinda amani tu. Vita tungeshiriki Kila wiki tungekuwa twapokea body bags. Vita si lelemama. Mwamba mmoja anasema alikuwepo Lebanon mwaka 2009. Siku Moja Israel aliishambulia Lebanon karibu kabisa na UN peace keepers base. Anasema ilikuwa siku mbaya sana. Ni siku pekee aliyoshangaa kwanini alililia kwenda Kule. Anasema Bado hakukoma alirudi Tena 2014 kulekule.
Nb.
Vita si lelemama Kila mwananchi wa taifa hili asimame kidete kuhakikisha hakuna mwanya adui wetu tusiowaju na tunaowajua atatumia Kuleta machafuko. Mungu asaidia. Amina
Hakuna vijana wanaolilia hizi kazi hasa katika nchi zenye vita kubwa. Ukraine ni mfano mzuri. Hakuna anaetaka kufa kizalendo tena.vijana wanakimbia na kujichimbia. Juzi kati waliokuwa wamenaswa kupata mafunzo huko Ufaransa walikimbia kambini.Kwa nchi zinazopigana mara kwa mara, huwa kuna vijana wanaolilia hizo kazi?
Ningekuwa mjeda halafu niko vitani ningejificha mapangoni mpaka mapambano yapoe.....kwanini nife kizembe wakati huku town watu wanakula BIA.Nimejaribu kufikiria hivyo, baada ya kuona picha za wanajeshi walio-uwawa huko kwenye vita ya Ukraine na Urusi.
Naona vijana wameangamia, huku wakiwa wameacha tegemezi, watoto, wake n.k; huku wanaofanya maamuzi wakiwa ofisini wakipulizwa viyoyozi.
Inawezekana, wakuu? Uhai kwanza, mengine baadaye.
Ni ngumu kujificha, wenzako watakutangulizaNingekuwa mjeda halafu niko vitani ningejificha mapangoni mpaka mapambano yapoe.....kwanini nife kizembe wakati huku town watu wanakula BIA.